Huu umati anao ukusanya mwamposa ata wakiungana wasanii wa TZ nzima hawawezi, Unabii unalipa !!

Serikali ya CCM wanapoona haya wanatakiwa kuina aibu maana wingi wa watu eneo hilo inaonyesha ni kiasi Gani Maisha yamekuwa magumu kwao watu wanategemea miujiza kutatua shida zao kuliko uhalisia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…