Huu upatu wa MTFE ni fursa kweli au mimi ndio naenda kugeuzwa fursa?

Huu upatu wa MTFE ni fursa kweli au mimi ndio naenda kugeuzwa fursa?

Hii kitu sio utapeli na mm nimekata shauri kujoin. Naanza na laki2 then nitaenda milion 8 na baadae nitaenda hadi milion 30 ndo target yangu.
Here are my plan
Laki2 naweka zangu za kujichanga nitafanya 2 months then naenda kuuza deni la bank nitaliuza 20 mil halaf difference ya 8 mil naiweka yote. Nitaclear den ndani ya mwaka mmoja coz nakatwa kwenye salary na nitakuwa narejesha nje ys mfumo polepole, nitakopa tena 25mil zote naziweka na ndani ya mwaka nitarudisha den then nabski kula faida
Huu sio upatu bali ni biashara ya kuuza dolar na kununua tena hela wanayotoa ni ndogo sana si ajab jamaa wanakula hela ndefu kuliko wanayokupatia sababu ukitrade mwenyewe vizuri unapata zaid ya hiyo. Mm nna jamaa yangu huwa anazungusha elf f50 tu ila kila siku anaingiza either elf 50 ama sio chini ya 20. Ila wao wanatumia AI kutrade hivo ni vigumu sana kupata hasara
🤣🤣🤣
 
SUBRA ni Jambo Adhimu...
Kama kupoteza tushapoteza SANA na BINADAMU tumeumbwa kusahau na KUTHUBUTU...
Mungu awape SUBRA na HERI muivumilie.
IMG-20230815-WA0285.jpg
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Utakufaa vibaya wew nakuhurumiaaaaaa...
ningeshakufa toka 2019 ....wewe endelea kuogopa kifo na bado ufe na umasikini wako....kwa taarifa yako niliingia nikaanza na hasara ya ya dola 210, nilichanganyikiwa ila kama sikuwa na moyo wa ufanya biashara leo nisingekuwa nakula faida ya wastani almost dola 250 ndani ya siku tano...hata mtaji niliuonao kwa sasa ni pesa zao tu maana ni faida nilizotoa kutoka kwako pesa zangu nilisharudisha miaka iliyopita... nina zaidi ya miaka miwili nachezea na nguvu tu ya compound interest iliyopo MTFE
 
Habari zenu wataalamu, naomba nipewe elimu kuhusu huu mchezo wa MTFE maana nahisi huenda nikiweka visenti vyangu nitapigwa.

Mtu aliyenishawishi ni jamaa yangu wa karibu na akanishawishi kuwa ni biashara mtandao ya kununua dola online kisha unaziuza. Mfano ukiwekeza Tsh. Milioni 1.3 unapata faida kwa siku Tsh. 15,000 - 25,000.

Pesa nazipenda sana ila pia kupoteza pesa zangu ndio jambo nisilotaka kwa sasa.

Naomba wataalamu wenye fununu na hii kitu wanisaidie mtiririko nijue mbichi na mbivu.
Rafiki yangu hakuna bank inatangaza kuwa inatoa mikopo kwenye mitandao ya kijamii na hakuna tenda ya serikali inatangazwa kwenye social media. Fursa nyingi zinapatikana kwa kuonana na watu ana kwa ana. Achana na hivi vitu ambavyo vinasambwazwa mitandaoni. Mimi sio tajiri lakini nina uchumi wa kati, watu ndio walionifanya nifanikiwa. Hakuna dili nililopewa au kujifunza mitandaoni. Madili mengi nimejifunza kutoka kwa watu na nashukuru wanarudi na kuniunga mkono zaidi kwa sababu ni nawakumbuka.
 
Habari zenu wataalamu, naomba nipewe elimu kuhusu huu mchezo wa MTFE maana nahisi huenda nikiweka visenti vyangu nitapigwa.

Mtu aliyenishawishi ni jamaa yangu wa karibu na akanishawishi kuwa ni biashara mtandao ya kununua dola online kisha unaziuza. Mfano ukiwekeza Tsh. Milioni 1.3 unapata faida kwa siku Tsh. 15,000 - 25,000.

Pesa nazipenda sana ila pia kupoteza pesa zangu ndio jambo nisilotaka kwa sasa.

Naomba wataalamu wenye fununu na hii kitu wanisaidie mtiririko nijue mbichi na mbivu.
Achana na utapeli aisee
 
kuna siku watapotea ghafla hata hamtajua wamepotelea wapi, Trust me they may be sounds serious now lakini kama unataka kuwa Forex trader ni Bora ujifunze tu il u-trade mwenyewe ingawa si kushauri kuingia huku, Forex is always risky no matter who's trading a professional trader either does loss ije iwe Kwa robot mh![emoji57]
Ninachokitabili Mimi kuna siku Tu isiyo na jina hawa MTFE watapotea yaani ghafla Tu platform itakuwa haifanyi Kazi, itaanza changamoto mara kuwithdraw inasumbua mara hivi mara vile finally pesa za watu zitafia huko na hamtawaona hawa jamaa, Watu watapigwa
Am not standing against MTFE but some of people right here wanaweza kuwa mashahidi wa zile platform za uwekezaji zilizotamba 2019 Hadi 2021 kila Mtu akaenda kuwekeza mwisho wa siku walipotea ghafla watu wakawa wamelizwa, history does repeat itself, so sitaki kuwaamini Bora u-trade mwenyewe Kwa registered brokers upate hasara or faida it's okay.
Ila kwa kipind hiki unaweza kuishi nao Tu Ila ukiona dalili kama huelewi jua kinataka kuwaka!
CHOMOKA !!!!!!!!!
ALITOA USHAURI HUU huyu mdau aliona mbali.
 
Ujinga ubishi usiolazima na kujifanya umachi no ndio tatizo la watanzania...we ndio umeijua mwaka jana....wajanja tunaijua toka 2015
Huo ujanja wako wa kuijua 2015 unekusaidia nini!? We ni pumbavu mno maana umeniletea domain yao iliyosajiriwa 2021 alafu unataka kuniaminisha wapo tangu 2015! Kwa ujinga huo sishangai kusikia UMEPIGWA na hao Mtfe
 
Hiyo miamala unaifanyia wapi!? Leo wamerudisha miamala yote iliyofanywa week iliyopita so usidanganye umma please. Issue ya kuwithdraw mtfe haiwezekani tangu week iliyopita na mpaka sasa hakuna matumaini yoyote
Samahani, utatupa mrejesho kama miamala inatoka au la!

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom