Huu uchawi nilikuwa siujui hadi siku ya jumapili iliyopita

Huu uchawi nilikuwa siujui hadi siku ya jumapili iliyopita

Note: Mimi ni mshauri wa kiroho kwenye biashara ya mdau wangu na nimekuwa nikifika hapo mara kwa mara kumuongezea nguvu ili apige pesa zaidi.


Ni hayo tu.
Kuna mwenzio alipelekewa makombora mfululizo kesho yake akafunga biashara akakimbia maana maneno yaliyoongelewa ni aibu kwa yeye kuendelea kua eneo hilo
 
Kuna mwenzio alipelekewa makombora mfululizo kesho yake akafunga biashara akakimbia maana maneno yaliyoongelewa ni aibu kwa yeye kuendelea kua eneo hilo
Vita vya kiroho ni vita vya maneno.
Ndio maana Mungu alipotaka Kumtumia Ezekiel kwenye kazi ngumu na mazingira tata,

Alianza kumuandaa moyo kupokea maneno magumu. Alimpa tahadhari zaidi ya mara tatu dhidi ya maneno.
Pia alimfanya awe na uso wa gumegume sugu hata umwambir nini harudi nyuma.

Ukiwa soft na unapitika kwa maneno ya watu, hakuna utakachotoboa. Majini yanafanya kazi kupitia maneno ya mawakala wao
 
𝒉𝒂𝒕𝒂 𝒘𝒆 𝒖𝒏𝒂𝒌𝒊𝒕𝒖 𝒖𝒔𝒊𝒅𝒂𝒏𝒈𝒂𝒏𝒚𝒆 𝒘𝒂𝒕𝒖. 𝑲𝒖𝒏𝒂 𝒘𝒂𝒕𝒖 𝒘𝒂𝒏𝒂𝒋𝒊𝒇𝒂𝒏𝒚𝒂 𝒌𝒖𝒔𝒂𝒍𝒊 𝒌𝒖𝒎𝒃𝒆 𝒏𝒈𝒐𝒛𝒊 𝒚𝒂 𝒌𝒐𝒏𝒅𝒐𝒐
 
Dunia inamengi.

Kuna mshkaji wangu amefungua biashara mahala hapa jijini. Mambo yanaenda kasi na anafanikiwa kiasi kwamba aliowakuta wengine wanafikiria kufunga wengine wamepata presha kwa kuhofia hatma yao.

Ghafla vita vikali vikaanza. Kama kawaida sisi watu wa dua huwa hatushindwi na ushirikina. Kila shambulio tulihakikisha linapanguliwa na dua. Mwenyewe nimeshiriki kutia dua kwenye hiyo bizness.

Juzi kaja dada mmoja katumwa kaanza kutukana matusi na kulazimisha ugomvi (huku waliompanga wamekaa kwa mbali wanafuatila mchakato waliouset ), dua zikatuelekeza kunyamaza kimya. Kataka kurusha hadi mawe, sisi kimya. Alipoona lengo halitimii akaamua kuondoka.

Mfanya biashara pembeni akatutonya kuwa mmeepusha jambo kubwa. Huo uchawi upo, mtu anatumwa kuja kukuchokoza ili upaniki na kujibishana. Ukifanya hivyo tu unakuwa umefungua njia ya ule uchawi kufanya kazi. Yule jamaa akadai kwao watu wanapigwa sana kwa njia hiyo. Basi tukamwambia haina shida huku tukijua dua hupangua hila zote za kishirikina.

Note: Mimi ni mshauri wa kiroho kwenye biashara ya mdau wangu na nimekuwa nikifika hapo mara kwa mara kumuongezea nguvu ili apige pesa zaidi.


Ni hayo tu.
Bila shaka huwa unaondoka na chochote baba mshauri wa kiroho wa biashara ya mdau.
 
Bila shaka huwa unaondoka na chochote baba mshauri wa kiroho wa biashara ya mdau.
Nimegundua wengi humu ni wahanga wa kuombwa sadaka. Hahahaha.
Mkuu mimi ninasystem zangu za kupata vipato. Hivyo vya wadau nachagua kama nabii Elisha. Alikataa mamilioni ya Naaman Msiria akachukua sadaka ya makazi kwa mama mshunami.
Huyu ni mdau wangu na partner kiuchumi sio chanzo cha sadaka.

Kuitumikia serikali ya Ufalme unaotwala trillions za sayari katika universe ni akili ndogo tu isiyojitambua ndio itakuwa inavizia sadaka kama mshahara. Mimi fedha ni 1% ya mshahara wangu kutoka kwa Mungu 99% ya mshahara anaonipa Mungu hauwezi kudhaminishwa kwa fedha.
 
Dunia inamengi.

Kuna mshkaji wangu amefungua biashara mahala hapa jijini. Mambo yanaenda kasi na anafanikiwa kiasi kwamba aliowakuta wengine wanafikiria kufunga wengine wamepata presha kwa kuhofia hatma yao.

Ghafla vita vikali vikaanza. Kama kawaida sisi watu wa dua huwa hatushindwi na ushirikina. Kila shambulio tulihakikisha linapanguliwa na dua. Mwenyewe nimeshiriki kutia dua kwenye hiyo bizness.

Juzi kaja dada mmoja katumwa kaanza kutukana matusi na kulazimisha ugomvi (huku waliompanga wamekaa kwa mbali wanafuatila mchakato waliouset ), dua zikatuelekeza kunyamaza kimya. Kataka kurusha hadi mawe, sisi kimya. Alipoona lengo halitimii akaamua kuondoka.

Mfanya biashara pembeni akatutonya kuwa mmeepusha jambo kubwa. Huo uchawi upo, mtu anatumwa kuja kukuchokoza ili upaniki na kujibishana. Ukifanya hivyo tu unakuwa umefungua njia ya ule uchawi kufanya kazi. Yule jamaa akadai kwao watu wanapigwa sana kwa njia hiyo. Basi tukamwambia haina shida huku tukijua dua hupangua hila zote za kishirikina.

Note: Mimi ni mshauri wa kiroho kwenye biashara ya mdau wangu na nimekuwa nikifika hapo mara kwa mara kumuongezea nguvu ili apige pesa zaidi.


Ni hayo tu.
Toa lipa namba tupo tayari.
 
Back
Top Bottom