Huu uchawi nilikuwa siujui hadi siku ya jumapili iliyopita

Huu uchawi nilikuwa siujui hadi siku ya jumapili iliyopita

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Dunia inamengi.

Kuna mshkaji wangu amefungua biashara mahala hapa jijini. Mambo yanaenda kasi na anafanikiwa kiasi kwamba aliowakuta wengine wanafikiria kufunga wengine wamepata presha kwa kuhofia hatma yao.

Ghafla vita vikali vikaanza. Kama kawaida sisi watu wa dua huwa hatushindwi na ushirikina. Kila shambulio tulihakikisha linapanguliwa na dua. Mwenyewe nimeshiriki kutia dua kwenye hiyo bizness.

Juzi kaja dada mmoja katumwa kaanza kutukana matusi na kulazimisha ugomvi (huku waliompanga wamekaa kwa mbali wanafuatila mchakato waliouset ), dua zikatuelekeza kunyamaza kimya. Kataka kurusha hadi mawe, sisi kimya. Alipoona lengo halitimii akaamua kuondoka.

Mfanya biashara pembeni akatutonya kuwa mmeepusha jambo kubwa. Huo uchawi upo, mtu anatumwa kuja kukuchokoza ili upaniki na kujibishana. Ukifanya hivyo tu unakuwa umefungua njia ya ule uchawi kufanya kazi. Yule jamaa akadai kwao watu wanapigwa sana kwa njia hiyo. Basi tukamwambia haina shida huku tukijua dua hupangua hila zote za kishirikina.

Note: Mimi ni mshauri wa kiroho kwenye biashara ya mdau wangu na nimekuwa nikifika hapo mara kwa mara kumuongezea nguvu ili apige pesa zaidi.


Ni hayo tu.
 
Dunia inamengi.

Kuna mshkaji wangu amefungua biashara mahala hapa jijini. Mambo yanaenda kasi na anafanikiwa kiasi kwamba aliowakuta wengine wanafikiria kufunga wengine wamepata presha kwa kuhofia hatma yao.

Ghafla vita vikali vikaanza. Kama kawaida sisi watu wa dua huwa hatushindwi na ushirikina. Kila shambulio tuligakikisha linapanguliwa na dua. Mwenyewe nimeshiriki kutia dua kwenye hiyo bizness.

Juzi kaja dada mmoja katumwa kaanza kutukana matusi na kulazimisha ugomvi, dua zikatuelekeza kunyamaza kimya. Kataka kurusha hadi mawe, sisi kimya. Alipoona lengo halitimii akaamua kuondoka.

Mfanya biashara pembeni akatutonya kuwa mmeepusha jambo kubwa. Huo uchawi upo, mtu anatumwa kuja kukuchokoza ili upaniki na kujibishana. Ukifanya hivyo tu unakuwa umefungua njia ya ule uchawi kufanya kazi. Yule jamaa akadai kwao watu wanapigwa sana kwa njia hiyo. Basi tukamwambia haina shida huku tukijua dua hupangua hila zote za kishirikina.

Note: Mimi ni mshauri wa kiroho kwenye biashara ya mdau wangu na nimekuwa nikifika hapo mara kwa mara kumuongezea nguvu ili apige pesa zaidi.


Ni hayo tu.
Wewe bado sana Mkuu kuhusu kutambua masuala ya MAAGANO.

Hayo mambo achana nayo kabisa, labda kama alikuwa anatumia Dawa za wale masai wanaozunguka mitaani na ma gallon ya asali. 🥴🥴🥴
 
Dunia inamengi.

Kuna mshkaji wangu amefungua biashara mahala hapa jijini. Mambo yanaenda kasi na anafanikiwa kiasi kwamba aliowakuta wengine wanafikiria kufunga wengine wamepata presha kwa kuhofia hatma yao.

Ghafla vita vikali vikaanza. Kama kawaida sisi watu wa dua huwa hatushindwi na ushirikina. Kila shambulio tuligakikisha linapanguliwa na dua. Mwenyewe nimeshiriki kutia dua kwenye hiyo bizness.

Juzi kaja dada mmoja katumwa kaanza kutukana matusi na kulazimisha ugomvi, dua zikatuelekeza kunyamaza kimya. Kataka kurusha hadi mawe, sisi kimya. Alipoona lengo halitimii akaamua kuondoka.

