Huu umaskini ni wa kutisha

Ujio wa Magufuli kwenye uongozi wa Tanzania umeleta umasikini wa kutisha halafu Watu wanaoneshwa Madaraja.

N.a. ndio haohao juzi na jana walikuwa wanalia ilhali wananjaa.
Lisu si anakuwekea pesa mfukoni bana
 
Na bado wanaendelea kufyatua
 
Kuna watu wana dharau utadhani wao wana maisha mazuri sana, aliyempa yeye ni Mungu na aliemnyima mwingine ni Mungu

Sent using Jamii Forums mobile app
Yes. Tunajisahau sana. Life is a Mystery. Kama umewahi kupitia shida na Mambo yakawa mazuri baadae .... Huwezi kuja kuandika huu Utumbo alioandika huyu mwanzisha Uzi.
 
Huenda walikotoka wanadaiwa kodi wameacha vyombo
 
Inasikitisha sana
maisha ukipata kidogo usikufuru Kuna wasionacho kabisa
 
Kwa nini watu wanazaa watoto wengi hivyo wakati wanajua hawawezi kuwatunza??
Hiyo familia imepitia mikononi mwako ili uweze kuwasaidia kwa kadiri ya uwezo wako na sio kuja huku mitandaoni na kuwakashifu na kuwakejeli.
 
Utajiri ni mtego!
Ukiona umepewa uwezo wa kifedha ujue hizo sio zako bali za wakosaji. Ila wengi hupuuzia hili makusudi tu. Imagine mtu una miaka 80 unafisadi pesa ambazo zingesaidia watoto wasioijiweza.

Sometimes I think we don't deserve this world kwakweli...Tumeumbwa tusaidiane na kula kwa kugawana kidogo tupatacho ila sasa tunavyoishi heri wanyama.

".........Tunatoka wapi tunakwenda wapi, Ona tulivyomgeuka muumba wetu! hatukumbuki Mungu ametuumba kwa makusidi gani"😢
 
Kwa nini uzae watoto ambao huwezi kuwahudumia??
 
Yes. Tunajisahau sana. Life is a Mystery. Kama unewahi kupitia shida na Mambo yakawa mazuri baadae .... Huwezi kuja kuandika huu Utumbo alioandika huyu mwanzisha Uzi.
Umri pia unaweza kuta alioleta huu uzi ni kachalii tu, mtu mwenye akili zake timamu na utu uzima asingeweza kufanya hivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kama umesema uyo mme wake nimlevi utajuaje pangine alivyo kuja mara ya kwanza alikua amelewa[emoji848]..?
 
Kwa nini watu wanazaa watoto wengi hivyo wakati wanajua hawawezi kuwatunza??
Umejuaje kama hali imembadilikia tayari alikua na watoto na mke ? ukishakua mwanaume unaweza ukaparangana tu,, hata huyo mwanamke mnaomsema anamvumili huyo baba huenda wakati mzee yupo vizuri aliwahudumia vizuri sana, msijaji vitu msivyovijua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unatakiwa kumpa pole mwanaume mwenzako. Huyo mama ndo anaiendesha familia...wanawake oyee

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
 
Tajiri na mali zake masikini na watoto wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…