Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Halafu tusipopona jibu ni jepesi mno! Huna imani. swali linabaki ama sijapona kwa sababu sina imani ningekuja hapo?
😀😀
Raha Sana kuwa tapeli katika imani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu tusipopona jibu ni jepesi mno! Huna imani. swali linabaki ama sijapona kwa sababu sina imani ningekuja hapo?
Mkuu serikali ione aibu tena wakati wao ndio wanafurahia wakiona hivyo, unadhani serikali haijui kama hawa manabii ni wa uongo, inajua sana lakini kamwe haiwezi kuwapiga marufukuSerikali ya CCM wanapoona haya wanatakiwa kuina aibu maana wingi wa watu eneo hilo inaonyesha ni kiasi Gani Maisha yamekuwa magumu kwao watu wanategemea miujiza kutatua shida zao kuliko uhalisia.
Maaavi😀😀
Raha Sana kuwa tapeli katika imani
Maaavi
Huu wa mwamposa unaongoza kuingia mapatoUnataka kusema ule umati wa kusoma quran pale uwanja wa mpira ni mdogo kwa huu wa kawe kwa mwamposa?
hivi huyu mwamposa akienda kenya, rwanda, uganda na dr congo atajaza watu kiasi hichi kama kawe?Huu wa mwamposa unaongoza kuingia mapato
Tofauti kati ya Shetani na Mungu ni ndogo sana mkuu!Kuna tofauti kubwa sana kati ya shetani na Mungu
NI ujinga,Maradhi na Umaskini.Core issues: Uchumi, Magonjwa, Watoto na Ndoa.
Wala havihusiani na mafundiaho ya kuyaishi maisha ya kikristo
Yawezekana mkuu na ndo maana wasanii wakubwa (Mtoe MJ)wanaweza kuwa hata kumi kwenye show moja na wasiwe na watu wengi lakini huyu anayeaminika kuwa ni mtumishi wa Mungu mmoja pekeyake kwenye show yake moja akajaza watu namna hiiTofauti kati ya Shetani na Mungu ni ndogo sana mkuu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watu wanauziwa faraja hapo[emoji1787][emoji1787]