Huu undugu wa kukutana kwenye misiba tu haufai

Huu undugu wa kukutana kwenye misiba tu haufai

Na haya ndyo maisha ninayaishi....
Najuta kuzaliwa kwenye hii Familia,lakini ni vitu ambavyo siwezi kuvibadilisha.
Siku za mwanzo nilikua najutia na kuumia sana....Kuna wakati nilitakiwa kukubali kua sikujipangia,yaani nimezaliwa na kujikuta humo hivyo siwezi kubdilisha chochote..........

Mimi ndugu Zangu hatuwasiliani,maybe Tukutane kwenye matatizo.

Hawa siyo ndugu wa mbali, Hawa ni ndugu Zangu wa damu,tumetoka kwenye kiuno cha mwanaume m,moja

Tunaombeana mabaya,wanasubili ufeli ili wakucheke

Kipindi niko secondary walimwambia baba anapoteza hela nitapata mimba tu....huku nilimalza Shule nikiwa bikira.

Mambo ni mengi, bai the Wei nawachukia ndugu zangu,

Ninaishi kama mkiwa......Kuna wakati Unapitia mambo makubwa maishani unatamani kumueleza mtu m,moja tu akusikilize lakini hayupo.

Natamani wanaume wote wanvefahamu Kua Kuzaa watoto kila mototo na mama yake ni mateso makubwa kwa mtoto

Wanawake wangejua kua kuzaa kila mtoto na baba yake ni mateso kwa mtoto

Wanawake wangejua kua kuzaa Kabla hujajipanga ni kumtesa mtoto

Wanawake wangetambua kua kuzaa Kabla ya ndoa ni mateso kwa mtoto

Basi wasingethubutu kuyafanya haya.

Maisha ninayoishi najua ni wazazi wangu waliyasababisha.

Maybe tungezaliwa baba m,moja na mama m,moja huenda tungekua na Familia yenye upendo.

Sijutii tena, kwasababu nitauumiza moyo wangu kwa vitu ambavyo siwezi kuvibadilisha

Nimejifunza kuyaishi maisha yangu bila uwepo wa ndugu yeyote,
Pole mdada !Ni changamoto sana, hii huleta nuksi kweny mila za kiafrica watoto wamechangia baba au mama , ule uhusiano wao unakuwa na matatizo mwanzo mwisho.
 
Kwa mbeleni sijui ila kwa sasa wadogo zangu nawapenda sana! Yani hamna wa kuingia kati sio hata mpenzi wangu! Me nahisi mfumo wa familia/ukoo una nafasi yake kuamua ndugu mtaishi kwenye mahusiano ya aina gani!
 
Sanaaa sanaaaa watu wanawacheka lakn awajuu manufaayake yaan m mpaka sasa hata nikisikja kaka amepata matatizo sijui anapokaaaaaa..2017 alipata ajali y pikpik sijui lolote kumbe yuko moi wik ya 3

Akatokea dogo mtaan nae kimeumana na pikpik tuko na wife tunsingia wodiiin namkuta mguuu ukoo na jiwe ndugu niliumwa tumbogaflaaa

Mbaya kawekwa mwanzon kabisa mlangoni ukiingia unamwona aisee. Shemeji yake alishangaa akuamini nkaita mtu wapale nkaenda nje nkaongea na kanteen nkalipa wik 2 nzima chakula asbh mpaka usiku nkampelekea namba akifika mda awajuze anataka nn wamletee.... Ana hela sio sporty sporty nkasema hapahapa pa kuanzisha upendo

Akashtukaaa why nkamwambia nshalipa utachagua unachokula

Nikaanza safari kumwangalia hospt narydi hme

Job hospt hmeeeeeeeee

Sikuyasiku yakanikuta nafika naona mbona kuna mtu mwingine namatunda kama yote ndugu na maxiwaa kwa thermos achaatu kuuliza naambiwa katoka asbh

Nkasema sipigiiiii nimwangalie woii wiki wiki 4 mwezi miezi ziiii nikipga apokei nkasema hapa mwamuzi n Mungu tu sina la ziada ikaisha
Pole Sana
 
Unakuta ndugu zako kabisa wa kuzaliwa nao, achilia mbali hao wa upande wa baba au mama mnakuwa hamna maelewano mazuri; kupeana fursa hakuna, wakati mwingine ata kujuliana hali mpaka mtafutane sana.

Ila ukitokea msiba sasa, ndio mnaanza kutafutana na kwenda kwa mbwembwe.

Kwa mtazamo wangu, undugu wa namna hii haufai; piga chini ujipambanie mwenyewe.​
Kijana wa jirani anamla house girl wangu nifanyeje na jirani wa namna hii
 
Back
Top Bottom