Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Le gadem si ana degree zake tatu au tatizo tumbo ??Acheni kumjazia nzi nikki... Huwezi kamwe kumshindanisha msomi na msanii wa kweli na hiyo sakala mitumbotumbo Mkuu
Acheni kutia najisi heshima za watu
teh, wabongo bhana.. Ila kama ka picha kanalandana na le mbululaz.Dah ila hilo jina linamfiti sana Le Mutuz (Baba Swalehe)
Degree za kukata gogo??Le gadem si ana degree zake tatu au tatizo tumbo ??
Tehteh mkuu umetishaAhaa milionea mwenye Noah !!!huyu jamaa lazima sio mzima
atakusumbua sana achana na hilo wazo
- Now I understand kwa nini Soud Brown amenipigia Simu kumbe kuna this hahaha muanzisha thread thank U kwa kuniongezea umaarufu, HIYO picha ya Studio niliipiga Mwaka Jana nikiwa Studio natengeza vupindi vya my new TV Talk Show kwa HIYO ni Uongo wa KITOTO, Na Mwaka Mpya 2016 niliamua kuanza Mazoezi ili kuachana na Unene that is all kwamba kuna muziki wa Nikiwapili SIIJUI na wala huwa sisikilizi,
- Kwa kifupi ni kwamba nipo Dodoma ambako nimekuja Leo na Ndege ya Asubuhi kwa ajili ya Vikao vya Chama Cha Mapinduzi Taifa kwa Siku Mbili, na nikirudi nitakuwa kwenye matayarisho ya Safari yangu ya Dubai ambako Shirika la Ndege la Emirates limenichagua na kunialika for Study Tour all paid for One week ili kuingia nao mkataba wa kuwatangaza at outlets zangu za Social Media so I am very busy.
- kwa ukisoma vizuri hii habari ninahisi kuna mchezo wa kuipromote hiyo song ambayo kama kweli ipo nitashukuru sana cause itaniongezea followers, ambao ni mtaji wangu kwenye Biashara zangu za Social Media. Ni kweli I make Big money from my Instagram, na ni kweli ninakubalika sana na Mabebezz wengi hapa Mjini na ndio base yangu na ni kweli I make Millions of Tshillings from it yaani Instagram na Blog.
- Again mleta mada anaonekana ni part of promoting hiyo single maana siamini kuna binadam anaweza kuchukua picha na kutengeneza hadithi ya Uongo kama hii mpaka Radio zikaingilia kati na kuanza kunipigia simu ndicho alichotaka kuuza tu the song kwa kutumia jina langu ila Mimi sio mjinga I will make more money out of this mess it is my professional to see Opportunity at any situation.
Le Mutuz live from Dodoma Downtown
Mamii ndio ukweli huo, si unaona matendo yake, hujui kama ni mtu mzima au mtotoHahgahaha umeniua
Teh Teh- Now I understand kwa nini Soud Brown amenipigia Simu kumbe kuna this hahaha muanzisha thread thank U kwa kuniongezea umaarufu, HIYO picha ya Studio niliipiga Mwaka Jana nikiwa Studio natengeza vupindi vya my new TV Talk Show kwa HIYO ni Uongo wa KITOTO, Na Mwaka Mpya 2016 niliamua kuanza Mazoezi ili kuachana na Unene that is all kwamba kuna muziki wa Nikiwapili SIIJUI na wala huwa sisikilizi,
- Kwa kifupi ni kwamba nipo Dodoma ambako nimekuja Leo na Ndege ya Asubuhi kwa ajili ya Vikao vya Chama Cha Mapinduzi Taifa kwa Siku Mbili, na nikirudi nitakuwa kwenye matayarisho ya Safari yangu ya Dubai ambako Shirika la Ndege la Emirates limenichagua na kunialika for Study Tour all paid for One week ili kuingia nao mkataba wa kuwatangaza at outlets zangu za Social Media so I am very busy.
- kwa ukisoma vizuri hii habari ninahisi kuna mchezo wa kuipromote hiyo song ambayo kama kweli ipo nitashukuru sana cause itaniongezea followers, ambao ni mtaji wangu kwenye Biashara zangu za Social Media. Ni kweli I make Big money from my Instagram, na ni kweli ninakubalika sana na Mabebezz wengi hapa Mjini na ndio base yangu na ni kweli I make Millions of Tshillings from it yaani Instagram na Blog.
- Again mleta mada anaonekana ni part of promoting hiyo single maana siamini kuna binadam anaweza kuchukua picha na kutengeneza hadithi ya Uongo kama hii mpaka Radio zikaingilia kati na kuanza kunipigia simu ndicho alichotaka kuuza tu the song kwa kutumia jina langu ila Mimi sio mjinga I will make more money out of this mess it is my professional to see Opportunity at any situation.
Le Mutuz live from Dodoma Downtown
Hahahaha legadem debe tupu hujui lolote uknw....Baharia acha uwongo n kupenda sifa za kijinga....kwahiyo ukiwa n followers insta ndio unamake money....huo umbulula n upopoma wako kawaambie watoto wko
Hahahaha legadem debe tupu hujui lolote uknw....
Uknw hii business ya social media ni ya le akili kubwaz uknw...
Back to topic uknw kuanzia leo atakaye niita le Baba swalehe nitamfunga mara moja uknw am serious...
Lemutuz...
Ni maamuzi tuAhaa milionea mwenye Noah !!!huyu jamaa lazima sio mzima