Hajawahi kuwa rais wala mtoto wa rais.Mbona Seif Sharrif hammad huongelei ambaye kila chaguzi mgombea ni yeye
Mbona Seif Sharrif hammad huongelei ambaye kila chaguzi mgombea ni yeye
ukoo wa ubwenyenye tupu hapo watoto wa walalahoi hawatii mguu,dah ccm bhanaNaona huko Zanzibar mnaleta mambo ya ki-chifu.
Hii yote ni himaya ya ccm ndugu watanzania tuwe macho na machifu hawa tuwakatae.
- Abeid Amani Karume-rais wa kwanza Zanzibar
- Aman Abeid Karume- rais mstaafu Zanzibar
- Ali Hassan Mwinyi -rais mstaafu Zanzibar na Tanzania
- Hussein Mwinyi -mgombea urais 2020
- Ali Karume -mgombea urais 2020
Nikwite mpumbavu au jina gani zuri litakufaaMbona Seif Sharrif hammad huongelei ambaye kila chaguzi mgombea ni yeye
na wewe si uchukuwe form ushindane nayeMbona Seif Sharrif hammad huongelei ambaye kila chaguzi mgombea ni yeye
we toka lini ukakuta ccm likawa na akiliNikwite mpumbavu au jina gani zuri litakufaa