Huu ujumbe wa Nape Nnauye anamlenga nani?

Huu ujumbe wa Nape Nnauye anamlenga nani?

Itakuwa yule mbwa aliyekuwa analia makaburini
 
Hana jipya huyo akae Kwa kutulia , aende gombea kombe mtama Kwa maana njia aliyotumia na yeye kutoboa ndiyo wenzio wanapitia humo humo ' UCHAWA' .
 
iu
 
Nape anaamini yeye ndo alikuwa katibu wa itikadi na uenezi bora kuliko wote, sasa hivi vituko vya makonda vimemuibua, hawa jamaa hawajawahi kuelewana
 
Makonda atalipigia simu na lenyewe siku wananchi wakilia kuhusu bando .limechukia kusikia kijana hatamkana baba yake hata awekewe bastola
Afanye hivyo haraka sana ... tunakamuliwa mpaka damu waziri kafa ganzi
 
Nape apeleke report yake ya utendaji wa miezi 3 kwa Makonda asilete vojembe vyake
 
MUNGU FUNDI HAYA NDIO TULIYASUBIRI MDOGOMDOGO
 
Nape aandae majibu tu, ngoja kijana aendelee na ziara yake kanda ya ziwa akutane na kijiji hakina minara ya simu hata mmoja wananchi watasikilizwa simu wasikie anavyojibu. Ukute anaulizwa swali korofi sijui atajibuje na shombo zake hizi!
 
Makonda kawashika nyeti
Hatari sana..[emoji1][emoji1], hivi ni kweli CCM hawajui bila JPM uchaguzi ujao angejitokeza tu mtu akamtumia JPM walikuwa wanaondoka? bado kuna watu wanaamini JPM aliiba kura...!!??? Pathetic..
 
Back
Top Bottom