Under-cover
JF-Expert Member
- Nov 13, 2023
- 1,834
- 3,042
waumize na wewe.ndugu wanatuumiza mno
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
waumize na wewe.ndugu wanatuumiza mno
Ulichambwa vizuri mpwa mpaka nimecheka sana .KWELI KIUNA BAADHI YA NDUGU WANAUDHI SANA MNNILIKUWA KWA MCHANGO MMOJA WA SEND OFF MAJUZI
NAFIKA NASOMA KARATASI NAKUTA NDUGU MIN 100000 NKANGLIA BAJETI MIL 27
HIYU MPUUZI ANAKAA KWA NYUMBA YA KUPANGA CHUMBA CHA 50K KWA MWEXI ANATAKA LAANA...
SASA KUMBE NDAN KUNA WAPIGAJI WAMEJIPANGA..NKAANZA KUTOA USHAURI KUNAVITU MKIANDJKA WAKIONA WATU WANAWEZA WASIRUDI
KAREKEBISHEN BEI YA UKUMBI NA MENGINE NILIWAMBIA AISEE SIKUWA NA DATA KUFIKA NYUMBAN WASHA HIZO MSG ZAO NIMEKOMA NDUGU
MWINGINE AKAANDKKA USISEME SINA SEMA HUNA UKIJISIKIA TOA USIPOJISIKIA USITKE HAITUSAIDII MTOTO WA MAMA MDOGO NA MKUBWA HUYOO
SINA HAMU
Mhmh Kwann mtu WA iringaWew ni kabila gan
Mpwaa nilichambikaaaaa kweli kweli mwambaaaaaaa mpaka nkisikia msg za ndugu nahisi wamerudi tenaaaaUlichambwa vizuri mpwa mpaka nimecheka sana .
😃😃Mpwaa nilichambikaaaaa kweli kweli mwambaaaaaaa mpaka nkisikia msg za ndugu nahisi wamerudi tenaaaa
Duuuuuuuuuuuuuh tukoooo wengiiii sanaaa m waliimwambia mama sifiki form fourNa haya ndyo maisha ninayaishi....
Najuta kuzaliwa kwenye hii Familia,lakini ni vitu ambavyo siwezi kuvibadilisha.
Siku za mwanzo nilikua najutia na kuumia sana....Kuna wakati nilitakiwa kukubali kua sikujipangia,yaani nimezaliwa na kujikuta humo hivyo siwezi kubdilisha chochote..........
Mimi ndugu Zangu hatuwasiliani,maybe Tukutane kwenye matatizo.
Hawa siyo ndugu wa mbali, Hawa ni ndugu Zangu wa damu,tumetoka kwenye kiuno cha mwanaume m,moja
Tunaombeana mabaya,wanasubili ufeli ili wakucheke
Kipindi niko secondary walimwambia baba anapoteza hela nitapata mimba tu....huku nilimalza Shule nikiwa bikira.
Mambo ni mengi, bai the Wei nawachukia ndugu zangu,
Ninaishi kama mkiwa......Kuna wakati Unapitia mambo makubwa maishani unatamani kumueleza mtu m,moja tu akusikilize lakini hayupo.
Natamani wanaume wote wanvefahamu Kua Kuzaa watoto kila mototo na mama yake ni mateso makubwa kwa mtoto
Wanawake wangejua kua kuzaa kila mtoto na baba yake ni mateso kwa mtoto
Wanawake wangejua kua kuzaa Kabla hujajipanga ni kumtesa mtoto
Wanawake wangetambua kua kuzaa Kabla ya ndoa ni mateso kwa mtoto
Basi wasingethubutu kuyafanya haya.
Maisha ninayoishi najua ni wazazi wangu waliyasababisha.
Maybe tungezaliwa baba m,moja na mama m,moja huenda tungekua na Familia yenye upendo.
