- Thread starter
- #21
Mkuu nakuunga mkono sanaa ni kustress watu na kubagua watu tu.Mimi ni Mkristo,haya mambo ya Kijinga yanafanywa na wakristo WAJINGA!
Kuweka Shada juu ya kaburi la Marehemu ni UJINGA wa kiwango Cha Juu mno!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu nakuunga mkono sanaa ni kustress watu na kubagua watu tu.Mimi ni Mkristo,haya mambo ya Kijinga yanafanywa na wakristo WAJINGA!
Kuweka Shada juu ya kaburi la Marehemu ni UJINGA wa kiwango Cha Juu mno!
Tuanze kuweka ya miba na sifongo.Yesu mwenyewe alivalishwa shada la miba
Halafu wengine hupigiwa mizinga..... 🙂Tumetoka kumsindikiza jamaa wetu kafiwa na mama ake mzazi huko mkoani lakini mpaka mvua imetukuta uko porini wanasoma orodha ndefu ya watu watakao weka maua kwenye kaburi ya marehemu, tumetoka usiku na njia mbovu.
Hivi huo utamadini wa kuweka mashada kwenye undongo wa kaburi ulitoka wapi? Unasaidia nini? Umeandikwa kwenye Biblia?
Mwenye majibu sahihi tafadhari nijibu, mimi umenikera kweli kweli.
Mimi ni Mkristo,haya mambo ya Kijinga yanafanywa na wakristo WAJINGA!
Kuweka Shada juu ya kaburi la Marehemu ni UJINGA wa kiwango Cha Juu mno!
Katika uislamu maiti hakamuliwi.Kwani utaratibu wa waislam kukafin ,kukamua maiti ulitoka wapi,hizi ni mila na tamaduni za walioleta hizi dini,wazungu na waarabu,Ni sunna,ukifanya sio dhambi,ukiacha sio dhambi rwlax
Majibu haya hapa! Why do we put flowers on the grave? - deBloemist.nl.Tumetoka kumsindikiza jamaa wetu kafiwa na mama ake mzazi huko mkoani lakini mpaka mvua imetukuta uko porini wanasoma orodha ndefu ya watu watakao weka maua kwenye kaburi ya marehemu, tumetoka usiku na njia mbovu.
Hivi huo utamadini wa kuweka mashada kwenye undongo wa kaburi ulitoka wapi? Unasaidia nini? Umeandikwa kwenye Biblia?
Mwenye majibu sahihi tafadhari nijibu, mimi umenikera kweli kweli.
Kweli mwakifwamba,momumo!Waswahili husema vya kurithi huzidi.
Halafu utafikiri alilazimishwa kwenda huko. Mvua nayo ni ya kuogopa kweli, labda kama hakuwa na nguo ya kubadilisha!Naona mvua imeleta balaa
Ukiondoa uwekaji wa maua, mengine uliona ni sahihi? Kama ni ndio, sababu za usahihi ni zipi!?Tumetoka kumsindikiza jamaa wetu kafiwa na mama ake mzazi huko mkoani lakini mpaka mvua imetukuta uko porini wanasoma orodha ndefu ya watu watakao weka maua kwenye kaburi ya marehemu, tumetoka usiku na njia mbovu.
Hivi huo utamadini wa kuweka mashada kwenye undongo wa kaburi ulitoka wapi? Unasaidia nini? Umeandikwa kwenye Biblia?
Mwenye majibu sahihi tafadhari nijibu, mimi umenikera kweli kweli.
Unajua wakuristu wa kiaAfrica hasa Tanzania tuna kiherehera cha kuiga wazungu kwa kila kitu bila kutumia akili zetuMajibu haya hapa! Why do we put flowers on the grave? - deBloemist.nl.
Mkuu nauliza logic ya kuweka mashada ni ipi? Nani kaleta huo utamaduni? Kwanini unafanywa na wakuristu tu.Halafu utafikiri alilazimishwa kwenda huko. Mvua nayo ni ya kuogopa kweli, labda kama hakuwa na nguo ya kubadilisha!
Kabla ya wazungu na waarabu au kwa kifupi kabla ya kukutana na wageni, tulikuwa tunazika vipi? Au ndio ile kama ya Mamaasai kuhama boma na kucha mwili humo humo? Lakini, je kulikuwa na namna ya kuhama?Unajua wakuristu wa kiaAfrica hasa Tanzania tuna kiherehera cha kuiga wazungu kwa kila kitu bila kutumia akili zetu
Hapo watujibu hao wanao jifanya kufuata dini sanaa.Kabla ya wazungu na waarabu au kwa kifupi kabla ya kukutana na wageni, tulikuwa tunazika vipi?
Mbona wewe unaleta mambo ya kidini leta jibu la logic acha kukimbilia kwenye udini mimi siko kiudini plz.Mvua tu kidogo unakuja kulia lia huku, hovyo kabisa. Nyie mnavyokamua kimba maiti ina maana gani
Mdogo mdogo wasioelewaa dini n uhuni tu wataanzaa kuelewaa ...Naona leo mmeamka na mashindano ya kuzika Wakristo vs Waislamu.
Huku wewe unahoji mashada na maua, kule jamaa yako amehoji "Kwa nini wanawake hawaruhusiwi kwenda kuzika makaburini?"
All in all, hii inadhihirisha Waafrika wengi mmeanza kuamka kutoka usingizi wa hizi dini tulizoketewa na kuanza kuhoji mambo ya msingi.
Mkuu nilikubali kila kitu, badaye leo asubuhi ndo nauliza the logic yake, kwanza yale maua yameharibika siku hiyo hiyo mvua, kwanini tunafuata dini kiujinga bila kutumia logic.
Ni upendo tu ni jambo nzuri la kuiga hakuna madhara hasi hapo.Tumetoka kumsindikiza jamaa wetu kafiwa na mama ake mzazi huko mkoani lakini mpaka mvua imetukuta uko porini wanasoma orodha ndefu ya watu watakao weka maua kwenye kaburi ya marehemu, tumetoka usiku na njia mbovu.
Hivi huo utamadini wa kuweka mashada kwenye undongo wa kaburi ulitoka wapi? Unasaidia nini? Umeandikwa kwenye Biblia?
Mwenye majibu sahihi tafadhari nijibu, mimi umenikera kweli kweli.