Uchaguzi 2020 Huu utaratibu wa Halima Mdee na Lema kutumia sauti zilizorekodiwa za Rais Magufuli na Askofu Gwajima haukubaliki

Uchaguzi 2020 Huu utaratibu wa Halima Mdee na Lema kutumia sauti zilizorekodiwa za Rais Magufuli na Askofu Gwajima haukubaliki

Hata wao wakatafte hzo sauti,nadhan wako sahihi kwa sababu utawasaidia kujifunza kutumia ndimi zao na kujua kuwa unachokifanya leo kinaweza kuathiri maisha ya kesho
 
Lema katika kampeni zake amerekodi sauti ya Rais Magufuli wakati anamtumbua Mrisho Gambo na anawasikilizisha wananchi huku akiwashawishi kuwa Gambo hafai kuwa Mbunge.

Halima Mdee naye kwenye gari lake la matangazo ya kampeni anarusha sauti ya askofu Gwajima akiponda vyeo vya uwaziri na ubunge na kutishia kuhujumu madrasa.

Binafsi nauchukulia utaratibu huu kama siyo wa halali na ninaiomba NEC na msajili wa vyama kufuatilia na kuchukua hatua.

Maendeleo hayana vyama!
Kwa ksababu sio sauti zao au kwa ksababu ya nn?
 
Ningekuona kuwa una 'Akili' zilizokutosha kama ungeanza 'Kuwakosoa' hao akina Rais JPM na Askofu Gwajima waache kuwa na 'Kauli' za Kifedhuli.
Fedhuli sio huyu?
IMG_20200923_134449.jpg
 
Mkuu sasa wasipozitumia Sasa hivi watazitumia lini? Waache huu ndio wakati wao, wakikosa wanachokitafuta watakaa kimya tu. Wewe ndo utaonekana wa ajabu kubishana na nyumbu waliokimbilia hapa baada ya kunusurika na mafuriko ya mto mara.
 
Wewe Mbuzi tuu...vita ni vita jua hilo....jee ukamshauli kivip porn star kutumia jina ya legend wangu bibi kidude kwa mambo yake yakipuuzi??
 
Lema katika kampeni zake amerekodi sauti ya Rais Magufuli wakati anamtumbua Mrisho Gambo na anawasikilizisha wananchi huku akiwashawishi kuwa Gambo hafai kuwa Mbunge.

Halima Mdee naye kwenye gari lake la matangazo ya kampeni anarusha sauti ya askofu Gwajima akiponda vyeo vya uwaziri na ubunge na kutishia kuhujumu madrasa.

Binafsi nauchukulia utaratibu huu kama siyo wa halali na ninaiomba NEC na msajili wa vyama kufuatilia na kuchukua hatua.

Maendeleo hayana vyama!
Dada Joanita una vituko! Usitupangie namna ya kuendesha kampeni zetu! Miaka ile mnawaonesha wananchi picha za vita ya Burundi mlikuwa mnafanya vizuri? Wacha misumari waingie sawasawa inchi 6 hiyo! Na huku kwa Lissu tumetoka kuwasikilizisha zile kauli za majivuno za jiwe, wana Bukoba wametuelewa vizuri sana!
 
Lema katika kampeni zake amerekodi sauti ya Rais Magufuli wakati anamtumbua Mrisho Gambo na anawasikilizisha wananchi huku akiwashawishi kuwa Gambo hafai kuwa Mbunge.

Halima Mdee naye kwenye gari lake la matangazo ya kampeni anarusha sauti ya askofu Gwajima akiponda vyeo vya uwaziri na ubunge na kutishia kuhujumu madrasa.

Binafsi nauchukulia utaratibu huu kama siyo wa halali na ninaiomba NEC na msajili wa vyama kufuatilia na kuchukua hatua.

Maendeleo hayana vyama!

Hizo ni siasa za kiwango cha Kimataifa ambazo CCM huwa wanafundishwa na CDM

Hata style ya Lissu Jiwe na timu yake wamechanganyikiwa. Mwaka 2015 Jiwe alijifanya yeye hataki mambo ya helkopter atatumia barabara. Akijua mpinzani wake Lowassa alikuwa na changamoto ya afya asingeweza. Safari hii kakutana na mbabe wake. CDM wamebadili gia toka angani hadi ardhini. Lissu sasa anasimamisha nchi kila mahali anakopita, si mjini si vijijini. Jiwe kabaki kupiga show na wasanii tu, mwenzake anamwaga sera zenye kutekenya hisia za watu na kuwabadili mawazo kuachana na kulazimisha kumoenda Jiwe miaka 5 iliyopita.

Kura tarehe 28. Matokeo watayakalia kutafuta jinsi ya kuyabadilisha ili watangaze Jiwe kashinda. Baadae watasita kupima upepo. Watashindwa kujua upepo utavuma toka wapi kwenda wapi. Watacheki na vikosi vya polisi. Kisha vya jeshi. Baadae watawauliza tena TISS kama itakuwa shwari kulazimisha tena. TISS watagawanyika. Wengine watasema watangaze Jiwe kashinda. Wengine watasema watangaze tu ukweli wa matokeo ulivyo - ni Lissu. MaCCM yatapanic. Yatalazimisha watangaze liwalo na liwe. Wazee wataonya kwa mara ya mwisho nchi itaingia kwenye vurugu...sikio la kufa...

Twende kazi.. Tanzania will never be the same again.
 
Imebidi nirudi juu kuangalia aliyeleta huu uzi.

Afadhali ungeufuta maana unakufedhehesha. Huu uzi ni crap.
Joto likipanda hata uliowafikiria wanatoa substance unawashangaa. Johnbaptist amesha tumbukia shimoni anamfuata kaka yake Paskalli. Ulichosema kwa sauti yako mwenyewe ni ushahidi mzuri zaidi ya kuambiwa fulani alisema hivi kwani wakereketwa watakuambia mmetunga.
 
Back
Top Bottom