Sijutii tena, kwasababu nitauumiza moyo wangu kwa vitu ambavyo siwezi kuvibadilisha
Nimejifunza kuyaishi maisha yangu bila uwepo wa ndugu yeyote,
Nataka kuona umetokeaje tokeaje mana maskin wote hii experience wanayo.Mhmh Kwann mtu WA iringa
Ndugu zangu wako hivyo nimewapiga chiniUnakuta ndugu zako kabisa wa kuzaliwa nao, achilia mbali hao wa upande wa baba au mama mnakuwa hamna maelewano mazuri; kupeana fursa hakuna, wakati mwingine ata kujuliana hali mpaka mtafutane sana.
Ila ukitokea msiba sasa, ndio mnaanza kutafutana na kwenda kwa mbwembwe.
Kwa mtazamo wangu, undugu wa namna hii haufai; piga chini ujipambanie mwenyewe.
lakini wewe c ni mwanamke wa mithali? usichukie bosslady enjoy ur life.Mhmh Kwann mtu WA iringa
Nimependa hiiSijutii tena, kwasababu nitauumiza moyo wangu kwa vitu ambavyo siwezi kuvibadilisha
USINIPANDE KICHWANI KICHWANI KICHWANI MALOLOLO🎵🎵KWELI KIUNA BAADHI YA NDUGU WANAUDHI SANA MNNILIKUWA KWA MCHANGO MMOJA WA SEND OFF MAJUZI
NAFIKA NASOMA KARATASI NAKUTA NDUGU MIN 100000 NKANGLIA BAJETI MIL 27
HIYU MPUUZI ANAKAA KWA NYUMBA YA KUPANGA CHUMBA CHA 50K KWA MWEXI ANATAKA LAANA...
SASA KUMBE NDAN KUNA WAPIGAJI WAMEJIPANGA..NKAANZA KUTOA USHAURI KUNAVITU MKIANDJKA WAKIONA WATU WANAWEZA WASIRUDI
KAREKEBISHEN BEI YA UKUMBI NA MENGINE NILIWAMBIA AISEE SIKUWA NA DATA KUFIKA NYUMBAN WASHA HIZO MSG ZAO NIMEKOMA NDUGU
MWINGINE AKAANDKKA USISEME SINA SEMA HUNA UKIJISIKIA TOA USIPOJISIKIA USITKE HAITUSAIDII MTOTO WA MAMA MDOGO NA MKUBWA HUYOO
SINA HAMU
Undugu huo hausumbuani na mtu hadi kwenye matatizo kama hayo ya msiba.Unakuta ndugu zako kabisa wa kuzaliwa nao, achilia mbali hao wa upande wa baba au mama mnakuwa hamna maelewano mazuri; kupeana fursa hakuna, wakati mwingine ata kujuliana hali mpaka mtafutane sana.
Ila ukitokea msiba sasa, ndio mnaanza kutafutana na kwenda kwa mbwembwe.
Kwa mtazamo wangu, undugu wa namna hii haufai; piga chini ujipambanie mwenyewe.
Sawa.lakini wewe c ni mwanamke wa mithali? usichukie bosslady enjoy ur life.
Hahahaha kwakwel umaskiniNataka kuona umetokeaje tokeaje mana maskin wote hii experience wanayo.
Maskini anayefurah kufanikiwa ndugu yake yule ambaye anahisi atanufaika na mafanikio hayoHahahaha kwakwel umaskini
Ubinafsi huo....Bora msibani unawaona
M kaka yanguuu akisiikia misibaaa haji anauliza min sh ngapi anawarushia mchango sikuhiohio mkipiga yoyote akijua namba zenu apokei..ngooo
Huyu kuna kitu mlimkoseaBora msibani unawaona
M kaka yanguuu akisiikia misibaaa haji anauliza min sh ngapi anawarushia mchango sikuhiohio mkipiga yoyote akijua namba zenu apokei..ngooo
Yeah yeah ipo hivyoMaskini anayefurah kufanikiwa ndugu yake yule ambaye anahisi atanufaika na mafanikio hayo