Huu undugu wa kukutana kwenye misiba tu haufai

Huu undugu wa kukutana kwenye misiba tu haufai

Nduguuu kila ukoo una haya mambo

Tumezaliwa wa2

Mama kafa 2012 tukaingia mahakaman kaka akataka kuleta umwamba mkubwa vyake hivi na vile tegeta mbwen anadai kwake m nkasote kmr na kibamba wewe

Nkamtengeneza mahakaman ikaamriwa achague mbwen ama tegeta akachagua mbwen nkapewa tegetaa

Akambiwa achague kmr ama kibamba akaenda kibamba nkachukua kmr baada ya hukumu hatukuwahi kuongea wala kuonana mpaka 2019 Baba kafa

Toka hapooo kila akiamka anauliza unaendeleaje hivi vitinbi vipoo

N family curse
Baba kafa aongei na wadogozake
Upande wamama kafa halkuna comm yoyote wenyewe kwa wenyewe na akoo wa3 tu changamoto

Sasa ukiizembea na watoto wenu wanakutana msiban mbele ya safari

Taguta kanisaa lakirohoo karribu waeleze wakuombeee na wewe piaa uikataeee

Hivi ujawahi onaa mzazi tena wameamua ku justify ati wakifwatana hawaelewan mpaka wakue nani kasema
.yaan

Mkianza lambada mapemaaa ndio wanabeba roho za ukooo kuwanadili shuhuli
Mkuu mm ni Tataguta kanisa la kiroho
 
Nduguuu kila ukoo una haya mambo

Tumezaliwa wa2

Mama kafa 2012 tukaingia mahakaman kaka akataka kuleta umwamba mkubwa vyake hivi na vile tegeta mbwen anadai kwake m nkasote kmr na kibamba wewe

Nkamtengeneza mahakaman ikaamriwa achague mbwen ama tegeta akachagua mbwen nkapewa tegetaa

Akambiwa achague kmr ama kibamba akaenda kibamba nkachukua kmr baada ya hukumu hatukuwahi kuongea wala kuonana mpaka 2019 Baba kafa

Toka hapooo kila akiamka anauliza unaendeleaje hivi vitinbi vipoo

N family curse
Baba kafa aongei na wadogozake
Upande wamama kafa halkuna comm yoyote wenyewe kwa wenyewe na akoo wa3 tu changamoto

Sasa ukiizembea na watoto wenu wanakutana msiban mbele ya safari

Taguta kanisaa lakirohoo karribu waeleze wakuombeee na wewe piaa uikataeee

Hivi ujawahi onaa mzazi tena wameamua ku justify ati wakifwatana hawaelewan mpaka wakue nani kasema
.yaan

Mkianza lambada mapemaaa ndio wanabeba roho za ukooo kuwanadili shuhuli
Nadhani wenzetu hawa watu wa Asia wameweza kulikwepa hili kwa kuishi na familia zao kwenye boma moja, hii nadhani inaondoa ule ubinafsi ambao huku kwetu umetawala. Nasi kama tutaweza kuishi na watoto wetu kwenye boma moja, waoe na waolewe na waishi pale pale hii dhambi ya kutofautiana tunaweza kuikimbia.
 
Sema Kuna Mda ukifika God atambadilisha
Ni kweli mkuuu m nilishakata hata tamaaa yaan baada ya baba kufaaa tukaitwa nanndugu kikaooooo

Tukasomeshwaaa tukaanza kuwasiliana mpaka leoioo uliza anaetuunganisha nae kunmmewaka moto kwahiiio kaka akawa anamwambia we mjomba mdogo wako amuongei unataka nn kwetu haikuwa rahisi nilifunga mkuu
 
Bora msibani unawaona

M kaka yanguuu akisiikia misibaaa haji anauliza min sh ngapi anawarushia mchango sikuhiohio mkipiga yoyote akijua namba zenu apokei..ngooo
Huyo ana roho ya kipekee
 
Unakuta ndugu zako kabisa wa kuzaliwa nao, achilia mbali hao wa upande wa baba au mama mnakuwa hamna maelewano mazuri; kupeana fursa hakuna, wakati mwingine ata kujuliana hali mpaka mtafutane sana.

