Tumetoka kumsindikiza jamaa wetu kafiwa na mama ake mzazi huko mkoani lakini mpaka mvua imetukuta uko porini wanasoma orodha ndefu ya watu watakao weka maua kwenye kaburi ya marehemu, tumetoka usiku na njia mbovu.
Hivi huo utamadini wa kuweka mashada kwenye undongo wa kaburi ulitoka wapi? Unasaidia nini? Umeandikwa kwenye Biblia?
Mwenye majibu sahihi tafadhari nijibu, mimi umenikera kweli kweli.
Hivi huo utamadini wa kuweka mashada kwenye undongo wa kaburi ulitoka wapi? Unasaidia nini? Umeandikwa kwenye Biblia?
Mwenye majibu sahihi tafadhari nijibu, mimi umenikera kweli kweli.