This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 5,050
- 5,204
Umekula lkn. Na chai umekunywa?Mtatafuta kila sababu lakini wenye akili tunasema kuwa hakukuwa na sold out wala taratibu za FIFA,tuliokuwa Uwanjani tulishuhudia ilipofika saa kumi na moja kasoro kulikuwa na fungulia Mbwa ya kufa mtu,yeyote aliekuwepo maeneo ya nje ya Uwanja alilatakiwa aingie ndani apende asipende.
Siyo kwa haya mahangaiko!