Huu utamaduni wa kuweka mashada ya maua makaburini umetokea wapi?

Huu utamaduni wa kuweka mashada ya maua makaburini umetokea wapi?

Kwani utaratibu wa waislam kukafin ,kukamua maiti ulitoka wapi, hizi ni mila na tamaduni za walioleta hizi dini,wazungu na waarabu, Ni sunna, ukifanya sio dhambi,ukiacha sio dhambi relax.

Kumbuka uarabuni kwa waislamu wenyewe ni jangwa sehemu kubwa,kupata maua ni ishu, uenda na wenyewe walitamani kuwawekea maua wapendwa wao,ndio maana hata waarabu wanazika bila jeneza,hakuna miti ya kuchongea jeneza

Hata ile kuzika chapchap ni sababu ya joto la uarabuni maiti inaharibika haraka ,tofauti na ulaya kwenye baridi
Facts
 
Tumetoka kumsindikiza jamaa wetu kafiwa na mama ake mzazi huko mkoani lakini mpaka mvua imetukuta uko porini wanasoma orodha ndefu ya watu watakao weka maua kwenye kaburi ya marehemu, tumetoka usiku na njia mbovu.

Hivi huo utamadini wa kuweka mashada kwenye undongo wa kaburi ulitoka wapi? Unasaidia nini? Umeandikwa kwenye Biblia?

Mwenye majibu sahihi tafadhari nijibu, mimi umenikera kweli kweli.

Umetaja Biblia.

Kwani utamaduni wa kufuata Biblia umetoka wapi?
 
Per Meta AI.

Where does the culture of putting flowers on graves come from?

The tradition of placing flowers on graves dates back thousands of years and spans various cultures. Here's a brief overview:

Ancient Civilizations:

1. Ancient Egypt (circa 2500 BCE): Flowers and herbs were placed in tombs to ensure the deceased person's safe passage into the afterlife.
2. Ancient Greece and Rome (circa 500 BCE - 500 CE): Flowers, wreaths, and garlands were used to honor the dead and decorate graves.
3. Chinese Culture (Han Dynasty, 206 BCE - 220 CE): Incense, flowers, and food offerings were made to ancestors.

Christian and European Influences:

1. Early Christianity (circa 100 - 500 CE): Flowers were used to symbolize the soul's resurrection and eternal life.
2. Medieval Europe (circa 500 - 1500 CE): Flowers and herbs were placed on graves to ward off evil spirits and symbolize mourning.
3. Victorian Era (1837 - 1901): The tradition of placing flowers on graves became widespread, with specific flowers representing emotions and messages.

Modern Practices:

1. Memorial Day (originally Decoration Day, 1868): Americans began decorating graves with flowers to honor fallen soldiers.
2. Funeral and Cemetery Traditions: Placing flowers on graves remains a common practice worldwide, symbolizing respect, love, and remembrance.

Symbolism and Significance:

Flowers on graves often represent:

1. Love and respect
2. Mourning and grief
3. Hope and renewal
4. Eternal life and resurrection
5. Connection to the deceased

Some popular flowers and their meanings:

1. Roses: love and respect
2. Lilies: purity and innocence
3. Carnations: remembrance and admiration
4. Chrysanthemums: longevity and honor

The culture of placing flowers on graves serves as a universal language, transcending cultural and religious boundaries, to express our shared human emotions.

Would you like more information on:

1. Funeral traditions worldwide?
2. Symbolism of specific flowers?
3. History of cemetery and memorial practices?
 
Tumetoka kumsindikiza jamaa wetu kafiwa na mama ake mzazi huko mkoani lakini mpaka mvua imetukuta uko porini wanasoma orodha ndefu ya watu watakao weka maua kwenye kaburi ya marehemu, tumetoka usiku na njia mbovu.

Hivi huo utamadini wa kuweka mashada kwenye undongo wa kaburi ulitoka wapi? Unasaidia nini? Umeandikwa kwenye Biblia?

Mwenye majibu sahihi tafadhari nijibu, mimi umenikera kweli kweli.
Hizo ni mila za kizungu tu na wala sio dhambi kuzifanya coz ni jambo lenye kuonesha upendo kwa aliefariki na familia kwa ujumla.

SHIDA YETU WAAFRIKA.

1. Hatuzisomi hizi dini ’ sisi wengi wetu tumezirithi tu ivo ni wachache wenye kutaka kuelewa nini wakifuatacho.

2. Kunasibisha dini na tamaduni za jamii fulani.
Mfano umewai ona mtu akimuona muarabu direct humuita muislam na je jiulize ukimuona mmasai hua unaona dini ipi?, uarabu ni jamii ya watu wenye kushare mionekano na tamaduni za kiarabu km lugha nk.. ila sio kua uarabu ni dini( nenda play store download bible ya kiarabu alafu muoneshe mkristo uone maajabu au nunua gazet yale wanafungia maandazi na ukopi yale maneno alaf muoneshe mtu then muulize mimi din gn. Au kuvaa suti kwa wakristo au Mait pia .je yesu alitokea Europe? No la hasha yes alikua Middle East ambapo asili yake ni aramaic ambapo kiaramaic mungu humwita alaaa (allahkwa waarabu) na walivaa nguo km kanzu (robe) ila wewe jaribu kuingia na kanzu kanisani then injoy utayoo yaona, upande wa ndoa ivoivo mwaname lazima awe na nywele za kizungu na sio za kiafrika na kwa waislam sio za tofauti Sanaa maana kabila nyingi humficha mwanmke pindi aolewapo(sio lazima shelagh jeupe nk..

