Huu Ushindi wa Dr Tulia Ackson umekosa mvuto baada ya kuona Somalia, Malawi na Senegal ndio washindani wake. Je IPU ni bunge la Kusini mwa Sahara?

Huu Ushindi wa Dr Tulia Ackson umekosa mvuto baada ya kuona Somalia, Malawi na Senegal ndio washindani wake. Je IPU ni bunge la Kusini mwa Sahara?

Bush Dokta

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2023
Posts
24,831
Reaction score
45,154
Ama kweli wazungu wana dharau sana.

Huku wakiita ni Umoja wa Mabunge ya Dunia lakini wagombea woote ni wafrica tu tena kutoka kwenye Nchi zisizo na Hadhi yoyote kwenye nyanja yoyote kidunia.

Kama ningekua Dr Tulia Ackson nisingegombea.

Kitu chenye heshima ambacho Mzungu hajaona hata kuchukua form hicho kitu ni ceremonial tu.
 
Mmehamisha magoli 🤣🤣 na huko mseme Tulia kaiba kura. Ushindi kwa Tulia ni swala la muda tu, Tulia ni spika makini sana she deserves it all.
Huwezi kutoka Tanzania ukashindananna Somalia usishinde.

Yaani ni sawa na Kijana Wa Tabora Boys akafanye mtihani na Vijana wa Dumila Kata Secondary.....
 
aliyemaliza muda si alitokea portugal, labda wanaenda kwa mabara kwa awamu, utajuaje, labda ilikuwa zamu ya africa?
 
Ama kweli wazungu wana dharau sana.

Huku wakiita ni Umoja wa Mabunge ya Dunia lakini wagombea woote ni wafrica tu tena kutoka kwenye Nchi zisizo na Hadhi yoyote kwenye nyanja yoyote kidunia.

Kama ningekua Dr Tulia Ackson nisingegombea.

Kitu chenya heshima ambacho Mzungu hajaona hata kuchukua form hicho kitu ni ceremonial tu.

"Kwa miaka 25 sasa urais wa IPU umetawaliwa na wabunge kutoka Misri, Hispania, India, Italia, Namibia, Morocco, Bangaladesh, Mexico na Portugal".

Hii kitu ulikuwa unaijua?
 
"Kwa miaka 25 sasa urais wa IPU umetawaliwa na wabunge kutoka Misri, Hispania, India, Italia, Namibia, Morocco, Bangaladesh, Mexico na Portugal".

Hii kitu ulikuwa unaijua?
Ikawaje sasa mwaka huu ni Somalia, Senegal na Tanzania? Au ilipangwa?
 
Huwezi kutoka Tanzania ukashindananna Somalia usishinde.

Yaani ni sawa na Kijana Wa Tabora Boys akafanye mtihani na Vijana wa Dumila Kata Secondary.....



Mlisema hatoshinda sahizi anashindana na wajinga. Mtalia vilio vyote mwaka huu Tulia katulia tu anasubiri kula kiapo 🤣🤣🤣
 
Mlisema hatoshinda sahizi anashindana na wajinga. Mtalia vilio vyote mwaka huu Tulia katulia tu anasubiri kula kiapo 🤣🤣🤣
Kama ushindi wenyewe ni huu basi wacha achukue tu
 
Back
Top Bottom