mpiga vichwa
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 2,376
- 3,811
Kwa kauli hizi basi , hata sisi tusema Luc Eymael kuwaita utopolo Manyani , mnaobweka kama mbwa ni sahihi?Makolo Wote ni mbumbumbu na mazuzu kasoro mmoja tu Rage,
Hizi kauli tata za viongozi wao sijui sold out, mara Simba ni klabu namba moja duniani kwa Fifa ranking, huwa mbumbumbu wakiziamini sana maana akili ya kuchambua vitu hawana!
Mashabiki kolowizard wote ni mazuzu kwa kwenda uwanjani huku timu yao ikicheza kama Abajalo au Faru Dume na ukweli kuwa haina kombe lolote msimu wa tatu huu!
Ngao ya jamii ni mbao sio kombe na waliipata kwa mchongo Ally Salim kuruka kabla ya penati za Yanga kupigwa!
Jibu hoja kuhusu makombe, mnayo mangapi?Kwa kauli hizi basi , hata sisi tusema Luc Eymael kuwaita utopolo Manyani , mnaobweka kama mbwa ni sahihi?
Jana tumeshuhudia kwa macho yetu Uwanja ukiwa mtupu maeneo mengi na hata baada ya ile fungulia Mbwa ya saa 11 jioni ili watu wajaze Uwanja but still Uwanja haukujaa.
Ahmed Ally na viongozi wako wa Simba hizi janja janja na utoto wa kizamani wa kudamganya Uma kuwa all tickets sold out mnapata faida gani.
Vile vile nyie wachambuzi uchwara mliokuwa mnalaumu viongozi wa Yanga kwa kuweka kiingilio kikubwa 10k ndio sababu Uwanja kutokujaa vipi jana kiingilio cha 7k nacho ni sababu. Tunawasubiri mje kuongelea hili swala la fungulia Mbwa.
Mwenzenu HuyuUnajadili mambo mawili tofauti:
All tickets sold out vs Uwanja kujaa.
All tickets sold out, ilitokana na idadi ya nafasi (tickets) ambazo Simba walipewa na CAF. Pia waliomba kuongezewa nafasi/tickets nyingine ziuzwe.
Kujaa uwanja ni hitimisho lako, kulingana na matarajio yako na uelewa wa mambo pia. Hakuna kiongozi aliyesema uwanja umejaa au haujajaa.
Hoja juu ya hoja, sawa tumehama.Mwenzenu Huyu
Kwani ukiwa na mpango wa kwenda uwanjani lazima uende? Huko kwenu kila mipango hutimia?Kwahiyo unamaanisha kuna waliokata tiketi lakini hawakuwa na mpango wa kwenda?
Kuna tofauti ya kuwa na mpango, na kukata ticket kabisa.Kwani ukiwa na mpango wa kwenda uwanjani lazima uende? Huko kwenu kila mipango hutimia?
Basi tufanye uwanja haukujaa ila tiketi zikaisha, pengine baadhi ya waliokata hawakuingia. Hiyo itazuia nini kusema 'sold out'?Jana tumeshuhudia kwa macho yetu Uwanja ukiwa mtupu maeneo mengi na hata baada ya ile fungulia Mbwa ya saa 11 jioni ili watu wajaze Uwanja but still Uwanja haukujaa.
Kwani huwezi kukata tiketi halafu ukaichoma moto? Nao si mpango pia? Ukichangia harusi ni lazima uhudhurie? Kama ghafla umepata tumbo la kuharisha?Kuna tofauti ya kuwa na mpango, na kukata ticket kabisa.
Kukata ticket maana yake umeshapitisha huo mpango wa kwenda.
Mpaka unalipia, maana yake umedhamiria kwenda. Labda itokee dharura, ndio inaweza kukuzuia.Kwani huwezi kukata tiketi halafu ukaichoma moto? Nao si mpango pia? Ukichangia harusi ni lazima uhudhurie? Kama ghafla umepata tumbo la kuharisha?
Alikutapeli nini mkuu au uliuza kwa mkopo?Unamfuatilia tapeli ka Ghana!!!
ππππ
Sasa tujadili tunafanyaje. Tuwatafute waliokata tiketi? Maana ilikuwa ukijaribu kukata inagoma, zimeisha. Hebu toa ushauri basi, usiishie kulalamikaMpaka unalipia, maana yake umedhamiria kwenda. Labda itokee dharura, ndio inaweza kukuzuia.
Sasa refer yale mapengo kwenye mechi ya juzi, je zile zote ni dharura ?
Kumbe nilikuwa nalalamika? Sikuwa najua mkuu.Sasa tujadili tunafanyaje. Tuwatafute waliokata tiketi? Maana ilikuwa ukijaribu kukata inagoma, zimeisha. Hebu toa ushauri basi, usiishie kulalamika
Yawezekana kweli unaenda tu na uzi hujui unachohitajiKumbe nilikuwa nalalamika? Sikuwa najua mkuu.
Wewe uliyeniquote ndio nahisi hujajua huko juu tulikuwa tunaongelea Nini. Tofauti na hapo, usingeniambia nitoe ushauri...Yawezekana kweli unaenda tu na uzi hujui unachohitaji