Mfanya biashara pembeni akatutonya kuwa mmeepusha jambo kubwa. Huo uchawi upo, mtu anatumwa kuja kukuchokoza ili upaniki na kujibishana. Ukifanya hivyo tu unakuwa umefungua njia ya ule uchawi kufanya kazi. Yule jamaa akadai kwao watu wanapigwa sana kwa njia hiyo. Basi tukamwambia haina shida huku tukijua dua hupangua hila zote za kishirikina.

Note: Mimi ni mshauri wa kiroho kwenye biashara ya mdau wangu na nimekuwa nikifika hapo mara kwa mara kumuongezea nguvu ili apige pesa zaidi.


Ni hayo tu.
Basi ndo huu uchawi niliopigwa , nateseka mpaka leo kiaina. Yaani ikitokea ugomvi na mimi nikakasirika.
 
Dunia inamengi.

Kuna mshkaji wangu amefungua biashara mahala hapa jijini. Mambo yanaenda kasi na anafanikiwa kiasi kwamba aliowakuta wengine wanafikiria kufunga wengine wamepata presha kwa kuhofia hatma yao.

Ghafla vita vikali vikaanza. Kama kawaida sisi watu wa dua huwa hatushindwi na ushirikina. Kila shambulio tuligakikisha linapanguliwa na dua. Mwenyewe nimeshiriki kutia dua kwenye hiyo bizness.

Juzi kaja dada mmoja katumwa kaanza kutukana matusi na kulazimisha ugomvi, dua zikatuelekeza kunyamaza kimya. Kataka kurusha hadi mawe, sisi kimya. Alipoona lengo halitimii akaamua kuondoka.

Mfanya biashara pembeni akatutonya kuwa mmeepusha jambo kubwa. Huo uchawi upo, mtu anatumwa kuja kukuchokoza ili upaniki na kujibishana. Ukifanya hivyo tu unakuwa umefungua njia ya ule uchawi kufanya kazi. Yule jamaa akadai kwao watu wanapigwa sana kwa njia hiyo. Basi tukamwambia haina shida huku tukijua dua hupangua hila zote za kishirikina.

Note: Mimi ni mshauri wa kiroho kwenye biashara ya mdau wangu na nimekuwa nikifika hapo mara kwa mara kumuongezea nguvu ili apige pesa zaidi.


Ni hayo tu.
Kwa hiyo?
 
Dunia inamengi.

Kuna mshkaji wangu amefungua biashara mahala hapa jijini. Mambo yanaenda kasi na anafanikiwa kiasi kwamba aliowakuta wengine wanafikiria kufunga wengine wamepata presha kwa kuhofia hatma yao.

Ghafla vita vikali vikaanza. Kama kawaida sisi watu wa dua huwa hatushindwi na ushirikina. Kila shambulio tuligakikisha linapanguliwa na dua. Mwenyewe nimeshiriki kutia dua kwenye hiyo bizness.

Juzi kaja dada mmoja katumwa kaanza kutukana matusi na kulazimisha ugomvi, dua zikatuelekeza kunyamaza kimya. Kataka kurusha hadi mawe, sisi kimya. Alipoona lengo halitimii akaamua kuondoka.

Mfanya biashara pembeni akatutonya kuwa mmeepusha jambo kubwa. Huo uchawi upo, mtu anatumwa kuja kukuchokoza ili upaniki na kujibishana. Ukifanya hivyo tu unakuwa umefungua njia ya ule uchawi kufanya kazi. Yule jamaa akadai kwao watu wanapigwa sana kwa njia hiyo. Basi tukamwambia haina shida huku tukijua dua hupangua hila zote za kishirikina.

Note: Mimi ni mshauri wa kiroho kwenye biashara ya mdau wangu na nimekuwa nikifika hapo mara kwa mara kumuongezea nguvu ili apige pesa zaidi.


Ni hayo tu.
Wewe binafsi una biashara yoyote ile?
 
Biashara yako inahitaji itangazwe na matangazo yanahitaji yavutie ili watu waweze ku engage nawe katika mtatizo utakayo saidia kuwatatulia (first impression)

Ninahudumia wafanyabiashara na makampuni katika kukuza bishara zao kwa kutumia huduma za Graphic Design.
Sio yangu mkuu ni ya mdau wangu.
Asante kwa tangazo, imeshafanyika.
 
Back
Top Bottom