Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
Lisu si anakuwekea pesa mfukoni banaUjio wa Magufuli kwenye uongozi wa Tanzania umeleta umasikini wa kutisha halafu Watu wanaoneshwa Madaraja.
N.a. ndio haohao juzi na jana walikuwa wanalia ilhali wananjaa.
Watu wanaoishi hivyo nchi hii ni wengiii mnooo. Kumbe hujaona mengi, siku moja pita hata Kariakoo saa 8 usiku ujionee, watu wanalala kwenye mabox ya kukodi pembeni kwenye maduka ya watu kwa gharama ya Tsh 400.
Pita pita Dar usiku ujionee watu wanaolala barabarani.
Nchi hii ni ina hohe hahe wa kiwango cha kutishaaaa.
Yes. Tunajisahau sana. Life is a Mystery. Kama umewahi kupitia shida na Mambo yakawa mazuri baadae .... Huwezi kuja kuandika huu Utumbo alioandika huyu mwanzisha Uzi.Kuna watu wana dharau utadhani wao wana maisha mazuri sana, aliyempa yeye ni Mungu na aliemnyima mwingine ni Mungu
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole na Msiba Kaka Pablo Blancoumeongea point
Alizaaje watoto wote hao wakati anajua hayupo stable kiuchumi.
Huenda walikotoka wanadaiwa kodi wameacha vyomboHabari za mchana ndugu zangu,
Kuna dada mmoja alikuja home kutafuta chumba cha kupanga tukamuonesha chumba kimoja akakisafisha kesho yake akaja na mumewe kumuonesha.
Mume akadai chumba hajakipenda wakaondoka baada ya week akarudi tena, kile chumba kikawa kimepata mteja tukamuonesha chumba kingine.
Akasafisha akahamia jioni, jambo lililonifikirisha ni umaskini alionao huyu mama. Imagine ana watoto wanne hana kitanda wala gogoro yani yeye pamoja na mumewe na watoto wanalalia mkeka hata stuli moja tu hamna, ni nguo na vyombo vya ndani tu.
Najiuliza mumewe alikua na jeuri gani ya kukataa chumba kile wakati yeye hana kitu ndani.
Dunia ina maajabu hii, mume mlevi wa kutupwa dah poleni kina mama.
Hiyo familia imepitia mikononi mwako ili uweze kuwasaidia kwa kadiri ya uwezo wako na sio kuja huku mitandaoni na kuwakashifu na kuwakejeli.
Utajiri ni mtego!Sasa wengine ndio Kama hao... Wanakuja kutujazia nyuzi humu za kejeli. Badala ya kutoa msaada hata kidogo kwa kadiri ya alivyojaliwa. Watu tunajisahau Sana. Tunafikiri hivi tulivyonavyo Ni kwa ujanja na akili zetu .... Ni Kudra za Mwenyezi Mungu. Maisha huwa yanageuka wakati mwingine huwezi kuamuni.
Tenda Wema ... Malipo Ni Hapa Hapa Duniani.
Kuna eneo nilikua naangalia wanafunzi wa shule ndio nikaona dhiki kuu inayotukabili watanzania. Mtu hata sabubni ya 100/= hawezi mudu.
Afu kuna mtu anajaza mabilioni benki sijui hua wanamuwekea nani.
The worst part ni kua wenye kujali maimivu ya wenzao hawana uwezo...Wenye uwezo hawajali kabisa[emoji22]
Egemea upande chanya wa maisha utafurahia uhai wakokuna gharama yake pia.unaweza ukamasaidia mtu akakugeuka ukajuta kumsaidia
Umri pia unaweza kuta alioleta huu uzi ni kachalii tu, mtu mwenye akili zake timamu na utu uzima asingeweza kufanya hivyoYes. Tunajisahau sana. Life is a Mystery. Kama unewahi kupitia shida na Mambo yakawa mazuri baadae .... Huwezi kuja kuandika huu Utumbo alioandika huyu mwanzisha Uzi.
Inasikitisha sana
maisha ukipata kidogo usikufuru Kuna wasionacho kabisa
IQ hafifuLisu si anakuwekea pesa mfukoni bana
Umejuaje kama hali imembadilikia tayari alikua na watoto na mke ? ukishakua mwanaume unaweza ukaparangana tu,, hata huyo mwanamke mnaomsema anamvumili huyo baba huenda wakati mzee yupo vizuri aliwahudumia vizuri sana, msijaji vitu msivyovijuaKwa nini watu wanazaa watoto wengi hivyo wakati wanajua hawawezi kuwatunza??
Unatakiwa kumpa pole mwanaume mwenzako. Huyo mama ndo anaiendesha familia...wanawake oyeeHabari za mchana ndugu zangu,
Kuna dada mmoja alikuja home kutafuta chumba cha kupanga tukamuonesha chumba kimoja akakisafisha kesho yake akaja na mumewe kumuonesha.
Mume akadai chumba hajakipenda wakaondoka baada ya week akarudi tena, kile chumba kikawa kimepata mteja tukamuonesha chumba kingine.
Akasafisha akahamia jioni, jambo lililonifikirisha ni umaskini alionao huyu mama. Imagine ana watoto wanne hana kitanda wala gogoro yani yeye pamoja na mumewe na watoto wanalalia mkeka hata stuli moja tu hamna, ni nguo na vyombo vya ndani tu.
Najiuliza mumewe alikua na jeuri gani ya kukataa chumba kile wakati yeye hana kitu ndani.
Dunia ina maajabu hii, mume mlevi wa kutupwa dah poleni kina mama.
Atajuaje na akili hana kaka kwenye nyumba ya baba ake anakula kodi...akili hana mtoa mada..pumbavu kabisa..et limefungua na uziUngekuwa mwelewa ungegundua haikuwa ubovu wa chumba bali hakuwa nayo kodi