Lamzettttt
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 1,218
- 3,481
Huku GG
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aweeee 😂😂😂😂subiri kwanzaNianzishie uzi kama ile kapo..😜
Nipo Katoro mkoani Geita! Mji mzima upo gizani.Ulipo umeme upo?
Maana naona mikoa kadhaa wanasema umeme hakuna.
Njombe, Mara, Tanga, Arusha, Mwanza na Dar hakuna umeme.
Tanzania ya viwanda hii
View attachment 2893059
Hili shirika apewe Mzungu hawa waswahili hawawezi....
Kwani siwaruhusu mashika mengine ya umeme yajekuwekeza kama walivyofanya kwa TTCL, wanang'ang'ania shirika la nini akati hawawezi kuliendesha. Mi naona iwehivyo tu kama sim ikizingusa Airtel unahamia voda na umeme iwehivyo hivyo. Karne ya 21 tunachanzo kimoja tu cha umeme kweli.?!Ulipo umeme upo?
Maana naona mikoa kadhaa wanasema umeme hakuna.
Njombe, Mara, Tanga, Arusha, Mwanza na Dar hakuna umeme.
Tanzania ya viwanda hii
View attachment 2893059
Hahaha mkuu kama kwenye HEPs zinazotegemea Mito na Mabwawa hadi Mamba wanaingia kwenye turbines na wanasagwasagwa huyo samaki atakuwa ni wa namna ganiKanda ya Ziwa na kaskazini karibu kote..
Ni tatizo dogo, kuna Samaki ameingia kwenye turbines inashindwa kuzunguka.
Na watu wote watashangilia!Umeme utaimarika kipindi cha kampeni
Siyo nchi, Uongozi ndiyo wa kipuuuziNchi ya kipuuzi sana hii
Hao ni wakubwa hawapiti kwenye control gate/intakeHahaha mkuu kama kwenye HEPs zinazotegemea Mito na Mabwawa hadi Mamba wanaingia kwenye turbines na wanasagwasagwa huyo samaki atakuwa ni wa namna gani
Hata wafanyaje sitakaa nipigie kuraUmeme utaimarika kipindi cha kampeni