Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mm ni Tataguta kanisa la kirohoNduguuu kila ukoo una haya mambo
Tumezaliwa wa2
Mama kafa 2012 tukaingia mahakaman kaka akataka kuleta umwamba mkubwa vyake hivi na vile tegeta mbwen anadai kwake m nkasote kmr na kibamba wewe
Nkamtengeneza mahakaman ikaamriwa achague mbwen ama tegeta akachagua mbwen nkapewa tegetaa
Akambiwa achague kmr ama kibamba akaenda kibamba nkachukua kmr baada ya hukumu hatukuwahi kuongea wala kuonana mpaka 2019 Baba kafa
Toka hapooo kila akiamka anauliza unaendeleaje hivi vitinbi vipoo
N family curse
Baba kafa aongei na wadogozake
Upande wamama kafa halkuna comm yoyote wenyewe kwa wenyewe na akoo wa3 tu changamoto
Sasa ukiizembea na watoto wenu wanakutana msiban mbele ya safari
Taguta kanisaa lakirohoo karribu waeleze wakuombeee na wewe piaa uikataeee
Hivi ujawahi onaa mzazi tena wameamua ku justify ati wakifwatana hawaelewan mpaka wakue nani kasema
.yaan
Mkianza lambada mapemaaa ndio wanabeba roho za ukooo kuwanadili shuhuli
Taguta tMkuu mm ni Tataguta kanisa la kiroho
ndugu wanatuumiza mnoNadhani hiki kizazi kinafuata historia kwenye biblia, kama yule aliyemuwahi ndugu yake ili apewa baraka na baba yake
Sema Kuna Mda ukifika God atambadilishaBora msibani unawaona
M kaka yanguuu akisiikia misibaaa haji anauliza min sh ngapi anawarushia mchango sikuhiohio mkipiga yoyote akijua namba zenu apokei..ngooo
Nadhani wenzetu hawa watu wa Asia wameweza kulikwepa hili kwa kuishi na familia zao kwenye boma moja, hii nadhani inaondoa ule ubinafsi ambao huku kwetu umetawala. Nasi kama tutaweza kuishi na watoto wetu kwenye boma moja, waoe na waolewe na waishi pale pale hii dhambi ya kutofautiana tunaweza kuikimbia.Nduguuu kila ukoo una haya mambo
Tumezaliwa wa2
Mama kafa 2012 tukaingia mahakaman kaka akataka kuleta umwamba mkubwa vyake hivi na vile tegeta mbwen anadai kwake m nkasote kmr na kibamba wewe
Nkamtengeneza mahakaman ikaamriwa achague mbwen ama tegeta akachagua mbwen nkapewa tegetaa
Akambiwa achague kmr ama kibamba akaenda kibamba nkachukua kmr baada ya hukumu hatukuwahi kuongea wala kuonana mpaka 2019 Baba kafa
Toka hapooo kila akiamka anauliza unaendeleaje hivi vitinbi vipoo
N family curse
Baba kafa aongei na wadogozake
Upande wamama kafa halkuna comm yoyote wenyewe kwa wenyewe na akoo wa3 tu changamoto
Sasa ukiizembea na watoto wenu wanakutana msiban mbele ya safari
Taguta kanisaa lakirohoo karribu waeleze wakuombeee na wewe piaa uikataeee
Hivi ujawahi onaa mzazi tena wameamua ku justify ati wakifwatana hawaelewan mpaka wakue nani kasema
.yaan
Mkianza lambada mapemaaa ndio wanabeba roho za ukooo kuwanadili shuhuli
Ni kweli mkuuu m nilishakata hata tamaaa yaan baada ya baba kufaaa tukaitwa nanndugu kikaoooooSema Kuna Mda ukifika God atambadilisha
Huyo ana roho ya kipekeeBora msibani unawaona
M kaka yanguuu akisiikia misibaaa haji anauliza min sh ngapi anawarushia mchango sikuhiohio mkipiga yoyote akijua namba zenu apokei..ngooo
Piga chini mpaka misiba basi, au vipi?Unakuta ndugu zako kabisa wa kuzaliwa nao, achilia mbali hao wa upande wa baba au mama mnakuwa hamna maelewano mazuri; kupeana fursa hakuna, wakati mwingine ata kujuliana hali mpaka mtafutane sana.
