Huu unyonge wa kushindwa kuongea mnapokereka wanaume unasababishwa na nini?

Wanawake nao wana mchango mkubwa sana katika jambo hili.


Haiwezekani mtu umechelewa kurudi unakausha tu hausemi kwa nini umechelewa yaani unatake easy kana kwamba hakuna kitu kichobadilika,kumbe uungwana unatakiwa useme kabla haujaulizwa na mumeo,ukijifanya kukauka kama hakuna kilichotokea hapo shida ndipo huanzia.

Lakini pia wanamke mzima anashindwa kujua kwamba mumewe anakereka akiwa anachati na simu huku yeye akiwa anataka kampani eti mpaka mume aseme,wakati ni wazi kwamba mweznio akitaka muongee usishike simu.

Mwanamke mzima anashindwa kujua kwamba mume anataka mikao mingi na sio kifo cha mende tu,ukisema umuambie ananuna anaona umemdharau na kusingizia wanaume watumie hekima wakati wanandoa inatakiwa vitu kama hivyo wawekane wazi.

Mwanamke eti anajifanya hajui kabisa kwamba mume anahitaji mke mtundu kitandani mpaka aambiwe kwamba shughulika,haaaa hiii sio saaaaawaaa.

Wanawake wajiongeze bwaanaa kuna mambo kweli yanahitaji tuseme kwamba hili na lile hatutaki lakini mengi sana wanawake wanatakiwa wajiongeze wao maisha yatabadilika sana katika ndoa nyingi.
 
Taarifa ni pande mbili hasa kama kweli kuna Upendo ule uliokwisha 90 kweusi.

Kuna wanawake wana midomo ya kipekee hii Dunia...inategemea uliye naye.

Haya ndio maisha ya Mahusiano.
 
Huyo kishalishwa LIMBWATA na mkewe hapo anasomeshwa mistari tabasamu lake kama lote.

 
Pole yao sana...

Mimi ukinikera lazima unisikie... 🙂🙂
Ahahahahah....jana wife kanikera sasa na vile sifichagi nimeongea toka njian mpaka nafika regency hospital yan mpaka ile napak gar pale wanaenda kumuona doctor ndio namaliza kuongea ..😂😂😂
 
Mke ni wangu sasa nitaogopaje kumwambia ukweli kuwa nakereka na tabia yake??.
 
Athari za nguvu za kiume, hapokama yuko vizuri angetumia vitendo vya mahaba kumnyang'anya simu, na mchezo mwingine ukaendelea
 
Mimi binafsi siwezi mwelewesha mtu mzima kila siku kwamba anakosea,,?ukiona mwanamke niwakuambiwa kila siku basi yawezekana kuna tatizo mahali
 
Ndo maana tukifika tanga tunakua wagumu kurudi mjini
 
Mi mwenyewe niko hivi Sky Eclat mwanamke akiniudhi huwa siongei nakaa kimya ataona tu nimechange sababu huwa siwezi kubadilishana maneno, sana nitakuchukulia hatua kama adhabu and hautosahau
 
Inategemea..

Wanaume tuliowengi hatuwezi kufumbia kukaa kimya.

Wachache wanaokaa kimya ni wale wenye hasira mbaya zaidi. Ukimya wao huepusha vurugu zingine.

Wachache wengine ni marioo

Na wachache wengine ni dhaifu sana kwa wake zao.
 
Wenyewe wanasema wapo romantiki ....ila tupo tunaongea na kutenda
 
Mimi ata akibadili tabasamu ujumbe Nampa mubashara yaan ata Kama ni mm nmemkera nikijua namwambia na nikijua shida ni mm kutamka neno ni "nisamehe kwangu haijawai kua tabu"
 
View attachment 1976415
Mwanaume mke wako amechelewa kurudi kazini unashindwa kuongea nae na kujua kilichotokea unanuna na kwenda kulala. Masikini binti wa watu hajui hata kama umekasirika.
Unaweza ukakuta alisha ongea sana tatizo mtu mwenyewe si mwelewa, kaamua kukaa kimya manake kuna wanawake wanaongea utazani deki ya radio iliyo kula kanda,anaepusha matumizi ya nguvu.
 
View attachment 1976415
Mwanaume mke wako amechelewa kurudi kazini unashindwa kuongea nae na kujua kilichotokea unanuna na kwenda kulala. Masikini binti wa watu hajui hata kama umekasirika.
He he he eti amechelewa kurudi nianze kumuuliza!!.....Pumbafu sio kidume mimi ...kwangu lazima ataanza kutoa maelezo kabla hata hajafika nyumbani.....maana akili zangu anazijua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…