Huu wimbo wa Nikki na Joh Makini ni Dongo kwa Le Mutuz?

Huu wimbo wa Nikki na Joh Makini ni Dongo kwa Le Mutuz?

Status
Not open for further replies.
- Well, siku nitakapokuwa na sifa za kijinga nitakuwa nimekufwa, as long as I live sijawahi kuwa na unafiki wala uongo sio part of my life, I make Millions from my Instagram, Facebook, Twitter and my Blog kwa pamoja hizi tools zinaunda my Company Blogu ya Wananchi Media Compan y LTD. Nikudanganye wewe mtu sikujui ili unisaidie nini? hahahahaha pole sana mburulazzz ni kujifanya kujua as you na huku hujui lolote, by the way ratiba yangu ni kwenda Dubai Study Tour ya Emirates na kurudi kufanya bonge la Sherehe maalum ya kampuni yangu kufikisha miaka 3.
- Otherwise Jumamosi nilikuwa na Nickwa pili at party ya Clouds Escape One picha hii hapa chini, unajua wanaume wazima mnapokuwa na tabia kama hizi za uzushi uzushi na umbeya umbeya inaleta maswali mengi sana like what went wrong na this nation Watoto wa kiume wanakuwa hivi? hahahahahahaha U know!!

Le billionea wa kuchora huna kitu hilo liko wazi .......kampuni hata matapeli wanazo
 
- Matapeli like U Kampuni YAKO ipo wapi hapa Mjini? HAHAHAHAHAH kazi KUANDIKA ujinga ujinga na majina ya BANDIA halafu unajitaje Mamen? Please HAHAHAHA

Le Mutuz
 
Baada ya Nikki wa Pili kurusha jiwe gizani hatimaye kuna mtu kasema 'hayaaaaaaaa', hii inatokana na ngoma inayoitwa baba Swalehe yenye maneno ambayo siyo mazuri kwa Tycoon la all bongo social media.

Nanukuu "Kila siku uko insta, vitu unavyopost siyo smart, eti una Lembebezz kama Mswati" mwisho wa kunukuu.

Katika kuonekana kama kweli yuko siriazi na swala hili, Tycoon huyo ametumia muda mwingi studio na gym ili kujiandaa na vita hiyo lyrically and physically, ambapo mashabiki wa kundi la weusi wamemuomba Nikki atafute backup kutoka kwa Weusi ili kwenda sawa na mutu huyo mwenye miraba sita.

12353821_909568962424863_2068470092_a.jpg

1172976_1109280015751514_145312389_n.jpg


Pia wadau mbalimbali wa burudani nchini wameiita vita hivyo kama vita vya kisomi (intellectual rivalry) tukizingatia ukweli kwamba hapo ni degree 5 zinapigana , na mpaka 2017 zinaweza kuwa degree 10 (maana kuna habari tycoon amechukua fomu anataka apige degree 4 kwa mkupuo).

Tulipomvutia waya tycoon huyo alisema "Nmekamilisha verse 2 za diss track yangu ambapo nitaipeleka COSOTA kabla ya kuisambaza redioni ili niweze kupata mirabaha yangu, Sisi unajua mimi ni Le Gademzzz akili kubwa" ambapo aliomba tumpe muda kidogo apashe Le Ubongozz kidogo gym thn akakata simu.

Mpaka tunaingia mitamboni saa nane usiku paparazi wetu aliokuwa anaifuatilia super Noah alidai jamaa alkuwa bado yuko gym.


Hivi haka si ndo kale kakubwa jinga ka Marekani kalikotosa mke na watoto wake na kuja hapa Bongo kupiga picha na mademu anaowauza mtandaoni?
 
- Matapeli like U Kampuni YAKO ipo wapi hapa Mjini? HAHAHAHAHAH kazi KUANDIKA ujinga ujinga na majina ya BANDIA halafu unajitaje Mamen? Please HAHAHAHA

Le Mutuz

Aaaaah baba swalehe wewe labda bilionea wa kwacha za malawi.......mwenye pesa anajulikana sio wewe unakaa NHC kma njiwa jenga yko ndio ujisifu sio kuja hpa n blahblah z kijinga....huo ujinga kawaambie kina baba swalehe wenzako
 
Aaaaah baba swalehe wewe labda bilionea wa kwacha za malawi.......mwenye pesa anajulikana sio wewe unakaa NHC kma njiwa jenga yko ndio ujisifu sio kuja hpa n blahblah z kijinga....huo ujinga kawaambie kina baba swalehe wenzako

- hahaha eti kampuni yako hapa mjini iko wapi yangu ipo hapa Tancot House gorofa ya pili, wewe yako ipo wapi? hahahaha mmezoea kut
ishia wajinga wajinga ninapoishi wewe huwezi kulipia mjinga utaishia hapa hapa kuandika andika matusi na majina bandia mwanaume mzima huna maisha unahangaika kujadili wanaume wengine hahahahahaha pole sana kama una shida ya kazi njoo nikuajiri mazafantazz!!