3. Mazoea
Musa ni muislam na daudi ni mkristo, hatujui unaeza itwa mwakanyamale na ukawa mkristo au muislam.

4. Hasira za kutojitambua.
Kuna watu wanahasira na baadhi ya jamii km waarabu na wazungu wakisoma historia bila kujua kua walio wauza ni majief zao wenyewe na ikumbukukwe utumwa sio afrika tu, hii ilikua kote sema Africa record keeping ilikua shida ila jua makabila yali expanding kwa kupiga kabira zingine na kuwateka nk.. ivo ukisikia mtu anakwambia dini zmeletwa kwetu kwakua tulikua watumwa inaweza kua kweli kwa upende wake, ukimuona mtu wa hivi, eb assume njia ambayo aliitaji yeye dini ifike.

5. Ujinga
6. Ujinga
7. Ujinga
8. Ujinga
9. Ujinga
10 ujinga
Na dawa ya ujinga ni.....
 
Katika tamaduni zingine, maana ya waridi nyeupe ni kifo au maombolezo kwa sababu rangi nyeupe mara nyingi huhusishwa na mazishi na makaburi. Lakini katika tamaduni nyingi, pia ni ishara nzuri, mara nyingi huonyesha matumaini na faraja wakati wa kuachwa na mpendwa wao.
 
Kuna mambo mengi ya ajabu kwenye hii dunia. Lakini ndio hivyo imeshatokea.
Mashada yenyewe gharama kweli kweli
 
Mwaka 2022 wakati wa maziko ya marehemu Mama yangu hicho kipengele nilikikwepa kabisa
Maana nilijiuliza tangu amenizaa hadi anafariki sikuwahi kumpa maua hata siku moja.
Hongera kwa kutoiga kila kitu bila kutumia reasoning hata hawa wakristu wenzako wambie, kuweka mashada sio sehemu ya imani ya kikuristo ni uzushi tu.
 
Niliwahi kumtoa mwanamke aliyekaingia kaburini kupokea mwili wa mjomba nikawaambia msilete mila zenu za kipuuzi tangu lini mwanamke akaingia kaburini huu ni ukristo wa wapi?
Mkuu una akili sana, kuna watu kazi zao ni copy and paste bila kuweka reasoning kabisa.
 
Tumetoka kumsindikiza jamaa wetu kafiwa na mama ake mzazi huko mkoani lakini mpaka mvua imetukuta uko porini wanasoma orodha ndefu ya watu watakao weka maua kwenye kaburi ya marehemu, tumetoka usiku na njia mbovu.

Hivi huo utamadini wa kuweka mashada kwenye undongo wa kaburi ulitoka wapi? Unasaidia nini? Umeandikwa kwenye Biblia?

Mwenye majibu sahihi tafadhari nijibu, mimi umenikera kweli kweli.
Kwanza kwa nini ulienda kuzika tena mtu asiye wa familia yako. Labda tuanzie hapo kuhoji dhana nzima ya utamaduni wa mazishi. Na kwanini mchimbe kaburi msimchome moto kufanya mambo kuwa mepesi na kusave ardhi?, na kwanini mtumie jeneza kuharibu miti na mazingira? Kwanini sanda/nguo zitumike kwa marehemu si azikwe uchi tu? Ukipata jibu kwa maswali hayo utajua kwa nini watu wanaweka mashada.
 
Kwanza kwa nini ulienda kuzika tena mtu asiye wa familia yako. Labda tuanzie hapo kuhoji dhana nzima ya utamaduni wa mazishi. Na kwanini mchimbe kaburi msimchome moto kufanya mambo kuwa mepesi na kusave ardhi?, na kwanini mtumie jeneza kuharibu miti na mazingira? Kwanini sanda/nguo zitumike kwa marehemu si azikwe uchi tu? Ukipata jibu kwa maswali hayo utajua kwa nini watu wanaweka mashada.
Mkuu suali langu ni chanzo cha huo utamaduni wa mashada mengine najua chanzo chake ila hilo naona kama uzushi mtupu.
 
Kuna Dini zinaendesha kiubepari sanaa "Capitalism has interpolated christianity" tena sio dini ni biashara nilikua sijawahi kuona kanisa ya RC inafungua maduka pembeni yake inao uza vitu mbalimbali vikiwemu na mashada, lakini RC siku hizi maduka yamekua mengi sio dini ni biashara sasa, hu utamaduni usio kua na ushahidi kwenye bibulia tuachane nao.
Kwan wewe hukuelewa kwann Yesu alifanya fujo hekaluni baada ya kuona watu mpaka makuhani wanafanya biashara mbele ya hekalu? Ndio kama haya
 
Kwan wewe hukuelewa kwann Yesu alifanya fujo hekaluni baada ya kuona watu mpaka makuhani wanafanya biashara mbele ya hekalu? Ndio kama haya
Kwahiyo wanafanya kinyume na mafundisho ya kanisa kwa kweli dini zingine ziko after pesa sio dini kama zamani.
 
Acha kuwauliza wanaoweka maua makaburini tuulize sisi tunaoenda kuyatoa usiku na kuyaludisha Dukani.
 
Utamaduni wa kuweka mashada ya maua makaburini ni mila ya kihistoria inayotokana na jamii za zamani kama Wagiriki na Warumi, ikiwakilisha heshima na upendo kwa marehemu.
 
Back
Top Bottom