Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
🍹🥂💃mimi nilikua namsapot Lema ila toka kata yetu ya Sombetin tumepata lami chin ya gambo.huku hatumkubali.tbarudisha kadi
😆😆😆😆😆😆😆😆Ile video mnaanza kuonesha lini? Itajaza sana watu kwenye Kampeni.
We unaamini hivyo?Ile walishasema ili editiwa😆😆😆😆
Sikuwahi pata koneksheni, nilisikia na baada nikasikia jeshi la police wakisema imeeditiwa. Nikiipata nitajuaWe unaamini hivyo?
Kwa ksababu sio sauti zao au kwa ksababu ya nn?Lema katika kampeni zake amerekodi sauti ya Rais Magufuli wakati anamtumbua Mrisho Gambo na anawasikilizisha wananchi huku akiwashawishi kuwa Gambo hafai kuwa Mbunge.
Halima Mdee naye kwenye gari lake la matangazo ya kampeni anarusha sauti ya askofu Gwajima akiponda vyeo vya uwaziri na ubunge na kutishia kuhujumu madrasa.
Binafsi nauchukulia utaratibu huu kama siyo wa halali na ninaiomba NEC na msajili wa vyama kufuatilia na kuchukua hatua.
Maendeleo hayana vyama!
Fedhuli sio huyu?Ningekuona kuwa una 'Akili' zilizokutosha kama ungeanza 'Kuwakosoa' hao akina Rais JPM na Askofu Gwajima waache kuwa na 'Kauli' za Kifedhuli.
Punguza spana mkuu.. utatengwa. [emoji3][emoji3][emoji3]Ningekuona kuwa una 'Akili' zilizokutosha kama ungeanza 'Kuwakosoa' hao akina Rais JPM na Askofu Gwajima waache kuwa na 'Kauli' za Kifedhuli.
Astaghaflah.. msifanye hivyo. Spana hizo zinatosha tu.Na Badoo Wiki ya Mwisho wa Kampeni tunapita na Gari la sinema tukionysha Video ya Gwajima akila Mwanakondoo(Mkono wa Baunsa)
Dada Joanita una vituko! Usitupangie namna ya kuendesha kampeni zetu! Miaka ile mnawaonesha wananchi picha za vita ya Burundi mlikuwa mnafanya vizuri? Wacha misumari waingie sawasawa inchi 6 hiyo! Na huku kwa Lissu tumetoka kuwasikilizisha zile kauli za majivuno za jiwe, wana Bukoba wametuelewa vizuri sana!Lema katika kampeni zake amerekodi sauti ya Rais Magufuli wakati anamtumbua Mrisho Gambo na anawasikilizisha wananchi huku akiwashawishi kuwa Gambo hafai kuwa Mbunge.
Halima Mdee naye kwenye gari lake la matangazo ya kampeni anarusha sauti ya askofu Gwajima akiponda vyeo vya uwaziri na ubunge na kutishia kuhujumu madrasa.
Binafsi nauchukulia utaratibu huu kama siyo wa halali na ninaiomba NEC na msajili wa vyama kufuatilia na kuchukua hatua.
Maendeleo hayana vyama!
Mzee ana kiburi sana huyu! Mwezi wa 10 tunamweka kwenye "akanyampasila" atajijua na utaahira wake!View attachment 1578299
na hii nayo je ?
Lema katika kampeni zake amerekodi sauti ya Rais Magufuli wakati anamtumbua Mrisho Gambo na anawasikilizisha wananchi huku akiwashawishi kuwa Gambo hafai kuwa Mbunge.
Halima Mdee naye kwenye gari lake la matangazo ya kampeni anarusha sauti ya askofu Gwajima akiponda vyeo vya uwaziri na ubunge na kutishia kuhujumu madrasa.
Binafsi nauchukulia utaratibu huu kama siyo wa halali na ninaiomba NEC na msajili wa vyama kufuatilia na kuchukua hatua.
Maendeleo hayana vyama!
Joto likipanda hata uliowafikiria wanatoa substance unawashangaa. Johnbaptist amesha tumbukia shimoni anamfuata kaka yake Paskalli. Ulichosema kwa sauti yako mwenyewe ni ushahidi mzuri zaidi ya kuambiwa fulani alisema hivi kwani wakereketwa watakuambia mmetunga.Imebidi nirudi juu kuangalia aliyeleta huu uzi.
Afadhali ungeufuta maana unakufedhehesha. Huu uzi ni crap.
AiseeeNa Badoo Wiki ya Mwisho wa Kampeni tunapita na Gari la sinema tukionysha Video ya Gwajima akila Mwanakondoo(Mkono wa Baunsa)