warusi wenyew wanasema hizo export ni za discount ya kupatia ela ya kuendesha vita tuSijui ulikuwa unafikiria nini wakati unaandika hii!
Kwa sasa Russia ina export bidhaa zaidi kuliko ku- import, fedha yake ina imarika.
nawafuatilia warusi , wanadai Putin anawauza kwa China kwa bei rahis sana , za chini chini ni kuwa China ina supply silaha kwa UrusiBaelezeee waswahili haoo mafalaa
Supporters of anti-Russia sanctions are some of its biggest customers – NYT
Several Western states have boosted imports from Moscow since February, data cited by the New York Times indicates
Unapoamua kuwa Yahaya Hussein utoe basi angalao zinazofanana na ukweli.Putin kasema anajiandaa na vita vya muda mrefu kumbe anajua kuwa mziki bado ni SAA 2 usiku alafu inabidi kukesha.... kiuchumi Russia itakuwa hoi bin taaban Hadi kufikia mwakani miezi kama hii
Mkuu unaleta habari za ajabu, au labda niseme: uvumi usi na msingi. NAni angezuia Urusi kufanya utafiti wa bomba?? Wewe unasema ni Uswidi. Kivipi ???Sasa nimeelewa kwa nini nchi za magharibi hazikutaka kabisa kuihusisha Urusi kwenye kuchunguza kilichotokea kwenye mabomba ya gesi toka urusi. Tuliambiwa gesi ilivuja kumbe siyo kuvuja bali ILIMWAGIKA!! Kuvuja maana yake kuna tundu kwenye bomba.
Kumbe si tundu bali bombomba lilifumuliwa na kipande cha mita 40 kikanyofoka! Putin kama angeona kipindi hicho huenda hasira zingempanda na akalipiza kisasi huenda kwa ukatili zaidi. Baada ya muda kupita, vumbi linatulia hatimaye kampuni ya urusi inayoshughulika na uuzaji wa gesi ikaruhusiwa kujionea maafa!! Looh!! Kipande cha kueleweka cha mita 40 kilipigwa kombora kikanyofoka!
When the September blasts that damaged Nord Stream came up, the Russian president said that Gazprom was allowed to inspect the damage. Sweden had refused to involve Russia in the investigation, citing information “that is subject to confidentiality directly linked to national security.”
The blast “tore off” a 40-meter section of the pipe and separated the lines by 250 meters, Putin said, adding there was “a piece bent by 90 degrees and thrown against another part of Nord Stream.”
Mzee wakati uchumi wa Russia unazidi kupaa..afu Russia sio Iraq baba.Putin kasema anajiandaa na vita vya muda mrefu kumbe anajua kuwa mziki bado ni SAA 2 usiku alafu inabidi kukesha.... kiuchumi Russia itakuwa hoi bin taaban Hadi kufikia mwakani miezi kama hii
Acheni kujidanganya ,hakuna nchi inayoweza kupigana vita na uchumi wake ukabaki salama,haipo,hata marekani akipigana vita lazima ataipatapata tu,Mzee wakati uchumi wa Russia unazidi kupaa..afu Russia sio Iraq baba.
Sijui ulikuwa unafikiria nini wakati unaandika hii!
Kwa sasa Russia ina export bidhaa zaidi kuliko ku- import, fedha yake ina imarika.
Huwezi ukafikia hitimisho hilo eti hakuna maisha ulaya bila gesi ya kutoka URUSI?!!Mbona nchi nyingi zimeshapata mbadala japo sio kwa 100%lakini watavuka tu kipindi hicho cha mpito.kwani hata kabla ya kulipuliwa,si alishakuwa amelifunga akidai kuwa vikwazo vya EU,vimepelekea kukosa spea za kutengeneza?!!
ww mtoa takwimu za Urusi?Mzee wakati uchumi wa Russia unazidi kupaa..afu Russia sio Iraq baba.
Kiongozi aliye kuwa na busara na kujiamini alikuwa na Angela Merkle tu - Ulaya nzima, kaondoka madarakani ndio maana Ulaya nzima inayumbishwa/pelekwa puta na Merikani.
Kiongozi aliye kuwa na busara na kujiamini alikuwa na Angela Merkle tu - Ulaya nzima, kaondoka madarakani ndio maana Ulaya nzima inayumbishwa/pelekwa puta na Merikani.
Russia ni mabingwa wa kupika data kama wabongo tuMzee wakati uchumi wa Russia unazidi kupaa..afu Russia sio Iraq baba.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wazungu nyoko sana!Mimi ningekuwa karibu na hao Jamaa walioyabutua mabomba ya ges ningewapa Binti yangu Bure kabisa...,wametupunguzia kelele kwa kiasi kikubwa sana..,Lile Bomba lilikuwa linatumika kisiasa tu.., yahani fashisti Putin mwenyewe hiyo ges mara afungulie,mara afunge,yaani Ili mradi kick tu Ili kila mmoja ajue kwamba ulaya wanatumia ges kutoka urusi.., ulikuwa ni ujinga wa Hali ya juu sana
Alafu kama ulaya ndio wafaidika wakuu wa ges ya urusi,nyie pro Russia mnawashwawashwa nini mpaka maanzisha thread humu??..,
Si muwaache wafe tu Kwa baridi?.., maana hiyo itakuwa furaha kwenu.., mnaleta thread humu Ili tuwaonee huruma kwamba mnaonewa au lengo la kuleta thread ni nini hasa??
