Hizi dini ni mila za jamii fulani tu. We tazama vizuri utagundua kila dini ina mila za kule ilikotoka.Tumeenda kumsinfikiza jamaa wetu kalifiwa na mama ake mzazi uko mkoani lakini mpaka mvua imetukuta uko porini wanasoma orodha ndefu ya watu watakao weka maua kwenye kaburi ya marehemu, tumetoka usiku na njia mbovu.
Hivi huo utamadini wa mashahada ulitoka wapi? Unasaidia nini? Umeeandikwa kwwnye bibulia? Mwenye majibu sahihi tafadhari nijibu mimi umeni kera kweli kweli
Kwahiyo sisi tunakosea kutotafuta mashada ya miba, na kuweka ya rose flowers?hilo linasaidia nini?Yesu mwenyewe alivalishwa shada la miba
Kwa hiyo ukachukia maua kuwekwa kwenye kaburi?Kuondoka uliona nini?Na bado.Safari ijayo tutaanza kuyamwagia maji polepole hadi giza liingie.Tumeenda kumsinfikiza jamaa wetu kalifiwa na mama ake mzazi uko mkoani lakini mpaka mvua imetukuta uko porini wanasoma orodha ndefu ya watu watakao weka maua kwenye kaburi ya marehemu, tumetoka usiku na njia mbovu.
Hivi huo utamadini wa mashahada ulitoka wapi? Unasaidia nini? Umeeandikwa kwwnye bibulia? Mwenye majibu sahihi tafadhari nijibu mimi umeni kera kweli kweli
Wewe toa udini hapa siko katika udini wakukashifu watu acha kabisa.Kwani utaratibu wa waislam kukafin ,kukamua maiti ulitoka wapi,hizi ni mila na tamaduni za walioleta hizi dini,wazungu na waarabu,Ni sunna,ukifanya sio dhambi,ukiacha sio dhambi rwlax
Siku ukipata msiba chukua shada la miba wekaKwahiyo sisi tunakosea kutotafuta mashada ya miba, na kuweka ya rose flowers?hilo linasaidia nini?
Hayo ni Mapokeo tuu mkuu!Kuonyesha eti tukimpenda Wakati anaumwa watu waliuchuna.Tumetoka kumsindikiza jamaa wetu kafiwa na mama ake mzazi huko mkoani lakini mpaka mvua imetukuta uko porini wanasoma orodha ndefu ya watu watakao weka maua kwenye kaburi ya marehemu, tumetoka usiku na njia mbovu.
Hivi huo utamadini wa kuweka mashada kwenye undongo wa kaburi ulitoka wapi? Unasaidia nini? Umeandikwa kwenye bibulia? Mwenye majibu sahihi tafadhari nijibu mimi umenikera kweli kweli.
Nataka kujua faida yake na chanzo chake kiimani.Vipi kwa mfano mvua isingenyesha na giza kuingia kuweka maua kungekuwa na shida?
Tumeenda kumsinfikiza jamaa wetu kalifiwa na mama ake mzazi uko mkoani lakini mpaka mvua imetukuta uko porini wanasoma orodha ndefu ya watu watakao weka maua kwenye kaburi ya marehemu, tumetoka usiku na njia mbovu.
Hivi huo utamadini wa mashahada ulitoka wapi? Unasaidia nini? Umeeandikwa kwwnye bibulia? Mwenye majibu sahihi tafadhari nijibu mimi umeni kera kweli kweli
Huo ni unafiki na upumbavu mtu anaumwa mpaka mnashindwa kumchangia akifa ndo mnakuja na mashada yenu duh.Hayo ni Mapokeo tuu mkuu!Kuonyesha eti tukimpenda Wakati anaumwa watu waliuchuna.
Mkuu nilikubali kila kitu, badaye leo asubuhi ndo nauliza the logic yake, kwanza yale maua yameharibika siku hiyo hiyo mvua, kwanini tunafuata dini kiujinga bila kutumia logic.Mkuu ungependa kujibiwa usingeweka mfano wa huko ulikokwenda na madhila ya mvua, njia na hata adha iliyowakuta.
Si ungeuliza plainly tu bila maelezo ya tukio lenye vionjo kuwa ulikwazika?
Maana wengine tutajiuliza:
"Kwani uliitwa, ulilazimishwa kuendelea kuwepo, ulizuiwa kuondoka, nk, nk?"
Uchungu wa wafiwa na watakayo kumfanyia mpendwa wao yanahusika na nini na asiye husika?
Aghakabu kulikoni wewe na mambo ya Ngoswe?
Kwa kifupi hayana maana yoyote ni kujikosha tuu kwamba walikuwa wanampenda sana ndugu Yao!Huo ni unafiki na upumbavu mtu anaumwa mpaka mnashindwa kumchangia akifa ndo mnakuja na mashada yenu duh.