Huu utamaduni wa kuweka mashada ya maua makaburini umetokea wapi?

Huu utamaduni wa kuweka mashada ya maua makaburini umetokea wapi?

Mkuu nauliza logic ya kuweka mashada ni ipi? Nani kaleta huo utamaduni? Kwanini unafanywa na wakuristu tu.
Mkuu hili neno unalikosea makusudi au haujui? Linaandikwa wakristo
 
Mkuu hili neno unalikosea makusudi au haujui? Linaandikwa wakristo
Ukuristo ni dini wa kristu ni watu wanao fuata ukristo......verb vs noun mkuu. ........ile tuende kwenye mada kuu hao watu hizo tamaduni za maua kupelekwa makaburini wana zitoa wapi?
 
Nadhani wewe pia unaweza ukawa unaongoza Kwa Ujinga kwasababu unachangia mada ambayo haikuhusu!

Kuna mada zisizohusu wengine, hadharani ndugu?

Si ndiyo maana za vyumbani, pelekeni DM huko.

Hadharani mkiandika upuuzi, za uso hamtaziepuka.

Hii bila kujali nani ni nani!

GFfUGgLWkAAh9uE.jpeg



Habari ndiyo hiyo!
 
Ukuristo ni dini wa kristu ni watu wanao fuata ukristo......verb vs noun mkuu. ........ile tuende kwenye mada kuu hao watu hizo tamaduni za maua kupelekwa makaburini wana zitoa wapi?
Kila mtu afanye aonavyo yeye ni sawa, sio lazima kila kitu tufanye reference Kwa koran(Waarabu) au biblia(wazungu). Kama jambo hukubaliani nalo unakaaa pembeni wahusika wakimaliza unaongana nao katika yale mnayoshare
 
N

Na nani na lilikuwa na maana Gani?

Ile taji ya miiba ilikuwa dhihaka Kwa sababu yesu alikuwa anajiita mfalme wa wayahudi ndo wakaamua kumvisha. Swali je na kabulini waliweka maua?
Mkuu huo ushahidi unautoa wapi? Unasho maanisha lile shada la miiba Mungu alikubali mwanae adhalilishwe kiasi hicho haliakua alikua na uwezo kuwazuia,
 
Mkuu kama ungependa kujibiwa kikamilifu usingeweka mfano wa huko ulikokwenda wala madhila ya mvua, njia na hata adha iliyowakuta.

Ungeuliza "plainly" tu bila maelezo ya tukio lenye vionjo kuwa ulikwazika.

Hudhani kwa jinsi hii wengine tutajiuliza:

"Kwani huko uliitwa, ulilazimishwa kuendelea kuwepo, ulizuiwa kuondoka, nk, nk?"

Uchungu wa wafiwa na watakayo wao kumfanyia mpendwa wao yanahusika na nini na asiye husika?

Aghalabu kulikoni wewe na mambo ya Ngoswe?

"Bahati mbaya kwa namna hii, umejipunguzia wachangiaji ambao kama nia yako ilikuwa njema ungenufaika na michango yao."
Hajakosea ndio maana atakata kujua umhimu Hadi mvua iwanyeshee Kuna ulazima upi wa kuweka hayo maua?
 
Kila mtu afanye aonavyo yeye ni sawa, sio lazima kila kitu tufanye reference Kwa koran(Waarabu) au biblia(wazungu). Kama jambo hukubaliani nalo unakaaa pembeni wahusika wakimaliza unaongana nao katika yale mnayoshare
Wewe huna muongozo unafuata upepo kama bendera ya Ccm, utamaliza maisha naushoga kisa huna kitabu kukuongoza.
 
Wewe huna muongozo unafuata upepo kama bendera ya Ccm, utamaliza maisha naushoga kisa huna kitabu kukuongoza.
Nkishaona mwanaume jambo dogo unakimbilia kichaka Cha mambo ya ushoga naona ni wale wale tu. Uwe na wakati mwema
 
Nkishaona mwanaume jambo dogo unakimbilia kichaka Cha mambo ya ushoga naona ni wale wale tu. Uwe na wakati mwema
Mkuu hapana mimi nachukia sana ushoga na watu wanao shadadia ushoga, nikipewa nafasi nawezi kuumaliza kwa kuwaua kabisa.
 