Ila ukitokea msiba sasa, ndio mnaanza kutafutana na kwenda kwa mbwembwe.

Kwa mtazamo wangu, undugu wa namna hii haufai; piga chini ujipambanie mwenyewe.​
Piga chini mpaka misiba basi, au vipi?
 
Ni kweli mkuuu m nilishakata hata tamaaa yaan baada ya baba kufaaa tukaitwa nanndugu kikaooooo

Tukasomeshwaaa tukaanza kuwasiliana mpaka leoioo uliza anaetuunganisha nae kunmmewaka moto kwahiiio kaka akawa anamwambia we mjomba mdogo wako amuongei unataka nn kwetu haikuwa rahisi nilifunga mkuu
Dah😢
 
Nadhani wenzetu hawa watu wa Asia wameweza kulikwepa hili kwa kuishi na familia zao kwenye boma moja, hii nadhani inaondoa ule ubinafsi ambao huku kwetu umetawala. Nasi kama tutaweza kuishi na watoto wetu kwenye boma moja, waoe na waolewe na waishi pale pale hii dhambi ya kutofautiana tunaweza kuikimbia.
Sanaaa sanaaaa watu wanawacheka lakn awajuu manufaayake yaan m mpaka sasa hata nikisikja kaka amepata matatizo sijui anapokaaaaaa..2017 alipata ajali y pikpik sijui lolote kumbe yuko moi wik ya 3

Akatokea dogo mtaan nae kimeumana na pikpik tuko na wife tunsingia wodiiin namkuta mguuu ukoo na jiwe ndugu niliumwa tumbogaflaaa

Mbaya kawekwa mwanzon kabisa mlangoni ukiingia unamwona aisee. Shemeji yake alishangaa akuamini nkaita mtu wapale nkaenda nje nkaongea na kanteen nkalipa wik 2 nzima chakula asbh mpaka usiku nkampelekea namba akifika mda awajuze anataka nn wamletee.... Ana hela sio sporty sporty nkasema hapahapa pa kuanzisha upendo

Akashtukaaa why nkamwambia nshalipa utachagua unachokula

Nikaanza safari kumwangalia hospt narydi hme

Job hospt hmeeeeeeeee

Sikuyasiku yakanikuta nafika naona mbona kuna mtu mwingine namatunda kama yote ndugu na maxiwaa kwa thermos achaatu kuuliza naambiwa katoka asbh

Nkasema sipigiiiii nimwangalie woii wiki wiki 4 mwezi miezi ziiii nikipga apokei nkasema hapa mwamuzi n Mungu tu sina la ziada ikaisha
 
Sanaaa sanaaaa watu wanawacheka lakn awajuu manufaayake yaan m mpaka sasa hata nikisikja kaka amepata matatizo sijui anapokaaaaaa..2017 alipata ajali y pikpik sijui lolote kumbe yuko moi wik ya 3

Akatokea dogo mtaan nae kimeumana na pikpik tuko na wife tunsingia wodiiin namkuta mguuu ukoo na jiwe ndugu niliumwa tumbogaflaaa

Mbaya kawekwa mwanzon kabisa mlangoni ukiingia unamwona aisee. Shemeji yake alishangaa akuamini nkaita mtu wapale nkaenda nje nkaongea na kanteen nkalipa wik 2 nzima chakula asbh mpaka usiku nkampelekea namba akifika mda awajuze anataka nn wamletee.... Ana hela sio sporty sporty nkasema hapahapa pa kuanzisha upendo

Akashtukaaa why nkamwambia nshalipa utachagua unachokula

Nikaanza safari kumwangalia hospt narydi hme

Job hospt hmeeeeeeeee

Sikuyasiku yakanikuta nafika naona mbona kuna mtu mwingine namatunda kama yote ndugu na maxiwaa kwa thermos achaatu kuuliza naambiwa katoka asbh

Nkasema sipigiiiii nimwangalie woii wiki wiki 4 mwezi miezi ziiii nikipga apokei nkasema hapa mwamuzi n Mungu tu sina la ziada ikaisha
Hii hali inachangiwa na nini hasa?
 
Back
Top Bottom