Ila ukitokea msiba sasa, ndio mnaanza kutafutana na kwenda kwa mbwembwe.
Kwa mtazamo wangu, undugu wa namna hii haufai; piga chini ujipambanie mwenyewe.
Dah😢Ni kweli mkuuu m nilishakata hata tamaaa yaan baada ya baba kufaaa tukaitwa nanndugu kikaooooo
Tukasomeshwaaa tukaanza kuwasiliana mpaka leoioo uliza anaetuunganisha nae kunmmewaka moto kwahiiio kaka akawa anamwambia we mjomba mdogo wako amuongei unataka nn kwetu haikuwa rahisi nilifunga mkuu
Hakuna namna, inabidi kuishi vizuri na wanajumuia wanaonizunguka.Piga chini mpaka misiba basi, au vipi?
Ni kweli si vizuri, ila unakuwa ni undugu wa matukio tu; ingawa kwenye nafsi unakuwa unaumia.Kwa kurudisha undugu hata wewe unaweza kuwapigia au msg ya salama inatosha sana
Wala sio lazima kwenda kuwatembelea unless ndugu anakuambia nimekulumbuka
Kukata undugu ni mbaya sana
Sanaaa sanaaaa watu wanawacheka lakn awajuu manufaayake yaan m mpaka sasa hata nikisikja kaka amepata matatizo sijui anapokaaaaaa..2017 alipata ajali y pikpik sijui lolote kumbe yuko moi wik ya 3Nadhani wenzetu hawa watu wa Asia wameweza kulikwepa hili kwa kuishi na familia zao kwenye boma moja, hii nadhani inaondoa ule ubinafsi ambao huku kwetu umetawala. Nasi kama tutaweza kuishi na watoto wetu kwenye boma moja, waoe na waolewe na waishi pale pale hii dhambi ya kutofautiana tunaweza kuikimbia.
Hapo umenena la kueleweka.Hakuna namna, inabidi kuishi vizuri na wanajumuia wanaonizunguka.
Kweli kabisa ila waonyeshe mema tu na msisubiri mpaka mtu anakufa ndio mnaendaNi kweli si vizuri, ila unakuwa ni undugu wa matukio tu; ingawa kwenye nafsi unakuwa unaumia.
Inaumaaaaa nduguuu achatu nikikumbukaga hata hamu sinaDah😢
Hii hali inachangiwa na nini hasa?Sanaaa sanaaaa watu wanawacheka lakn awajuu manufaayake yaan m mpaka sasa hata nikisikja kaka amepata matatizo sijui anapokaaaaaa..2017 alipata ajali y pikpik sijui lolote kumbe yuko moi wik ya 3
Akatokea dogo mtaan nae kimeumana na pikpik tuko na wife tunsingia wodiiin namkuta mguuu ukoo na jiwe ndugu niliumwa tumbogaflaaa
Mbaya kawekwa mwanzon kabisa mlangoni ukiingia unamwona aisee. Shemeji yake alishangaa akuamini nkaita mtu wapale nkaenda nje nkaongea na kanteen nkalipa wik 2 nzima chakula asbh mpaka usiku nkampelekea namba akifika mda awajuze anataka nn wamletee.... Ana hela sio sporty sporty nkasema hapahapa pa kuanzisha upendo
Akashtukaaa why nkamwambia nshalipa utachagua unachokula
Nikaanza safari kumwangalia hospt narydi hme
Job hospt hmeeeeeeeee
Sikuyasiku yakanikuta nafika naona mbona kuna mtu mwingine namatunda kama yote ndugu na maxiwaa kwa thermos achaatu kuuliza naambiwa katoka asbh
Nkasema sipigiiiii nimwangalie woii wiki wiki 4 mwezi miezi ziiii nikipga apokei nkasema hapa mwamuzi n Mungu tu sina la ziada ikaisha