Huu undugu wa kukutana kwenye misiba tu haufai

Huu undugu wa kukutana kwenye misiba tu haufai

KWELI KIUNA BAADHI YA NDUGU WANAUDHI SANA MNNILIKUWA KWA MCHANGO MMOJA WA SEND OFF MAJUZI

NAFIKA NASOMA KARATASI NAKUTA NDUGU MIN 100000 NKANGLIA BAJETI MIL 27

HIYU MPUUZI ANAKAA KWA NYUMBA YA KUPANGA CHUMBA CHA 50K KWA MWEXI ANATAKA LAANA...

SASA KUMBE NDAN KUNA WAPIGAJI WAMEJIPANGA..NKAANZA KUTOA USHAURI KUNAVITU MKIANDJKA WAKIONA WATU WANAWEZA WASIRUDI

KAREKEBISHEN BEI YA UKUMBI NA MENGINE NILIWAMBIA AISEE SIKUWA NA DATA KUFIKA NYUMBAN WASHA HIZO MSG ZAO NIMEKOMA NDUGU

MWINGINE AKAANDKKA USISEME SINA SEMA HUNA UKIJISIKIA TOA USIPOJISIKIA USITKE HAITUSAIDII MTOTO WA MAMA MDOGO NA MKUBWA HUYOO

SINA HAMU
Ulichambwa vizuri mpwa mpaka nimecheka sana .
 
Na haya ndyo maisha ninayaishi....
Najuta kuzaliwa kwenye hii Familia,lakini ni vitu ambavyo siwezi kuvibadilisha.
Siku za mwanzo nilikua najutia na kuumia sana....Kuna wakati nilitakiwa kukubali kua sikujipangia,yaani nimezaliwa na kujikuta humo hivyo siwezi kubdilisha chochote..........

Mimi ndugu Zangu hatuwasiliani,maybe Tukutane kwenye matatizo.

Hawa siyo ndugu wa mbali, Hawa ni ndugu Zangu wa damu,tumetoka kwenye kiuno cha mwanaume m,moja

Tunaombeana mabaya,wanasubili ufeli ili wakucheke

Kipindi niko secondary walimwambia baba anapoteza hela nitapata mimba tu....huku nilimalza Shule nikiwa bikira.

Mambo ni mengi, bai the Wei nawachukia ndugu zangu,

Ninaishi kama mkiwa......Kuna wakati Unapitia mambo makubwa maishani unatamani kumueleza mtu m,moja tu akusikilize lakini hayupo.

Natamani wanaume wote wanvefahamu Kua Kuzaa watoto kila mototo na mama yake ni mateso makubwa kwa mtoto

Wanawake wangejua kua kuzaa kila mtoto na baba yake ni mateso kwa mtoto

Wanawake wangejua kua kuzaa Kabla hujajipanga ni kumtesa mtoto

Wanawake wangetambua kua kuzaa Kabla ya ndoa ni mateso kwa mtoto

Basi wasingethubutu kuyafanya haya.

Maisha ninayoishi najua ni wazazi wangu waliyasababisha.

Maybe tungezaliwa baba m,moja na mama m,moja huenda tungekua na Familia yenye upendo.

Sijutii tena, kwasababu nitauumiza moyo wangu kwa vitu ambavyo siwezi kuvibadilisha

Nimejifunza kuyaishi maisha yangu bila uwepo wa ndugu yeyote,
Duuuuuuuuuuuuuh tukoooo wengiiii sanaaa m waliimwambia mama sifiki form four
96 huyooooo pugu nkatoboa wakasema afaulu form six dah nkasema hawa mbwa wacha niwaamulie imooooo....