Pilipili usiyoila yakuwashia nini???
Ukweli ni kwamba kubutuliwa kwa Lile Bomba kumemaliza zile kick za ges..,mara hoo gesi imekuwa hivi..,mara hoo gesi imekuwa vile..,yaani Ili mradi kick tu..., tulieni hivyo hivyo.., ulaya na marekani wameamua wenyewe kuishi bila ges ya urusi kwani Kuna ubaya gani?
Vinginevyo, semeni wazi tu kwamba mnaumia kuona urusi anakuwa sio Tena supplier mkubwa wa ges barani ulaya,hapo mtaeleweka vizuri tu..,sio kuzungukazunguka kama kuku anayetaka kutaga,
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Nimechoka kuweka link tafuta mitandaoni zipo takwimu unazotaka.Ime export kiasi gani mwaka huu na mwaka uliopita ili export kiasi gani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wazungu nyoko sana!
Yani ni sawa na mtu unampa unga alafu unaanza kumnanga kwamba mimi ndio huwa nakupa unga wa kula, sasa kukudhihirishia kwamba unga wako si lolote anakujgs kuumwaga uwanjani kwako ardhini.
Ulitaka ahusishwe kwenye uchunguzi ili iweje wakati yeye mwenyewe ni mtuhumiwa wa kufanya hujuma hizo?Putin kama angeona kipindi hicho huenda hasira zingempanda na akalipiza kisasi huenda kwa ukatili zaidi.
Warusi kama wewe😃!warusi wanasema kwasasa Russia ni kama koloni la China
Eti Ulaya na Marekani wameamua kuishi bila gas ya Russia,akili za wapi hizi?Si wangeweka sanctions kwenye hiyo gas?Hiyo ni hujuma ya US,amewazunguka EU Ili awauzie Kwa Bei mara 4 zaidi!Na viongozi wa EU kama mizombie tu,wameshikwa akili na US!Wananchi wao kila siku wanaandamana kupinga vikwazo dhidi ya Russia lakini Yenyewe yamebunda tu!Mimi ningekuwa karibu na hao Jamaa walioyabutua mabomba ya ges ningewapa Binti yangu Bure kabisa...,wametupunguzia kelele kwa kiasi kikubwa sana..,Lile Bomba lilikuwa linatumika kisiasa tu.., yahani fashisti Putin mwenyewe hiyo ges mara afungulie,mara afunge,yaani Ili mradi kick tu Ili kila mmoja ajue kwamba ulaya wanatumia ges kutoka urusi.., ulikuwa ni ujinga wa Hali ya juu sana
Alafu kama ulaya ndio wafaidika wakuu wa ges ya urusi,nyie pro Russia mnawashwawashwa nini mpaka maanzisha thread humu??..,
Si muwaache wafe tu Kwa baridi?.., maana hiyo itakuwa furaha kwenu.., mnaleta thread humu Ili tuwaonee huruma kwamba mnaonewa au lengo la kuleta thread ni nini hasa??
Pilipili usiyoila yakuwashia nini???
Ukweli ni kwamba kubutuliwa kwa Lile Bomba kumemaliza zile kick za ges..,mara hoo gesi imekuwa hivi..,mara hoo gesi imekuwa vile..,yaani Ili mradi kick tu..., tulieni hivyo hivyo.., ulaya na marekani wameamua wenyewe kuishi bila ges ya urusi kwani Kuna ubaya gani?
Vinginevyo, semeni wazi tu kwamba mnaumia kuona urusi anakuwa sio Tena supplier mkubwa wa ges barani ulaya,hapo mtaeleweka vizuri tu..,sio kuzungukazunguka kama kuku anayetaka kutaga,
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Sa si ndio wamejua sasa , Kwa nini Putin hasira zisimpande alipue lipue au hasira zake zko kama BPSasa nimeelewa kwa nini nchi za magharibi hazikutaka kabisa kuihusisha Urusi kwenye kuchunguza kilichotokea kwenye mabomba ya gesi toka urusi. Tuliambiwa gesi ilivuja kumbe siyo kuvuja bali ILIMWAGIKA!! Kuvuja maana yake kuna tundu kwenye bomba.
Kumbe si tundu bali bombomba lilifumuliwa na kipande cha mita 40 kikanyofoka! Putin kama angeona kipindi hicho huenda hasira zingempanda na akalipiza kisasi huenda kwa ukatili zaidi. Baada ya muda kupita, vumbi linatulia hatimaye kampuni ya urusi inayoshughulika na uuzaji wa gesi ikaruhusiwa kujionea maafa!! Looh!! Kipande cha kueleweka cha mita 40 kilipigwa kombora kikanyofoka!
When the September blasts that damaged Nord Stream came up, the Russian president said that Gazprom was allowed to inspect the damage. Sweden had refused to involve Russia in the investigation, citing information “that is subject to confidentiality directly linked to national security.”
The blast “tore off” a 40-meter section of the pipe and separated the lines by 250 meters, Putin said, adding there was “a piece bent by 90 degrees and thrown against another part of Nord Stream.”