Huu upatu wa MTFE ni fursa kweli au mimi ndio naenda kugeuzwa fursa?

Huu upatu wa MTFE ni fursa kweli au mimi ndio naenda kugeuzwa fursa?

kuna siku watapotea ghafla hata hamtajua wamepotelea wapi, Trust me they may be sounds serious now lakini kama unataka kuwa Forex trader ni Bora ujifunze tu il u-trade mwenyewe ingawa si kushauri kuingia huku, Forex is always risky no matter who's trading a professional trader either does loss ije iwe Kwa robot mh!
emoji57.png

Ninachokitabili Mimi kuna siku Tu isiyo na jina hawa MTFE watapotea yaani ghafla Tu platform itakuwa haifanyi Kazi, itaanza changamoto mara kuwithdraw inasumbua mara hivi mara vile finally pesa za watu zitafia huko na hamtawaona hawa jamaa, Watu watapigwa
Am not standing against MTFE but some of people right here wanaweza kuwa mashahidi wa zile platform za uwekezaji zilizotamba 2019 Hadi 2021 kila Mtu akaenda kuwekeza mwisho wa siku walipotea ghafla watu wakawa wamelizwa, history does repeat itself, so sitaki kuwaamini Bora u-trade mwenyewe Kwa registered brokers upate hasara or faida it's okay.
Ila kwa kipind hiki unaweza kuishi nao Tu Ila ukiona dalili kama huelewi jua kinataka kuwaka!
CHOMOKA !!!!!!!!!
Asante kwa ushauri mkuu,na kwa maoni ya wadau wengi huko juu naona kupigwa ni 80% na kupata ni 20
Bora mtfe
😥
 
Ni kweli nimeshuhudia watu wangu wa karibu wakipata pesa kupitia MTFE lakini asilimia kubwa sio kwa kutrade lakini kwa commission za kualika watu.
Kama una uhakika wa kuweza kuinvite watu zaidi ya 1000 ni kweli utatengeneza pesa,lakini kwa kutrade tu utaambulia kilio.
 
Habari zenu wataalamu, naomba nipewe elimu kuhusu huu mchezo wa MTFE maana nahisi huenda nikiweka visenti vyangu nitapigwa.

Mtu aliyenishawishi ni jamaa yangu wa karibu na akanishawishi kuwa ni biashara mtandao ya kununua dola online kisha unaziuza. Mfano ukiwekeza Tsh. Milioni 1.3 unapata faida kwa siku Tsh. 15,000 - 25,000.

Pesa nazipenda sana ila pia kupoteza pesa zangu ndio jambo nisilotaka kwa sasa.

Naomba wataalamu wenye fununu na hii kitu wanisaidie mtiririko nijue mbichi na mbivu.
Kwenye hizi biashara early adopters ndio wanafaidika
 
Najazia hapa,
Is MTFE regulated?

MTEF is a regulated broker based in Canada (regulated by FINTRAC) that offers trading of indices, stocks, currencies, cryptocurrencies, and commodities on one platform. MTFE supports manual and artificial intelligence (automated trading) smart trading.
But do it at your own risk,soma uelewe kwanza kabla ya kuingia na kuanza ku trade...
 
yaani ukiweka mtaji wako mfano tsh milioni 1.3 unapata faida Kila siku 15000-25000 japo ameniambia kuna siku za loss hiyo faida inakuwa haipo.mtaji ukiwa mkubwa na faida kwa siku inakuwa kubwa
siku za loss, ndo una minus hiyo faida mara mbili, Risk za kupoteza huwa zipo, kama una intention ya kufanya, hauwezi kuogopa loss.Usisahau kila kitu kwa kusema huwa ni rahisi, ila kiuhalisia hakuna kazi rahisi.
 
Habari zenu wataalamu, naomba nipewe elimu kuhusu huu mchezo wa MTFE maana nahisi huenda nikiweka visenti vyangu nitapigwa.

Mtu aliyenishawishi ni jamaa yangu wa karibu na akanishawishi kuwa ni biashara mtandao ya kununua dola online kisha unaziuza. Mfano ukiwekeza Tsh. Milioni 1.3 unapata faida kwa siku Tsh. 15,000 - 25,000.

Pesa nazipenda sana ila pia kupoteza pesa zangu ndio jambo nisilotaka kwa sasa.

Naomba wataalamu wenye fununu na hii kitu wanisaidie mtiririko nijue mbichi na mbivu.
Asilimia kubwa ya watanzania ni wajinga ndio maana kutapeliwa Huwa ni rahisi
 
Back
Top Bottom