Sidhani kama hapa, tunaongelea utajiri.Utajiri ni mtego!
Ukiona umepewa uwezo wa kifedha ujue hizo sio zako bali za wakosaji. Ila wengi hupuuzia hili makusudi tu. Imagine mtu una miaka 80 unafisadi pesa ambazo zingesaidia watoto wasioijiweza.
Sometimes I think we don't deserve this world kwakweli...Tumeumbwa tusaidiane na kula kwa kugawana kidogo tupatacho ila sasa tunavyoishi heri wanyama.
".........Tunatoka wapi tunakwenda wapi, Ona tulivyomgeuka muumba wetu! hatukumbuki Mungu ametuumba kwa makusidi gani"😢
Kama mzee aliwahudumia kipindi yupo njema kwanini mama asifanye hivyo, au akifanya mwanamke mpaka apigwe makofi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unatakiwa kumpa pole mwanaume mwenzako. Huyo mama ndo anaiendesha familia...wanawake oyee
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Tema mate chini mjomba ili ya kaisari yabaki kuwa ya kaisari, huyo dingi umeambiwa ni mlevi wa kutupwa so hana msaada wowote kwenye familia isipokuwa ni baba wa ki bayalojia ila mama ndio kila kitu hapo. Kulewa analewa hata gongo au kitoko na walevi wenzie.Anapata pesa ya culera lakini sio ya kununua kitanda!!! kupanga ni kuchagua
Mume asingekuwa mlevi nisingesema vile mwanzo. Kwanini awe mlevi wakati familia ina shida hivyo? Huyo mama ni jembe la familiaKama mzee aliwahudumia kipindi yupo njema kwanini mama asifanye hivyo, au akifanya mwanamke mpaka apigwe makofi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mataputapuIQ hafifu
Awamu ya Mama narudi meza kubwa kwa taarifa yakoSawa mataputapu
Nimeumia..afu watu dizain hiyo wanavyopenda sasa dudu...wanaishi wap?
Safi kbs...ulitoka kwenye comfort zone...yaan nikionaga mkaka analalamika life gumu napataga hasira...nyie mna chances sana za kwenda popote pale dunian hapa ..yaan mie ningekuwa me kwakweli ningekua sijui wapi muda huu! Nyie mna raha sana...wanawake kuna vitu vingi sana vinatukwamisha .tunapiga sana marktimePesa inatafutwa ndugu. Nikikupa historia utashangaa sana. Maisha ni popote na usipende kumdharau mtu kwasbb hana
Nakumbuka nilitoka home na nguo zangu tu.
Nilitoka home na elfu 80 hiyo ni 2020 mwezi 2 tarehe 20 nikaenda mkoa wa kanda ya kati. Nimelipa nauli elfu 20, nikala msosi wa buku, nikalala gesti. Nikasema nikiendelea kulala gesti pesa zitaisha. Siku hiyo hiyo nikatafuta chumba nikapata cha 15,000. Nikalipa miezi 3.elfu 45,000
Jiulize nimebakiza shilingi ngapi. Sina ndugu sina rafiki.
Nimelala kwenye box, shati moja najifunika kwenye miguu na nyingine kichwan. Kipindi naenda nilikuwa na suruali mbili, shati 4. Nimelala njaa siku 2 lkn sikuwahi kuomba chakula kwa mtu. Nimepiga lkn nilikaza.
Namshukuru Mungu mambo safi ile kiakna. Nami naonekana mtu kati ya watu kwasasa. Naweza nikawachukua marafiki zangu hata 6 wakaja ninapoishi, nikaita manzi akapika, wakala na kunywa bila hata kutoa hata mia.
Tangia 2020 mwezi wa 4 sijawahi lala njaa mpaka leo hii ninapoandika. Nazidi kukazana na huko mbeleni lazima nijenge na ni drive gari yangu mwenyewe.
