Huu utamaduni wa kuweka mashada ya maua makaburini umetokea wapi?

Huu utamaduni wa kuweka mashada ya maua makaburini umetokea wapi?

Covax

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2021
Posts
10,198
Reaction score
35,323
Tumetoka kumsindikiza jamaa wetu kafiwa na mama ake mzazi huko mkoani lakini mpaka mvua imetukuta uko porini wanasoma orodha ndefu ya watu watakao weka maua kwenye kaburi ya marehemu, tumetoka usiku na njia mbovu.

Hivi huo utamadini wa kuweka mashada kwenye undongo wa kaburi ulitoka wapi? Unasaidia nini? Umeandikwa kwenye Biblia?

Mwenye majibu sahihi tafadhari nijibu, mimi umenikera kweli kweli.
 
Kwani utaratibu wa waislam kukafin ,kukamua maiti ulitoka wapi, hizi ni mila na tamaduni za walioleta hizi dini,wazungu na waarabu, Ni sunna, ukifanya sio dhambi,ukiacha sio dhambi relax.

Kumbuka uarabuni kwa waislamu wenyewe ni jangwa sehemu kubwa,kupata maua ni ishu, uenda na wenyewe walitamani kuwawekea maua wapendwa wao,ndio maana hata waarabu wanazika bila jeneza,hakuna miti ya kuchongea jeneza

Hata ile kuzika chapchap ni sababu ya joto la uarabuni maiti inaharibika haraka ,tofauti na ulaya kwenye baridi
 
Tumeenda kumsinfikiza jamaa wetu kalifiwa na mama ake mzazi uko mkoani lakini mpaka mvua imetukuta uko porini wanasoma orodha ndefu ya watu watakao weka maua kwenye kaburi ya marehemu, tumetoka usiku na njia mbovu.

Hivi huo utamadini wa mashahada ulitoka wapi? Unasaidia nini? Umeeandikwa kwwnye bibulia? Mwenye majibu sahihi tafadhari nijibu mimi umeni kera kweli kweli
Hizi dini ni mila za jamii fulani tu. We tazama vizuri utagundua kila dini ina mila za kule ilikotoka.

Ukristo una mila za kizungu ndani yake japo mfano ukatoliki uko blended na mila za maeneo pia. WAfilipino kuna vitu huvifanya katika ibada zao ambapo Wakatoliki wa Brazili hawafanyi.

Wahindu nao utaona imani yao iko blended na mila za wahindi, same to Muslims na mila za Waarab mfano kufuga ndefu wakati Bw. zakayo Rwejuna hana ndevu ndefu kama waarabu.

So haya masuala ya kuweka sijui maua sijui whaat ni mila tu za wazungu huko.
 
Naona leo mmeamka na mashindano ya kuzika Wakristo vs Waislamu.

Huku wewe unahoji mashada na maua, kule jamaa yako amehoji "Kwa nini wanawake hawaruhusiwi kwenda kuzika makaburini?"

All in all, hii inadhihirisha Waafrika wengi mmeanza kuamka kutoka usingizi wa hizi dini tulizoketewa na kuanza kuhoji mambo ya msingi.
 
Tumeenda kumsinfikiza jamaa wetu kalifiwa na mama ake mzazi uko mkoani lakini mpaka mvua imetukuta uko porini wanasoma orodha ndefu ya watu watakao weka maua kwenye kaburi ya marehemu, tumetoka usiku na njia mbovu.

Hivi huo utamadini wa mashahada ulitoka wapi? Unasaidia nini? Umeeandikwa kwwnye bibulia? Mwenye majibu sahihi tafadhari nijibu mimi umeni kera kweli kweli
Kwa hiyo ukachukia maua kuwekwa kwenye kaburi?Kuondoka uliona nini?Na bado.Safari ijayo tutaanza kuyamwagia maji polepole hadi giza liingie.
 
Kwani utaratibu wa waislam kukafin ,kukamua maiti ulitoka wapi,hizi ni mila na tamaduni za walioleta hizi dini,wazungu na waarabu,Ni sunna,ukifanya sio dhambi,ukiacha sio dhambi rwlax
Wewe toa udini hapa siko katika udini wakukashifu watu acha kabisa.
 
Tumetoka kumsindikiza jamaa wetu kafiwa na mama ake mzazi huko mkoani lakini mpaka mvua imetukuta uko porini wanasoma orodha ndefu ya watu watakao weka maua kwenye kaburi ya marehemu, tumetoka usiku na njia mbovu.

Hivi huo utamadini wa kuweka mashada kwenye undongo wa kaburi ulitoka wapi? Unasaidia nini? Umeandikwa kwenye bibulia? Mwenye majibu sahihi tafadhari nijibu mimi umenikera kweli kweli.
Hayo ni Mapokeo tuu mkuu!Kuonyesha eti tukimpenda Wakati anaumwa watu waliuchuna.
 
Tumeenda kumsinfikiza jamaa wetu kalifiwa na mama ake mzazi uko mkoani lakini mpaka mvua imetukuta uko porini wanasoma orodha ndefu ya watu watakao weka maua kwenye kaburi ya marehemu, tumetoka usiku na njia mbovu.

Hivi huo utamadini wa mashahada ulitoka wapi? Unasaidia nini? Umeeandikwa kwwnye bibulia? Mwenye majibu sahihi tafadhari nijibu mimi umeni kera kweli kweli

Mkuu kama ungependa kujibiwa kikamilifu usingeweka mfano wa huko ulikokwenda wala madhila ya mvua, njia na hata adha iliyowakuta.

Ungeuliza "plainly" tu bila maelezo ya tukio lenye vionjo kuwa ulikwazika.

Hudhani kwa jinsi hii wengine tutajiuliza:

"Kwani huko uliitwa, ulilazimishwa kuendelea kuwepo, ulizuiwa kuondoka, nk, nk?"

Uchungu wa wafiwa na watakayo wao kumfanyia mpendwa wao yanahusika na nini na asiye husika?

Aghalabu kulikoni wewe na mambo ya Ngoswe?

"Bahati mbaya kwa namna hii, umejipunguzia wachangiaji ambao kama nia yako ilikuwa njema ungenufaika na michango yao."
 
Mkuu ungependa kujibiwa usingeweka mfano wa huko ulikokwenda na madhila ya mvua, njia na hata adha iliyowakuta.

Si ungeuliza plainly tu bila maelezo ya tukio lenye vionjo kuwa ulikwazika?

Maana wengine tutajiuliza:

"Kwani uliitwa, ulilazimishwa kuendelea kuwepo, ulizuiwa kuondoka, nk, nk?"

Uchungu wa wafiwa na watakayo kumfanyia mpendwa wao yanahusika na nini na asiye husika?

Aghakabu kulikoni wewe na mambo ya Ngoswe?
Mkuu nilikubali kila kitu, badaye leo asubuhi ndo nauliza the logic yake, kwanza yale maua yameharibika siku hiyo hiyo mvua, kwanini tunafuata dini kiujinga bila kutumia logic.
 
Back
Top Bottom