Huu uhaba wa dola unasababishwa na miradi ya pupa aliyoianzisha Magufuli akijitapa sisi ni matajiri

Huu uhaba wa dola unasababishwa na miradi ya pupa aliyoianzisha Magufuli akijitapa sisi ni matajiri

Miradi inatumia fedha nyingi za kigeni kufanya imports ya vifaa na kulipa wakandarasi

Miradi mingi inatumia mikopo ambayo imeshaanza kulipwa kabla hata matunda ya mradi hayajaanza kuingiza kipato

Haya mambo tulitarajia na tuliyasema kabla

Alie anzisha fake ID aliwasitili sana Mapopoma.
Magufuli aliacha reserve nyingi pale BOT, Mmeikomba mkaishusha hatari. Sasa hivi mnagawana tu hadi Bungeni Mnagawana Mitungi afu mnasingizia miradi inayoendelea kujengwa kwa pesa za Mikopo.

Sera mbovu za kukomba kila kitu kwa wananchi kupitia TOZO mnashindwa kutumia sera za kuvutia wawekezaji wakubwa wakubwa na maizo nje ndio zinafanya haya yote.
 
Miradi inatumia fedha nyingi za kigeni kufanya imports ya vifaa na kulipa wakandarasi

Miradi mingi inatumia mikopo ambayo imeshaanza kulipwa kabla hata matunda ya mradi hayajaanza kuingiza kipato

Haya mambo tulitarajia na tuliyasema kabla

Mbaazi zikikosa kuzaa husingizia jua !!
 
Miradi inatumia fedha nyingi za kigeni kufanya imports ya vifaa na kulipa wakandarasi

Miradi mingi inatumia mikopo ambayo imeshaanza kulipwa kabla hata matunda ya mradi hayajaanza kuingiza kipato

Haya mambo tulitarajia na tuliyasema kabla

Mtu amekufa miaka 2 huku bado unamsingizia mambo yenu baada ya kushindwa kujenga nchi
 
Acha uongo mtoa post ni aibu Kwa mtu mzima kama wewe kuandika chuki zako uliloandika hapa wenye AKILI zetu tunakucheka kwa ujinga huu ulioandika,tangu lini miradi ikamaliza dola?????

Shame on you
 
Wewe hata mmeo akishindwa kusimamisha ili akupande unamlaumu Magufuli.
 
Acha uongo mtoa post ni aibu Kwa mtu mzima kama wewe kuandika chuki zako uliloandika hapa wenye AKILI zetu tunakucheka kwa ujinga huu ulioandika,tangu lini miradi ikamaliza dola?????

Shame on you
Miradi inakula fedha za nje, vifaa vinaagizwa nje
 
Miradi inatumia fedha nyingi za kigeni kufanya imports ya vifaa na kulipa wakandarasi

Miradi mingi inatumia mikopo ambayo imeshaanza kulipwa kabla hata matunda ya mradi hayajaanza kuingiza kipato

Haya mambo tulitarajia na tuliyasema kabla

Magufuli anahusika vipi? Wewe ni mpumbavu??
 
Time will Tell.
Miradi inatumia fedha nyingi za kigeni kufanya imports ya vifaa na kulipa wakandarasi

Miradi mingi inatumia mikopo ambayo imeshaanza kulipwa kabla hata matunda ya mradi hayajaanza kuingiza kipato

Haya mambo tulitarajia na tuliyasema kabla

Mmesomesha wataalamu lakini hamwasikilizi wala kuwatumia. Nchi huongozwa na economists na W/Diplomasia wa Uchumi, waliosoma. Mf. Havard, Oxford, Edinburg, Ezra Cornel. Sio Wakemi* wa Gamboshy
 
Miradi inatumia fedha nyingi za kigeni kufanya imports ya vifaa na kulipa wakandarasi

Miradi mingi inatumia mikopo ambayo imeshaanza kulipwa kabla hata matunda ya mradi hayajaanza kuingiza kipato

Haya mambo tulitarajia na tuliyasema kabla

Usipoolewa safari hii utakuwa huna bahati aisee...
 
Miradi inatumia fedha nyingi za kigeni kufanya imports ya vifaa na kulipa wakandarasi

Miradi mingi inatumia mikopo ambayo imeshaanza kulipwa kabla hata matunda ya mradi hayajaanza kuingiza kipato

Haya mambo tulitarajia na tuliyasema kabla

Marehemu anawatesa sana
 
Back
Top Bottom