Kwani utaratibu wa waislam kukafin ,kukamua maiti ulitoka wapi, hizi ni mila na tamaduni za walioleta hizi dini,wazungu na waarabu, Ni sunna, ukifanya sio dhambi,ukiacha sio dhambi relax.

Kumbuka uarabuni kwa waislamu wenyewe ni jangwa sehemu kubwa,kupata maua ni ishu, uenda na wenyewe walitamani kuwawekea maua wapendwa wao,ndio maana hata waarabu wanazika bila jeneza,hakuna miti ya kuchongea jeneza

Hata ile kuzika chapchap ni sababu ya joto la uarabuni maiti inaharibika haraka ,tofauti na ulaya kwenye baridi
Hahahah yani nikweli umepata likes zote hizi kwa hiki ulichoandika duuh hahahah
 
Mkuu hapana mimi nachukia sana ushoga na watu wanao shadadia ushoga, nikipewa nafasi nawezi kuumaliza kwa kuwaua kabisa.
Sasa hapo umeni-attack na content ya ushoga kwa sababu gani?
 
Sasa hapo umeni-attack na content ya ushoga kwa sababu gani?
Maudhui hayakua ya ushoga mkuu, yLikua kufuata kitu bila kua muongozo, huenda ukamalizia pabaya ndo rai yangu hiyo.
 
Tumetoka kumsindikiza jamaa wetu kafiwa na mama ake mzazi huko mkoani lakini mpaka mvua imetukuta uko porini wanasoma orodha ndefu ya watu watakao weka maua kwenye kaburi ya marehemu, tumetoka usiku na njia mbovu.

Hivi huo utamadini wa kuweka mashada kwenye undongo wa kaburi ulitoka wapi? Unasaidia nini? Umeandikwa kwenye Biblia?

Mwenye majibu sahihi tafadhari nijibu, mimi umenikera kweli kweli.

Mkuu umeiona mada nyingine hii maudhui kama yako?

Kwanini wanawake Waislamu hawaruhusiwi kwenda makaburini kuzika wapendwa wao?

"Yako kama hii haichukui muda kuona yaliyofichika."

Wewe kama yeye hawaulizi tu, ila angalia vilivyomo.

Mtu ukajiuliza, siyo mambo ya Ngoswe haya?
 
Elimu yangu haina uhusiano na kuweka mashada kwenye kaburi, nyie wenye elimu ndo mnafanya huo ujinga wa kuiga bila kutumia mantiki.
Vitu vingi tumeiga,kuiga sio dhambi,bila kuiga leo hii usingejisitiri kwa nguo waka usingejenga nyumba wala usingetumia smart phone,maana sio asili ya muafrica,kuiga ruksa ili mradi usivunje sheria au kumkufuru Mungu
 
Mwaka 2022 wakati wa maziko ya marehemu Mama yangu hicho kipengele nilikikwepa kabisa
Maana nilijiuliza tangu amenizaa hadi anafariki sikuwahi kumpa maua hata siku moja.
 
Katika uislamu maiti hakamuliwi.
Kama una uthibitisho tuwekee kitabu chochote cha fiqhi kinachotoa hayo maelekezo.

Kukafini ni kumvisha sanda maiti. Kwa kuwa maiti hawezi kujivalisha mwenyewe sanda basi anavalishwa. Hiki kitendo ndicho kinaitwa kukafini.
wewe umeshawahi kuosha maiti ya muislam??
 
Vitu vingi tumeiga,kuiga sio dhambi,bila kuiga leo hii usingejisitiri kwa nguo waka usingejenga nyumba wala usingetumia smart phone,maana sio asili ya muafrica,kuiga ruksa ili mradi usivunje sheria au kumkufuru Mungu
hawa ni miongozi mwa viazi mbatata,wanaojifanua wameamka kwa kukataa mila na mambo ya kizungu,wakati wanajipa standard za mafanikio kupitia mavifaa ya hap hao wazungu,migari ya gharama hawapandi punda,majumba ya maana hawakai ktk vienge,masimu ya gaharama hawatumi watu na punda tena.

😂😂😂ukishakuwa mtumwa wa kiakili,hata unapodhani umeamka utakuwa umeamka ukiwa bado mtumwa.
 
Niliwahi kumtoa mwanamke aliyekaingia kaburini kupokea mwili wa mjomba nikawaambia msilete mila zenu za kipuuzi tangu lini mwanamke akaingia kaburini huu ni ukristo wa wapi?
 
Back
Top Bottom