Huu utekaji nyara wa watoto wetu mashuleni na mitaani kisha kunyofolewa viungo vyao, nani mhusika?

Huu utekaji nyara wa watoto wetu mashuleni na mitaani kisha kunyofolewa viungo vyao, nani mhusika?

Kule Bagamoyo shule ya Majengo na Jitegemee, watoto jumla watano wametekwa.

Kule makurunge watoto sita wametekwa, waandishi wa habari mko wapi, Wana usalama mko wapi jamani.

Wizara husika mko wapi? Shime shime Watanzania, leo kuna shule huko Bagamoyo watoto wamegoma kwenda shule na msimamo wa baadhi ya wazazi hawamtaki watoto wao waende shule hadi wahakikishiwe usalama wao watoto wawapo shuleni.

Tunakwenda wapi?
TUMIA AKILI WAHUSIKA NI WAHUNI WA CCM NDIYO MAANA KIPINDI CHA MZALENDO MAGUFULI UHUNI WA NAMNA HII ULIKOMA KUANZIA ALDINO KUULIWA ...UJAMBAZI ...PANYA ROAD NK ...TATIZO NI RAIS ALIYOPO
 
Kwa TANZANIA sasa imekuwa ni kawaida kila kunaposoge nyakati za uchaguzi, kunakuwa na tarifa nyingi za watu kupotea, kutekwa, kunyofolewa viungo na hasa walemavu wa ngozi hupotezwa saana

Nakumbuka, ilikuwa ni afadhari kidogo kwa utawala wa Magufuli tu basi
 
Kule Bagamoyo shule ya Majengo na Jitegemee, watoto jumla watano wametekwa.

Kule makurunge watoto sita wametekwa, waandishi wa habari mko wapi, Wana usalama mko wapi jamani.

Wizara husika mko wapi? Shime shime Watanzania, leo kuna shule huko Bagamoyo watoto wamegoma kwenda shule na msimamo wa baadhi ya wazazi hawamtaki watoto wao waende shule hadi wahakikishiwe usalama wao watoto wawapo shuleni.

Tunakwenda wapi?
Inauma sana , binafsi nimeanza kuwa mlinzi binafsi ,jana nilikuta gari inambeba mtoto ,yule bwana nimemuuliza maswali magum ,kumbe alikua baba wa mtoto baada ya kupata ushahidi wa majirani eneo husika nami nikaondoka zangu ,ila yule bwana alinishukuru sana
 
Kule Bagamoyo shule ya Majengo na Jitegemee, watoto jumla watano wametekwa.

Kule makurunge watoto sita wametekwa, waandishi wa habari mko wapi, Wana usalama mko wapi jamani.

Wizara husika mko wapi? Shime shime Watanzania, leo kuna shule huko Bagamoyo watoto wamegoma kwenda shule na msimamo wa baadhi ya wazazi hawamtaki watoto wao waende shule hadi wahakikishiwe usalama wao watoto wawapo shuleni.

Tunakwenda wapi?
Wanasiasa ni wahusika namba 1
 
Kule Bagamoyo shule ya Majengo na Jitegemee, watoto jumla watano wametekwa.

Kule makurunge watoto sita wametekwa, waandishi wa habari mko wapi, Wana usalama mko wapi jamani.

Wizara husika mko wapi? Shime shime Watanzania, leo kuna shule huko Bagamoyo watoto wamegoma kwenda shule na msimamo wa baadhi ya wazazi hawamtaki watoto wao waende shule hadi wahakikishiwe usalama wao watoto wawapo shuleni.

Tunakwenda wapi?
Wana ccm ndio watekaji katika nchi hii
 
nipo kanda ya ziwa maeneo ya tarime kuna binti wa miaka 10 kapotea mwez huu unaenda wa pili,mwanza kituo cha polisi kuna mama mmoja kapotelewa na mtoto wa shemeji yake amekuja kutoa taarifa,pia tarime mtoto mmoja wa miaka 5 alipotea asubuh jion kaja kupatikana mazingira tata,mwingine ni binti wa miaka 9 inasemekana alitekwa had akaenda kenya akiwa amefungwa kitambaa usoni akaskia waliomteka wanabishana kuhusu bei ya kumleta pale kwa mnunuzi badae yule mnunuzi akadai alitaka mtoto wa kiume hivyo yeye wamtoe akapelekwa porini kisha akafunguliwa kitambaa usoni na kutelekezwa hapo,stori ni ndefu ila alirudi tarime yuo hoi.kimsingi mtoa mada ana hoja na hali hii huwa inaongezeka ikikaribia UCHAGUZI. rip asimwe
Uko vizuri kwenye kutunga vistori.
 
J4 na mimacho yake KODO anakwambia Dar ipo salama ,Masaani naye anakwambia waliotekwa wachache tu hawazidi wa5,kizimkazi anakwambia ni DRAMA.
 
Mnatekana nyie na watoto wenu hamna jipya ni drama tu mnaleta

Unateka mtoto wenyewe kazaliwa njee ya ndoa hana ata nyota ya bahati nani anateka mtoto asie kua na nyota ya bahati

Wengne watoto wamekimbia mateso ya wazazi mnasingizia wametekwa wakat watoto wamekimbia mateso wanayopitia ktk familia
 
Back
Top Bottom