MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Weka picha au video fupi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hili neno unalikosea makusudi au haujui? Linaandikwa wakristoMkuu nauliza logic ya kuweka mashada ni ipi? Nani kaleta huo utamaduni? Kwanini unafanywa na wakuristu tu.
Ukuristo ni dini wa kristu ni watu wanao fuata ukristo......verb vs noun mkuu. ........ile tuende kwenye mada kuu hao watu hizo tamaduni za maua kupelekwa makaburini wana zitoa wapi?Mkuu hili neno unalikosea makusudi au haujui? Linaandikwa wakristo
Nadhani wewe pia unaweza ukawa unaongoza Kwa Ujinga kwasababu unachangia mada ambayo haikuhusu!
Na nani na lilikuwa na maana Gani?Yesu mwenyewe alivalishwa shada la miba
Kila mtu afanye aonavyo yeye ni sawa, sio lazima kila kitu tufanye reference Kwa koran(Waarabu) au biblia(wazungu). Kama jambo hukubaliani nalo unakaaa pembeni wahusika wakimaliza unaongana nao katika yale mnayoshareUkuristo ni dini wa kristu ni watu wanao fuata ukristo......verb vs noun mkuu. ........ile tuende kwenye mada kuu hao watu hizo tamaduni za maua kupelekwa makaburini wana zitoa wapi?
Mkuu huo ushahidi unautoa wapi? Unasho maanisha lile shada la miiba Mungu alikubali mwanae adhalilishwe kiasi hicho haliakua alikua na uwezo kuwazuia,N
Na nani na lilikuwa na maana Gani?
Ile taji ya miiba ilikuwa dhihaka Kwa sababu yesu alikuwa anajiita mfalme wa wayahudi ndo wakaamua kumvisha. Swali je na kabulini waliweka maua?
Hajakosea ndio maana atakata kujua umhimu Hadi mvua iwanyeshee Kuna ulazima upi wa kuweka hayo maua?Mkuu kama ungependa kujibiwa kikamilifu usingeweka mfano wa huko ulikokwenda wala madhila ya mvua, njia na hata adha iliyowakuta.
Ungeuliza "plainly" tu bila maelezo ya tukio lenye vionjo kuwa ulikwazika.
Hudhani kwa jinsi hii wengine tutajiuliza:
"Kwani huko uliitwa, ulilazimishwa kuendelea kuwepo, ulizuiwa kuondoka, nk, nk?"
Uchungu wa wafiwa na watakayo wao kumfanyia mpendwa wao yanahusika na nini na asiye husika?
Aghalabu kulikoni wewe na mambo ya Ngoswe?
"Bahati mbaya kwa namna hii, umejipunguzia wachangiaji ambao kama nia yako ilikuwa njema ungenufaika na michango yao."
Wewe huna muongozo unafuata upepo kama bendera ya Ccm, utamaliza maisha naushoga kisa huna kitabu kukuongoza.Kila mtu afanye aonavyo yeye ni sawa, sio lazima kila kitu tufanye reference Kwa koran(Waarabu) au biblia(wazungu). Kama jambo hukubaliani nalo unakaaa pembeni wahusika wakimaliza unaongana nao katika yale mnayoshare
Nkishaona mwanaume jambo dogo unakimbilia kichaka Cha mambo ya ushoga naona ni wale wale tu. Uwe na wakati mwemaWewe huna muongozo unafuata upepo kama bendera ya Ccm, utamaliza maisha naushoga kisa huna kitabu kukuongoza.
Mkuu hapana mimi nachukia sana ushoga na watu wanao shadadia ushoga, nikipewa nafasi nawezi kuumaliza kwa kuwaua kabisa.Nkishaona mwanaume jambo dogo unakimbilia kichaka Cha mambo ya ushoga naona ni wale wale tu. Uwe na wakati mwema
Hahahah yani nikweli umepata likes zote hizi kwa hiki ulichoandika duuh hahahahKwani utaratibu wa waislam kukafin ,kukamua maiti ulitoka wapi, hizi ni mila na tamaduni za walioleta hizi dini,wazungu na waarabu, Ni sunna, ukifanya sio dhambi,ukiacha sio dhambi relax.
Kumbuka uarabuni kwa waislamu wenyewe ni jangwa sehemu kubwa,kupata maua ni ishu, uenda na wenyewe walitamani kuwawekea maua wapendwa wao,ndio maana hata waarabu wanazika bila jeneza,hakuna miti ya kuchongea jeneza
Hata ile kuzika chapchap ni sababu ya joto la uarabuni maiti inaharibika haraka ,tofauti na ulaya kwenye baridi
Sasa hapo umeni-attack na content ya ushoga kwa sababu gani?Mkuu hapana mimi nachukia sana ushoga na watu wanao shadadia ushoga, nikipewa nafasi nawezi kuumaliza kwa kuwaua kabisa.
Maudhui hayakua ya ushoga mkuu, yLikua kufuata kitu bila kua muongozo, huenda ukamalizia pabaya ndo rai yangu hiyo.Sasa hapo umeni-attack na content ya ushoga kwa sababu gani?
Tumetoka kumsindikiza jamaa wetu kafiwa na mama ake mzazi huko mkoani lakini mpaka mvua imetukuta uko porini wanasoma orodha ndefu ya watu watakao weka maua kwenye kaburi ya marehemu, tumetoka usiku na njia mbovu.
Hivi huo utamadini wa kuweka mashada kwenye undongo wa kaburi ulitoka wapi? Unasaidia nini? Umeandikwa kwenye Biblia?
Mwenye majibu sahihi tafadhari nijibu, mimi umenikera kweli kweli.
Vitu vingi tumeiga,kuiga sio dhambi,bila kuiga leo hii usingejisitiri kwa nguo waka usingejenga nyumba wala usingetumia smart phone,maana sio asili ya muafrica,kuiga ruksa ili mradi usivunje sheria au kumkufuru MunguElimu yangu haina uhusiano na kuweka mashada kwenye kaburi, nyie wenye elimu ndo mnafanya huo ujinga wa kuiga bila kutumia mantiki.
wewe umeshawahi kuosha maiti ya muislam??Katika uislamu maiti hakamuliwi.
Kama una uthibitisho tuwekee kitabu chochote cha fiqhi kinachotoa hayo maelekezo.
Kukafini ni kumvisha sanda maiti. Kwa kuwa maiti hawezi kujivalisha mwenyewe sanda basi anavalishwa. Hiki kitendo ndicho kinaitwa kukafini.
hawa ni miongozi mwa viazi mbatata,wanaojifanua wameamka kwa kukataa mila na mambo ya kizungu,wakati wanajipa standard za mafanikio kupitia mavifaa ya hap hao wazungu,migari ya gharama hawapandi punda,majumba ya maana hawakai ktk vienge,masimu ya gaharama hawatumi watu na punda tena.Vitu vingi tumeiga,kuiga sio dhambi,bila kuiga leo hii usingejisitiri kwa nguo waka usingejenga nyumba wala usingetumia smart phone,maana sio asili ya muafrica,kuiga ruksa ili mradi usivunje sheria au kumkufuru Mungu