Huu umilikishwaji wa vitega uchumi muhimu vya nchi kwa waarabu, ni uwekezaji au uvunaji?

Vp kwa hivyo vingine vilivyo binafsishwa maana unabinafsisha kitu manake anaye kuja atakiimprove ktk nyanja zote za kiteknolojia. Sawa vip vingine.......

Sawa mfano waliopewa Vitalu uwindaji ww unavyo ona wata improve nini?
Hunting siyo privatisation bali ni biashara na kuna sheria na taratibu zinazofuatwa. Usifikiri kule Loliondo ambako Ortello Business Corporation amebinfasishiwa. Ni kwamba kile ni kitalu ma kinatangazwa kwenye zabuni ya wazi na hiyo kampuni inashinda. What is wrong with this one Watanzania?
 
Umeongea huko juu kwa kuonyesha ubora wa uwekezaji, mwisho chini umerudi kuwa yatakua yaleyale.

Kuna sehemu hapo unasema watatafutwa the finest hapa nchi kuzilinda hizo pesa zinazokusanywa huko TRA na huko BOT? Hapa una maana kuwa sio watanzania wote ni wezi na wazembe kama ulivyosema mwanzo? Hao the finest wanaweza kutafutwa TRA na BOT Ila kwa bandari haiwezekani?

Mwisho unasema kila sehemu ni uozo. Umeniconfuse sana sana
 
Sina takwimu halisi, nadhani wizara ya mawasiliano itakuwa nazo. Tumeondoka kutoka kwenye ule mfumo wa kizamani wa ushushaji na upakiaji wa meli moja kuchukua siku mbili au tatu.
Vizuri ingekua tunaenda na takwimu kuliko hisia, naomba mjadala ukae kitakwimu ili ulete maana nzuri
Mfano mm nikisema imeshuka? Utaniprove vipi kuwa imeshuka?
 
Ilibidi tugawe Mahakama tutagawa tu kwa namna Watanzania ambavyo hawa simamii haki na mwenye rushwa ndiyo anashinda kesi. Mbona MWENDOKASI mumeiuwa na INABINAFSISHWA
 
Nimetoa mfano tu kuwa unaweza kutumia mfano kama huo wa mashirika haya makubwa ambayo ni national flag carriers lakini majority shareholding iko kwa kampuni binafsi
Hapa tunakubaliana sasa kuwa serikali zinafanya biashara?
Ungesema serikali flani ya nchi zilizoendelea haifanyi biashara ndio ungekua mfano halisi

Ulikua na confidence serikali haipaswi kufanya biashara, jambo ambalo ni la uongo mkubwa sababu serikali hufanya biashara kwa nchi zote
 
Taifa zima liko confused boss
 
Nina swali: zabuni ilitangazwa lini ya obc?
 
Ilibidi tugawe Mahakama tutagawa tu kwa namna Watanzania ambavyo hawa simamii haki na mwenye rushwa ndiyo anashinda kesi. Mbona MWENDOKASI mumeiuwa na INABINAFSISHWA
Hapo bado umeonyesha hakuna hataaana ya huo uwekezaji sababu wasimamizi wa uwekezaji ni serikali ambayo Ina hao hao watanzania ambao ww huwatakk. Swali langu kwako huo uwekezaji utakua na maana gani ikiwa serikali inayoongozwa na hao hao watanzania ndio wasimamizi wa uwekezaji?
 
Mimi yangu issues je tunapata nini? Tuancho kipata kinareflect maisha ya hao Watanzania wanaoishi karibu na hyo mazingira? Vp future ya vizazi vijavyo watanufaika na huo ubinafsishwaji......?

Ujue iwe ubinafsishwaji iwe sijui kuuzwa kwa kitalu, at the of the day kama nchi tukacho angaliwa tunanufaika vipi. Ndicho inacho hoji TEC kwani wametumia vifungu kujenga hoja zao na experience kwa tuliyo ya pitia na hata kuhamishwa kwa wale Wamasai Ngorongoro TEC wapinga kwa hoja bila kusahau hoja za bandari,tena wameweka na vifungu.