Usimdharau mtu kwasababu hana kwasasa. Utakuja aibika kwasasa
Ungeniona kipindi kile, ungenihurumia hata huyo unayemcheka
ulipiga mchongo gani mzee?Pesa inatafutwa ndugu. Nikikupa historia yangu utashangaa sana. Maisha ni popote na usipende kumdharau mtu kwasbb hana mali
Nakumbuka nilitoka home na nguo zangu tu suruali 2 na shati 4.
Nilitoka home na elfu 80 hiyo ni 2020 mwezi 2 tarehe 20 nikaenda mkoa wa kanda ya kati. Nimelipa nauli elfu 20, nikala msosi wa buku, nikalala gesti. Nikasema nikiendelea kulala gesti pesa zitaisha. Siku hiyo hiyo nikatafuta chumba nikapata cha 15,000. Nikalipa miezi 3.elfu 45,000
Jiulize nimebakiza shilingi ngapi. Sina ndugu sina rafiki.
Nimelala kwenye box, shati moja najifunika kwenye miguu na nyingine kichwan. Kipindi naenda nilikuwa na suruali mbili, shati 4. Nimelala njaa siku 2 lkn sikuwahi kuomba chakula kwa mtu. Nimepigika lkn nilikaza.
Namshukuru Mungu mambo safi ile kiaina. Nami naonekana mtu kati ya watu kwasasa. Naweza nikawachukua marafiki zangu hata 6 wakaja ninapoishi, nikaita manzi akapika, wakala na kunywa bila hata kutoa hata mia.
Tangia 2020 mwezi wa 4 sijawahi lala njaa mpaka leo hii ninapoandika. Nazidi kukaza na huko mbeleni lazima nijenge na ni drive gari yangu mwenyewe.
Usimdharau mtu kwasababu hana mali kwasasa. Utakuja aibika ndugu yangu
Ungeniona kipindi kile, ungenihurumia hata huyo unayemcheka
Ndo starehe yaoNimeumia..afu watu dizain hiyo wanavyopenda sasa dudu...wanaishi wap?
Ni kweli ndugu. Nakumbuka siku moja baada ya kukosa kazi kiwanda cha Alizeti. Wao wanalipa kila wiki. Sina pesa mfukoni, uzuri wanatoa chakula na nilikuwa naingia shift ya usiku. halafu sina pesa. Nilikuwa nategemea chakula cha kiwandani. Ukila leo mpaka kesho. Siku hiyo nikakosa kazi halafu jana sikula, (baada ya kufika, wakasema kazi hakuna, nikarudi nikalala, kesho yake usiku nikaenda wakasema kazi hakuna) Kutoka kiwandan mpaka ninapoishi ni kama saa 1 na nusu. Njaa imenikamata, nikasema, ewe Mungu naomba hata uniwezeshe niokote hata kipande cha Muogo nile. Natembea naenda nyumban, pembeni ya mti nikakuta kipande cha mhogo, kikubwa tu. Nikala njaa ikatoweka. Siku ikapita
Haya maisha, nikifikiria huwa nawaheshimu sana watu
🤣🤣🤣🤣🤣! Msemo unakera sana huo....wana kauli mbiu yao -kila mtoto anakuja na bahati yake
sanaaa. nina madogo wawili mmoja grade 4 mwingine 1. naona inatusha maana wanakula ada ndefu. washikadau wanasema naweka uzungu eti kila mtu anakuja na bahati yake. oohooo🤣🤣🤣🤣🤣! Msemo unakera sana huo....
sanaaa. nina madogo wawili mmoja grade 4 mwingine 1. naona inatusha maana wanakula ada ndefu. washikadau wanasema naweka uzungu eti kila mtu anakuja na bahati yake. oohooo🤣🤣🤣🤣🤣! Msemo unakera sana huo....
Tupo wengi...std 4 na 2...lolsanaaa. nina madogo wawili mmoja grade 4 mwingine 1. naona inatusha maana wanakula ada ndefu. washikadau wanasema naweka uzungu eti kila mtu anakuja na bahati yake. oohooo
kwangu tosha kabisa hapo. nabakia matunzo high standard na kula mzigo wa mama yao tu bila mawazo yeyoteTupo wengi...std 4 na 2...lol