TUMIA AKILI WAHUSIKA NI WAHUNI WA CCM NDIYO MAANA KIPINDI CHA MZALENDO MAGUFULI UHUNI WA NAMNA HII ULIKOMA KUANZIA ALDINO KUULIWA ...UJAMBAZI ...PANYA ROAD NK ...TATIZO NI RAIS ALIYOPOKule Bagamoyo shule ya Majengo na Jitegemee, watoto jumla watano wametekwa.
Kule makurunge watoto sita wametekwa, waandishi wa habari mko wapi, Wana usalama mko wapi jamani.
Wizara husika mko wapi? Shime shime Watanzania, leo kuna shule huko Bagamoyo watoto wamegoma kwenda shule na msimamo wa baadhi ya wazazi hawamtaki watoto wao waende shule hadi wahakikishiwe usalama wao watoto wawapo shuleni.
Tunakwenda wapi?
Huyo Mola mlezi hawezi kuwalinda watoto bila kuombwa ??As salaam alaikhum ndugu zangu Leo jumma Mubarak tukienda masjid baadae tuombe kwa mola mlezi kuwanusuru watoto wetu. Amiin.
Huyo Mola mlezi hawezi kuwalinda watoto bila kuombwa ??
Kila mwenye tarifa za utekwaji watu tuzitupie hapaJana nilikuwa Tanga, nikakuta taarifa ya misiba miwili ya watoto waliotekwa, kuuwawa, kunyofolewa viungo na kisha maiti kurudishwa karibu na mtaani kwao.
Inauma sana , binafsi nimeanza kuwa mlinzi binafsi ,jana nilikuta gari inambeba mtoto ,yule bwana nimemuuliza maswali magum ,kumbe alikua baba wa mtoto baada ya kupata ushahidi wa majirani eneo husika nami nikaondoka zangu ,ila yule bwana alinishukuru sanaKule Bagamoyo shule ya Majengo na Jitegemee, watoto jumla watano wametekwa.
Kule makurunge watoto sita wametekwa, waandishi wa habari mko wapi, Wana usalama mko wapi jamani.
Wizara husika mko wapi? Shime shime Watanzania, leo kuna shule huko Bagamoyo watoto wamegoma kwenda shule na msimamo wa baadhi ya wazazi hawamtaki watoto wao waende shule hadi wahakikishiwe usalama wao watoto wawapo shuleni.
Tunakwenda wapi?
Safi sana mkuuInauma sana , binafsi nimeanza kuwa mlinzi binafsi ,jana nilikuta gari inambeba mtoto ,yule bwana nimemuuliza maswali magum ,kumbe alikua baba wa mtoto baada ya kupata ushahidi wa majirani eneo husika nami nikaondoka zangu ,ila yule bwana alinishukuru sana
Wanaleta taarifa za maneno matupu ila kungekuwa hata na picha au interview na wahanga kidogo ingeweka uzito na serikali ingeona aibuUshahidi ukowapi wa hao Wananchi walionyofolewa Viungo?!
Wanasiasa ni wahusika namba 1Kule Bagamoyo shule ya Majengo na Jitegemee, watoto jumla watano wametekwa.
Kule makurunge watoto sita wametekwa, waandishi wa habari mko wapi, Wana usalama mko wapi jamani.
Wizara husika mko wapi? Shime shime Watanzania, leo kuna shule huko Bagamoyo watoto wamegoma kwenda shule na msimamo wa baadhi ya wazazi hawamtaki watoto wao waende shule hadi wahakikishiwe usalama wao watoto wawapo shuleni.
Tunakwenda wapi?
Wana ccm ndio watekaji katika nchi hiiKule Bagamoyo shule ya Majengo na Jitegemee, watoto jumla watano wametekwa.
Kule makurunge watoto sita wametekwa, waandishi wa habari mko wapi, Wana usalama mko wapi jamani.
Wizara husika mko wapi? Shime shime Watanzania, leo kuna shule huko Bagamoyo watoto wamegoma kwenda shule na msimamo wa baadhi ya wazazi hawamtaki watoto wao waende shule hadi wahakikishiwe usalama wao watoto wawapo shuleni.
Tunakwenda wapi?
Hi Nchi tuna Waandishi wa hovyo sana.Wanaleta taarifa za maneno matupu ila kungekuwa hata na picha au interview na wahanga kidogo ingeweka uzito na serikali ingeona aibu
Uko vizuri kwenye kutunga vistori.nipo kanda ya ziwa maeneo ya tarime kuna binti wa miaka 10 kapotea mwez huu unaenda wa pili,mwanza kituo cha polisi kuna mama mmoja kapotelewa na mtoto wa shemeji yake amekuja kutoa taarifa,pia tarime mtoto mmoja wa miaka 5 alipotea asubuh jion kaja kupatikana mazingira tata,mwingine ni binti wa miaka 9 inasemekana alitekwa had akaenda kenya akiwa amefungwa kitambaa usoni akaskia waliomteka wanabishana kuhusu bei ya kumleta pale kwa mnunuzi badae yule mnunuzi akadai alitaka mtoto wa kiume hivyo yeye wamtoe akapelekwa porini kisha akafunguliwa kitambaa usoni na kutelekezwa hapo,stori ni ndefu ila alirudi tarime yuo hoi.kimsingi mtoa mada ana hoja na hali hii huwa inaongezeka ikikaribia UCHAGUZI. rip asimwe