Hamna mtu anayepinga sijui kuuzwa vitalu, ubinafsishwaji wa mali za serikali (kwa style yoyote),ila watu wanataka kujua nchi itapata nini, hao wanaokuja watafanya nini na wasipofanya watafanywa nini.Mkapa mwenyewe kenye kitabu chake alikiri kuwa alitoa boko upande wa ubinafsishaji wa mali za uma.

Iwe kubinafsisha,kuuza,kukodisha at the of the day tutangalia nchi inafaidika vipi. Ndicho wasomi wengi na wanasheria wanahoji sana.
 
Haya sasa
Unafikiri huyo atafungwa au watagawana na maisha yaende?
Sijui nani apewe kitengo cha hela maana hata ufanyeje kama wanabebana hakuna la maana utakaloliona
Ndio uelewe sasa hata huyo uwekezaji pia hauna maana sababu wataokusanya hayo mapato ni hao hao TRA
 
Taifa zima liko confused boss
Kweli kabisa, swali langu lilikuja pale nilipoona unasema uwekezaji huu utakua na maana kwetu. Maswali ndio yalikuja hapo, hiyo maana itatoka wapi ikiwa mamlaka za kusimamia na kukusanya mapato ya hao wawekezaji bado yatakua chini ya watanzania
Tunasema hatuna ufanisi, sisi ni wezi na wazembe hivyo tunampa mwekezaji, lakini Happ hapo taasisi kubwa za kumsimamia mwekezaji bado tunazo sisi, tunakua tumefanya nn?
 
Hivi Dangote ni dini gani? Kuna mtu amewahi kumsema vibaya kutokana na uwekezaji wake kwa vile ni muislam? Mkiishiwa hoja na akili, mnakimbilia kwenye dini.
Ndo maana huwa nasisitiza. ISRAEL DON'T SORT THEM JUST KILL THEM ALL.

MAAMAEE
 
Ni sekta nyeti lakini bado zi zinaendeshwa na watanzania ambao ww umesema hawawezi hawana ufanisi na wezi.

Au tunakubaliana kuwa huko TRA BOT hakuna wezi na wazembe?
Wazembe na wezi hata BOT hawakosekani. Lakini namna Serikali inavyotupia jicho sekta hizo kupitia TISS inatumia nguvu nyingi.

Ni bora Serikali ibakie na sekta chache strategic izisimamie kulikko kuwa kila mahali. Kwa mfano kwa nini Serikali ifanye biashara ya clearing and forwarding kupitia TASAC? Trivialities
 
Kukataaa ule ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo yalikuwa makosa makubwa mno ya kimkakati
Exactly, yule hayati wa Chato aliwafanganya Watanzania kwa husda zake tu dhidi ya JK. Akaishia kwenda kujenga Airport kwao Chato ambayo imebakia white elephant
 
Hata yale ambayo hayajukufanya vizuri at least yalitoka mikononi mwa Serikali na yakapunguza mzigo wa Serikali kutoa subsidy kila mwaka kwa ajili ya kuyaendesha. Mashirika kama NMC, RTC, NBC etc
 
Hii umempiga Bams kisawasawa. Kama atakujibu itakuwa ni kiburi cha kuwa na bando tu. Lakini umepiga msumari
 
Tujipe muda hadi 2030 tuone kama kweli hawa DP WORLD inaowaponda ni matapeli. Namba hazitadanganya na maybe tutakuwa na serikali mpya.
Sijasema DP World ni matapeli. Tatizo kubwa lipo upande wetu. Kwa nini DPW hao hao kwenye nchi nyingine kuwe na mikataba mizuri ila kweti wawe na mkataba wa hovyo?

Wakati wa utawala wa Mwinyi, tuliwapa Waarabu mbuga yetu ya wanyama. Mpaka sasa ni zaidi ya miaka 30, ile mbuga ina nini cha pekee, zaidi ya kumnufaisha huyo mwarabu na familia yake, na labda mafisadi waliomsaidia kwenye huo uporaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…