ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
1. Nunua maeneo/plots kwenye maeneo yanayokuwa, then uza baada ya kupanda thamani. Actually mwajiriwa anaweza kuwekeza kwenye real estate na kuona thamani ya uwekezaji wake.
2. Jenga nyumba za biashara, lodges, frames za biashara, halls na hata bars then kodishia watu wakupe pesa(considering huna mda wa kusimamia)
3. Fixed account, government bond na hizo UTT.
...usifungue duka la kuchuuza, utalizwa
2. Jenga nyumba za biashara, lodges, frames za biashara, halls na hata bars then kodishia watu wakupe pesa(considering huna mda wa kusimamia)
3. Fixed account, government bond na hizo UTT.
...usifungue duka la kuchuuza, utalizwa