Huu wimbo wa Nikki na Joh Makini ni Dongo kwa Le Mutuz?

Huu wimbo wa Nikki na Joh Makini ni Dongo kwa Le Mutuz?

Status
Not open for further replies.
baba salehe na degree zake 3 bdo naishi maisha y kuvizia msosi.....baba swalehe bilionea ambae kapanga nyumba ya NHC na hana mkopo bank sijui ni bilionea wa namna huyu au bilionea wa maselfie nini
 
Yaani basi hawajui le mutuz anafaa sana kutokea kwenye video.....
 
JF bwana, kwa hiyo Le Mutuz ndio Baba Swaleh? Nimecheka sana aiseeh...

Ova
 
Baba swalehe.... kwikwikwikwikwikwi

atakua anko wake yahhaya

Gademu!!
 
- Now I understand kwa nini Soud Brown amenipigia Simu kumbe kuna this hahaha muanzisha thread thank U kwa kuniongezea umaarufu, HIYO picha ya Studio niliipiga Mwaka Jana nikiwa Studio natengeza vupindi vya my new TV Talk Show kwa HIYO ni Uongo wa KITOTO, Na Mwaka Mpya 2016 niliamua kuanza Mazoezi ili kuachana na Unene that is all kwamba kuna muziki wa Nikiwapili SIIJUI na wala huwa sisikilizi,

- Kwa kifupi ni kwamba nipo Dodoma ambako nimekuja Leo na Ndege ya Asubuhi kwa ajili ya Vikao vya Chama Cha Mapinduzi Taifa kwa Siku Mbili, na nikirudi nitakuwa kwenye matayarisho ya Safari yangu ya Dubai ambako Shirika la Ndege la Emirates limenichagua na kunialika for Study Tour all paid for One week ili kuingia nao mkataba wa kuwatangaza at outlets zangu za Social Media so I am very busy.

- kwa ukisoma vizuri hii habari ninahisi kuna mchezo wa kuipromote hiyo song ambayo kama kweli ipo nitashukuru sana cause itaniongezea followers, ambao ni mtaji wangu kwenye Biashara zangu za Social Media. Ni kweli I make Big money from my Instagram, na ni kweli ninakubalika sana na Mabebezz wengi hapa Mjini na ndio base yangu na ni kweli I make Millions of Tshillings from it yaani Instagram na Blog.

- Again mleta mada anaonekana ni part of promoting hiyo single maana siamini kuna binadam anaweza kuchukua picha na kutengeneza hadithi ya Uongo kama hii mpaka Radio zikaingilia kati na kuanza kunipigia simu ndicho alichotaka kuuza tu the song kwa kutumia jina langu ila Mimi sio mjinga I will make more money out of this mess it is my professional to see Opportunity at any situation.

Le Mutuz live from Dodoma Downtown

Baharia acha uwongo n kupenda sifa za kijinga....kwahiyo ukiwa n followers insta ndio unamake money....huo umbulula n upopoma wako kawaambie watoto wko
 
- Now I understand kwa nini Soud Brown amenipigia Simu kumbe kuna this hahaha muanzisha thread thank U kwa kuniongezea umaarufu, HIYO picha ya Studio niliipiga Mwaka Jana nikiwa Studio natengeza vupindi vya my new TV Talk Show kwa HIYO ni Uongo wa KITOTO, Na Mwaka Mpya 2016 niliamua kuanza Mazoezi ili kuachana na Unene that is all kwamba kuna muziki wa Nikiwapili SIIJUI na wala huwa sisikilizi,

- Kwa kifupi ni kwamba nipo Dodoma ambako nimekuja Leo na Ndege ya Asubuhi kwa ajili ya Vikao vya Chama Cha Mapinduzi Taifa kwa Siku Mbili, na nikirudi nitakuwa kwenye matayarisho ya Safari yangu ya Dubai ambako Shirika la Ndege la Emirates limenichagua na kunialika for Study Tour all paid for One week ili kuingia nao mkataba wa kuwatangaza at outlets zangu za Social Media so I am very busy.

- kwa ukisoma vizuri hii habari ninahisi kuna mchezo wa kuipromote hiyo song ambayo kama kweli ipo nitashukuru sana cause itaniongezea followers, ambao ni mtaji wangu kwenye Biashara zangu za Social Media. Ni kweli I make Big money from my Instagram, na ni kweli ninakubalika sana na Mabebezz wengi hapa Mjini na ndio base yangu na ni kweli I make Millions of Tshillings from it yaani Instagram na Blog.

- Again mleta mada anaonekana ni part of promoting hiyo single maana siamini kuna binadam anaweza kuchukua picha na kutengeneza hadithi ya Uongo kama hii mpaka Radio zikaingilia kati na kuanza kunipigia simu ndicho alichotaka kuuza tu the song kwa kutumia jina langu ila Mimi sio mjinga I will make more money out of this mess it is my professional to see Opportunity at any situation.

Le Mutuz live from Dodoma Downtown
Teh Teh
 
Baharia acha uwongo n kupenda sifa za kijinga....kwahiyo ukiwa n followers insta ndio unamake money....huo umbulula n upopoma wako kawaambie watoto wko
Hahahaha legadem debe tupu hujui lolote uknw....
Uknw hii business ya social media ni ya le akili kubwaz uknw...

Back to topic uknw kuanzia leo atakaye niita le Baba swalehe nitamfunga mara moja uknw am serious...

Lemutuz...
 
Hahahaha legadem debe tupu hujui lolote uknw....
Uknw hii business ya social media ni ya le akili kubwaz uknw...

Back to topic uknw kuanzia leo atakaye niita le Baba swalehe nitamfunga mara moja uknw am serious...

Lemutuz...

hahaaa le super bilionea wa mabox a.k.a baba swalehe hana jipya tulishamzoea hujasikia kapata ticket y bure kwenda dubai.....ndio bilionea no 1 tz kwa kupenda vya bure
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom