Tushakujua mchawi wa visomo huna jipya lipia tangazo wateja watakufuata pmDunia inamengi.
Kuna mshkaji wangu amefungua biashara mahala hapa jijini. Mambo yanaenda kasi na anafanikiwa kiasi kwamba aliowakuta wengine wanafikiria kufunga wengine wamepata presha kwa kuhofia hatma yao.
i.
Ni hayo tu.
unaogea ila usiogee chooniUnatumiaje hii?
Biashara matangazo...Tumekupata MzeeDunia inamengi.
Kuna mshkaji wangu amefungua biashara mahala hapa jijini. Mambo yanaenda kasi na anafanikiwa kiasi kwamba
Ni hayo tu.
Biashara gani mkuu.Biashara matangazo...Tumekupata Mzee
Sawa SheheTushakujua mchawi wa visomo huna jipya lipia tangazo wateja watakufuata pm
Ok, unachanganya na maji au? Je kwa zile nyumba ambazo bafuni humohumo kuna choo pembeni inakuwaje?unaogea ila usiogee chooni
Kuna mwenzio alipelekewa makombora mfululizo kesho yake akafunga biashara akakimbia maana maneno yaliyoongelewa ni aibu kwa yeye kuendelea kua eneo hiloNote: Mimi ni mshauri wa kiroho kwenye biashara ya mdau wangu na nimekuwa nikifika hapo mara kwa mara kumuongezea nguvu ili apige pesa zaidi.
Ni hayo tu.
chumvi ya mawe unaifanyaje mkuuSema chumvi ya mawe inanguvu Sana huwezi kupigwa uchawi
Tangu nianze kutumia chumvi ya mawe wachawi wa mtaani hawanisalimii wakati Mwanzo walikuwa wananipa hadi chakula kiufupi nimewathibiti
Vita vya kiroho ni vita vya maneno.Kuna mwenzio alipelekewa makombora mfululizo kesho yake akafunga biashara akakimbia maana maneno yaliyoongelewa ni aibu kwa yeye kuendelea kua eneo hilo
unaweka kwenye maji unaoga kama bafu lina choo humo humo ogea nje chooni kuna majini hakufai kwa zoezi hilo!Ok, unachanganya na maji au? Je kwa zile nyumba ambazo bafuni humohumo kuna choo pembeni inakuwaje?
Okunaweka kwenye maji unaoga kama bafu lina choo humo humo ogea nje chooni kuna majini hakufai kwa zoezi hilo!
Bila shaka huwa unaondoka na chochote baba mshauri wa kiroho wa biashara ya mdau.Dunia inamengi.
Kuna mshkaji wangu amefungua biashara mahala hapa jijini. Mambo yanaenda kasi na anafanikiwa kiasi kwamba aliowakuta wengine wanafikiria kufunga wengine wamepata presha kwa kuhofia hatma yao.
Ghafla vita vikali vikaanza. Kama kawaida sisi watu wa dua huwa hatushindwi na ushirikina. Kila shambulio tulihakikisha linapanguliwa na dua. Mwenyewe nimeshiriki kutia dua kwenye hiyo bizness.
Juzi kaja dada mmoja katumwa kaanza kutukana matusi na kulazimisha ugomvi (huku waliompanga wamekaa kwa mbali wanafuatila mchakato waliouset ), dua zikatuelekeza kunyamaza kimya. Kataka kurusha hadi mawe, sisi kimya. Alipoona lengo halitimii akaamua kuondoka.
Mfanya biashara pembeni akatutonya kuwa mmeepusha jambo kubwa. Huo uchawi upo, mtu anatumwa kuja kukuchokoza ili upaniki na kujibishana. Ukifanya hivyo tu unakuwa umefungua njia ya ule uchawi kufanya kazi. Yule jamaa akadai kwao watu wanapigwa sana kwa njia hiyo. Basi tukamwambia haina shida huku tukijua dua hupangua hila zote za kishirikina.
Note: Mimi ni mshauri wa kiroho kwenye biashara ya mdau wangu na nimekuwa nikifika hapo mara kwa mara kumuongezea nguvu ili apige pesa zaidi.
Ni hayo tu.
Nimegundua wengi humu ni wahanga wa kuombwa sadaka. Hahahaha.Bila shaka huwa unaondoka na chochote baba mshauri wa kiroho wa biashara ya mdau.
😃Tangazo limekaa kimasta Sana😃
Toa lipa namba tupo tayari.Dunia inamengi.
Kuna mshkaji wangu amefungua biashara mahala hapa jijini. Mambo yanaenda kasi na anafanikiwa kiasi kwamba aliowakuta wengine wanafikiria kufunga wengine wamepata presha kwa kuhofia hatma yao.
Ghafla vita vikali vikaanza. Kama kawaida sisi watu wa dua huwa hatushindwi na ushirikina. Kila shambulio tulihakikisha linapanguliwa na dua. Mwenyewe nimeshiriki kutia dua kwenye hiyo bizness.
Juzi kaja dada mmoja katumwa kaanza kutukana matusi na kulazimisha ugomvi (huku waliompanga wamekaa kwa mbali wanafuatila mchakato waliouset ), dua zikatuelekeza kunyamaza kimya. Kataka kurusha hadi mawe, sisi kimya. Alipoona lengo halitimii akaamua kuondoka.
Mfanya biashara pembeni akatutonya kuwa mmeepusha jambo kubwa. Huo uchawi upo, mtu anatumwa kuja kukuchokoza ili upaniki na kujibishana. Ukifanya hivyo tu unakuwa umefungua njia ya ule uchawi kufanya kazi. Yule jamaa akadai kwao watu wanapigwa sana kwa njia hiyo. Basi tukamwambia haina shida huku tukijua dua hupangua hila zote za kishirikina.
Note: Mimi ni mshauri wa kiroho kwenye biashara ya mdau wangu na nimekuwa nikifika hapo mara kwa mara kumuongezea nguvu ili apige pesa zaidi.
Ni hayo tu.
🤣🤣🤣Mimi ni mshauri wa kiroho kwenye biashara ya mdau wangu
Ukipambania hilo unaweza kutoboa kwenye teuzi za mamaAcha utani wako hapa na kunichafua .mimi sitaki habari za waganga wa kienyeji wala ushirikina hapa.