Inafikirisha sana.Mtu unamtunza vyema mama kabla hajazaa na baada,then ukikorofishana na huyo mama,unakomolewa na wote,yaani mama na mtoto.
Masingle mother huwa ni sumu uliyojichimbia chini......Hao ndio wale wanaitwaga masingle mother ambao hawatakiwi kuolewa.
Amekuuliza swali zuri sana,Hakukuwa na mushkel wowote mkuu,,,
Huyo diamond anaitwa naseeb Abdul..
Huyo mzee ndy mzee Abdul naseeb..
Sasa kama angekuwa sio mwanae angempa jina la baba yake?
Huyo mama ndy muasisi wa sarakasi , mazingaombwe na maroroso yote yanayohusu ugomvi wa mzee Abdul..
Vitu vyote ni vya kutengeneza tu,,ili ahalalishe udhalimu wake.
Mama huyo ni zaidi ya koboko,,,,
Ndy maana hata leo hasiti kuionyesha jamii makunyanzi yake ya kizee hadharani,
.sababu ya kuwa na uso wa Mbuzi.
Uhusiano ulikuwa powa tu,,Amekuuliza swali zuri sana,
Kabla Mondi hajapata pesa na umaarufu uhusiano wake yeye na baba yake ulikuaje?
Nadhani ungejibu hilo.
Tumevaa darubini Jicho moja kama fundi saa...Daa si mchezo wazee wa deep analysis.....
sikuliona hili
Huyo mzee katengenezewa zengwe ambalo linaweza kumpata mwanaume yeyote yule.Huwa sifurahi hata nikiona watoto wametelekezwa barabarani wanaomba omba huku kuna watu wengi matajiri wanaweza kuwachukuwa na kuwapa maisha mazuri anayostahili binadamu. Hata hivyo kutofurahi kwangu hakubadilishi kitu chochote na hakubadilishi ukweli kwamba kuna watu wengi wanazaa ila hawakupaswa kufanya hivyo.
Na nyie wanaume mnamotetea mama diamond ni wale wanaume aina ya uncle shamte,,Wengi mnaomtetea baba yake Diamond inaonyesha hampendi tu lifestyle ya mama yake Diamond na mnakerwa na ukaribu wa Diamond na mama yake, zaidi ya hapo hamna hoja yoyote yenye mashiko.
hapo mwanzo huyo Mwanamke alimfukuza baba diamond kwao tandale.Baba yake Diamond alikosa pesa au alishindwa kutoa pesa/alitelekeza familia?
Wengi humu mnaijua hiyo familia kwa picha na kusikia, hampo karibu nayo na hamjui lolote,Uhusiano ulikuwa powa tu,,
Na ukumbuke siku zote hakuna mtoto atakayemkana baba yake kama mtoto hana kitu,,au hana mali..
Kuna pch hapo inamuonyesha baba diamond yupo na sepetu na mondi mwenyewe,,
Miaka kama 8 iliyopita.
Hapo kabla diamond hajachanganya kupesa,,
Kadiri anavyozidi kupaa ndipo mama anapozidi kuweka sumu za koboko.
Mbona hamlaum na mama yake kushindwa kumpelekea shule na badala yake akampeleka clab akaimbe
Sababu wababa wa kibongo wanaona ni fashion kutelekeza familia zao, wanapuyanga huko baadae wanarudi kwenye wheelchair na kuanza kusumbua watu wale wale aliowatelekeza,Nimeona kwenye mitandao ya wakenya wanajadili hii issue ya Diamond na babaake. Wale watu wako na opinion tofauti na wabongo. Aidha wabongo wengi ni vilaza au wanachuki binafsi na Diamond.
Aseee kwahiyo mama wa Queen na wa Diamond hawakuona mwanaume mwingine wa kuwalelea watoto wao wakampelekea huyu mzee abdul kwa makubaliano? TUMIA AKILI BASI
Dua za kuku hizo! Na kosa lake ni kutumika na media! Lakini yote kwa yote, tuache unafiki wa kujifanya mnamhurumia sana huyo mzee!!Sasa kosa lake nn hata Kama anaita media kupeleka ujumbe kwa diamond?
Huyo mtoto hana adabu,,
Mwache dunia itamfunza one day.
Sawa single mom,,tumekusikia.Wengi humu mnaijua hiyo familia kwa picha na kusikia, hampo karibu nayo na hamjui lolote,
Lakini pia Mondi alishasema jinsi baba yake alivyokua hana habari nae hadi ikapelekea aishindwe kuendelea na masomo ya sekondari, wakati baba anaitwa 'baharia' anakula bata tu Magomeni,
Kusema kua mama yake amlisha sumu ni kumuonea huyo mama sababu Mondi amekua akiyashuhudia manyanyaso ya baba yake,
Mondi ni zao la single mom, muacheni mama yake ajidai nae, wakati mnawatukana single moms na kuwabeza kua ni malaya wasiojitambua hamkujua kua wanawalelea watoto wenu mliowakataa?
Leo mtoto katusua unajileta, hell No, kila mtu apambane na hali yake.
We jamaa ni noma kwa kung'amua kwa picha.Muangalie vzr huyo mama sura yake,,na hizo nguo zake,,utagunduwa kitu kilichomo moyoni mwake.
Alikuwa na njaa sana halafu anapenda vinono.
Halafu angalia hata mikono yake alivyoiweka ni kama ananyenyekea kitu fulani,,
Au kama kaomba kitu fulani sasa anakitilia msisitizo apewe.
Hapo itakuwa alikuja kupiga kizinga tu kwa mzazi mwenzie hakuna kingine.
Inaonyesha hyo diamond ameletwa tu hapo,,
lakini hakai hapo na huyo Mzee.