Hapa nilipoenda chuo nkamwomba mama asiwambieeee wasojentengeneza mbele ya safariiiii

Nkajirenga kabisa na misiba na sherehe za ndugu pande zote mpaka nkamaliza

Wakatengeneza kabiashara cha kuchanga ati ukooo party nkasema wasije sema nina degree sihudhirii nkatinga na karanga mfukoni kuja nkalamba sodaaa moja Weka karanga

Wakati wa vyakula jamaa kibao wakanifwata mbona ulimpwaa nkajibu mmh nishashibaaa wapendwa niliondoka kwa amani...

Baada ya hapo nikipojiongeza kusoma nkabadilisha na namba za simu mpaka nimalize woii .....

Jihadhari sana kunawa.maji na yale ma serviette mbajipangusia watu wakoo kazinii live wakipita nazooo mtawapenda.....

Ngoja tukakague rvr sijui vra kama n halali ama wametegesha mechi za yanga tu
 
Unakuta ndugu zako kabisa wa kuzaliwa nao, achilia mbali hao wa upande wa baba au mama mnakuwa hamna maelewano mazuri; kupeana fursa hakuna, wakati mwingine ata kujuliana hali mpaka mtafutane sana.

Ila ukitokea msiba sasa, ndio mnaanza kutafutana na kwenda kwa mbwembwe.

Kwa mtazamo wangu, undugu wa namna hii haufai; piga chini ujipambanie mwenyewe.​
Ndugu zangu wako hivyo nimewapiga chini
 
KWELI KIUNA BAADHI YA NDUGU WANAUDHI SANA MNNILIKUWA KWA MCHANGO MMOJA WA SEND OFF MAJUZI

NAFIKA NASOMA KARATASI NAKUTA NDUGU MIN 100000 NKANGLIA BAJETI MIL 27

HIYU MPUUZI ANAKAA KWA NYUMBA YA KUPANGA CHUMBA CHA 50K KWA MWEXI ANATAKA LAANA...

SASA KUMBE NDAN KUNA WAPIGAJI WAMEJIPANGA..NKAANZA KUTOA USHAURI KUNAVITU MKIANDJKA WAKIONA WATU WANAWEZA WASIRUDI

KAREKEBISHEN BEI YA UKUMBI NA MENGINE NILIWAMBIA AISEE SIKUWA NA DATA KUFIKA NYUMBAN WASHA HIZO MSG ZAO NIMEKOMA NDUGU

MWINGINE AKAANDKKA USISEME SINA SEMA HUNA UKIJISIKIA TOA USIPOJISIKIA USITKE HAITUSAIDII MTOTO WA MAMA MDOGO NA MKUBWA HUYOO

SINA HAMU
USINIPANDE KICHWANI KICHWANI KICHWANI MALOLOLO🎵🎵
 
Unakuta ndugu zako kabisa wa kuzaliwa nao, achilia mbali hao wa upande wa baba au mama mnakuwa hamna maelewano mazuri; kupeana fursa hakuna, wakati mwingine ata kujuliana hali mpaka mtafutane sana.

Ila ukitokea msiba sasa, ndio mnaanza kutafutana na kwenda kwa mbwembwe.

Kwa mtazamo wangu, undugu wa namna hii haufai; piga chini ujipambanie mwenyewe.​
Undugu huo hausumbuani na mtu hadi kwenye matatizo kama hayo ya msiba.

Sasa wewe unataka undugu Kwa kuliliwa shida Tu wewe na wakati unashida zako za kutatua.

Na lifestyle unayoishi unaonekana kama huna shida vile lakini Siri Ni yako wao hawajui Hilo,wanachojua ndugu yetu yupo vizuri kiuchumi.
 
Bora msibani unawaona

M kaka yanguuu akisiikia misibaaa haji anauliza min sh ngapi anawarushia mchango sikuhiohio mkipiga yoyote akijua namba zenu apokei..ngooo
Huyu kuna kitu mlimkosea
 
Sasa wew unataka mfatane fatane Inatakiwa kila mtu na mambo yake mkutane kwenye matatizo tu
 
Back
Top Bottom