Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Duuuh! š¤£Pole sana. Mimi azana zote huwa zinanikuta nimeshaomba. Hasa ile ya asubuhi. Huwa siruhusu initangulie kwa mujibu wa mafunuo yangu ya rohoni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuh! š¤£Pole sana. Mimi azana zote huwa zinanikuta nimeshaomba. Hasa ile ya asubuhi. Huwa siruhusu initangulie kwa mujibu wa mafunuo yangu ya rohoni.
Mungu aendelee kukupa ulinzi.Kitu nilichogundua wabongo tunaamini sana ushirikina.
Ila mimi nashangaa life langu linasonga tu sijawahi hata kwenda kwa mganga, kwenda kwa mitume kuombewa, kuamini nguvu za kichawi, au kuhisi nimerogwa, kuvaa hirizi au kuogea chumvi ya mawe. Na sijawahi kuamini jambo langu lisipofanikiwa basi nimerogwa
Kwa kifupi sijawahi kuwaaamini wachawi, waganga na wachungaji sijui manabii na makuhani
Mimi ni Mungu tu ndiye namuamini katika yote nje ya hapo vingine vilivyobaki ni njia za Shetani tu kuwaweka kando na Mungu
Najihisi niko huru sana. Ukitaka uwe mtumwa na kupoteza muda na pesa anza kuamini ushirikina (wachawi), waganga na wale wa maombezi makanisani na wale wanaojiita washauri wa kiroho
Amina!Mungu aendelee kukupa ulinzi.
Uchawi mdogo sana huo ni WA shilingi 200 huku namanyereDunia inamengi.
Kuna mshkaji wangu amefungua biashara mahala hapa jijini. Mambo yanaenda kasi na anafanikiwa kiasi kwamba aliowakuta wengine wanafikiria kufunga wengine wamepata presha kwa kuhofia hatma yao.
Ghafla vita vikali vikaanza. Kama kawaida sisi watu wa dua huwa hatushindwi na ushirikina. Kila shambulio tulihakikisha linapanguliwa na dua. Mwenyewe nimeshiriki kutia dua kwenye hiyo bizness.
Juzi kaja dada mmoja katumwa kaanza kutukana matusi na kulazimisha ugomvi (huku waliompanga wamekaa kwa mbali wanafuatila mchakato waliouset ), dua zikatuelekeza kunyamaza kimya. Kataka kurusha hadi mawe, sisi kimya. Alipoona lengo halitimii akaamua kuondoka.
Mfanya biashara pembeni akatutonya kuwa mmeepusha jambo kubwa. Huo uchawi upo, mtu anatumwa kuja kukuchokoza ili upaniki na kujibishana. Ukifanya hivyo tu unakuwa umefungua njia ya ule uchawi kufanya kazi. Yule jamaa akadai kwao watu wanapigwa sana kwa njia hiyo. Basi tukamwambia haina shida huku tukijua dua hupangua hila zote za kishirikina.
Note: Mimi ni mshauri wa kiroho kwenye biashara ya mdau wangu na nimekuwa nikifika hapo mara kwa mara kumuongezea nguvu ili apige pesa zaidi.
Ni hayo tu.
šššUchawi mdogo sana huo ni WA shilingi 200
Dua. Sala. Maombi.Dual ndo nini??
Kyoma unaitumiaje hebu okoa wengiSema chumvi ya mawe inanguvu Sana huwezi kupigwa uchawi
Tangu nianze kutumia chumvi ya mawe wachawi wa mtaani hawanisalimii wakati Mwanzo walikuwa wananipa hadi chakula kiufupi nimewathibiti
šHii hatari mkuu unapiga Kama dozi siku Saba Hadi 21 na kuendelea Mimi nimejifunza. Kwa Mshana JrKyoma unaitumiaje hebu okay wengi
Sawa. Unamaoni mazuri. Inaonekana unaupeo flani hivi.Trust me mwsho wa siku mtaishia kuwa maadui na huyo jamaa ako, na utaonekana mchawi, Cha pili huna kazi za kufanya mpaka Kila sku kwenye biashara za watu
Angalia Hilo mtu chake bhna kiongozi hawa binadamu sio wazuriSawa. Unamaoni mazuri. Inaonekana unaupeo flani hivi.
Asante.
Wewe ni mtu mwema sana. Barikiwa.Angalia Hilo mtu chake bhna kiongozi hawa binadamu sio wazuri