le Mutuz
 
- hahaha eti kampuni yako hapa mjini iko wapi yangu ipo hapa Tancot House gorofa ya pili, wewe yako ipo wapi? hahahaha mmezoea kut
ishia wajinga wajinga ninapoishi wewe huwezi kulipia mjinga utaishia hapa hapa kuandika andika matusi na majina bandia mwanaume mzima huna maisha unahangaika kujadili wanaume wengine hahahahahaha pole sana kama una shida ya kazi njoo nikuajiri mazafantazz!!

le Mutuz

le babuzzz danganya hao wajinga wenzako huna kitu wewe hilo liko wazi
 
- hahaha eti kampuni yako hapa mjini iko wapi yangu ipo hapa Tancot House gorofa ya pili, wewe yako ipo wapi? hahahaha mmezoea kut
ishia wajinga wajinga ninapoishi wewe huwezi kulipia mjinga utaishia hapa hapa kuandika andika matusi na majina bandia mwanaume mzima huna maisha unahangaika kujadili wanaume wengine hahahahahaha pole sana kama una shida ya kazi njoo nikuajiri mazafantazz!!

le Mutuz
Baba swalehe lemutuz tafadhal acha porojo zako za kusema wewe bilionaire kumbe unakaa kwenye kibanfa cha njiwa cha msajili kodi yenyewe laki moja na nusu yani unakaa kwenye kibanda cha njiwa kama mtoto wa kihindi anayeanza maisha na kijiofisi chake cha msaada hahaha na le super niah bilionaire wa kwanza kuendesha daladala,ulikaa america miaka 30 halafu umerudi bongo dola elfu moja tu kama sio utahira na ujinga ni nini halafu bado unajisifia haha,una kibanda chako cha msada wa babako pamoja na kina neema ngululupi hadi leo over 20yrs tangu muanze kujenga lakini hakimaliziku wrwe kila siku kupiga domo tu upambe tu haha,pls watu wenye umri wako kama kina membe na mbowe wanabishana na raisi na nchi inawasikiliza wewe kazi yako kwenda kutoka majasho tu club na kunuka mdomo tu mbele za vitoto ambavyo viko sawa na watoto wako kina Agapeo na Leona haha pls grow up old fool baba swalehe.
 
Huyu jamaa hua napenda tu watu wamchokoze ni burudani tupu.Anajua sana kujitetea
 
- hahaha eti kampuni yako hapa mjini iko wapi yangu ipo hapa Tancot House gorofa ya pili, wewe yako ipo wapi? hahahaha mmezoea kut
ishia wajinga wajinga ninapoishi wewe huwezi kulipia mjinga utaishia hapa hapa kuandika andika matusi na majina bandia mwanaume mzima huna maisha unahangaika kujadili wanaume wengine hahahahahaha pole sana kama una shida ya kazi njoo nikuajiri mazafantazz!!

le Mutuz
we mshikaji vepe mi nakujua kitambo sana toka tukizama chimbo zetu zileee then ukaingia kwenye blog...unakumbuka baharia.. We huna lolote.ila sifa kubwa sana unayotakiwa kujivunia ni mwili tuuuu vitu vingine kama ujanja wa njini, mapene veve ni mweupeee kabaisa.
 
- Matapeli like U Kampuni YAKO ipo wapi hapa Mjini? HAHAHAHAHAH kazi KUANDIKA ujinga ujinga na majina ya BANDIA halafu unajitaje Mamen? Please HAHAHAHA

Le Mutuz
veve le jingaz vepe hujui kuna watu hawana kampuni zinazotambulika ili hali ni mabilionea...umenielewa mtu mpana mwenye ubongo mdogo... ok na unajua kuna watu wenye vi-company vidogo kama veve na na kila siku wanajitapa mtandaoni upooo
 
- Now I understand kwa nini Soud Brown amenipigia Simu kumbe kuna this hahaha muanzisha thread thank U kwa kuniongezea umaarufu, HIYO picha ya Studio niliipiga Mwaka Jana nikiwa Studio natengeza vupindi vya my new TV Talk Show kwa HIYO ni Uongo wa KITOTO, Na Mwaka Mpya 2016 niliamua kuanza Mazoezi ili kuachana na Unene that is all kwamba kuna muziki wa Nikiwapili SIIJUI na wala huwa sisikilizi,

- Kwa kifupi ni kwamba nipo Dodoma ambako nimekuja Leo na Ndege ya Asubuhi kwa ajili ya Vikao vya Chama Cha Mapinduzi Taifa kwa Siku Mbili, na nikirudi nitakuwa kwenye matayarisho ya Safari yangu ya Dubai ambako Shirika la Ndege la Emirates limenichagua na kunialika for Study Tour all paid for One week ili kuingia nao mkataba wa kuwatangaza at outlets zangu za Social Media so I am very busy.

- kwa ukisoma vizuri hii habari ninahisi kuna mchezo wa kuipromote hiyo song ambayo kama kweli ipo nitashukuru sana cause itaniongezea followers, ambao ni mtaji wangu kwenye Biashara zangu za Social Media. Ni kweli I make Big money from my Instagram, na ni kweli ninakubalika sana na Mabebezz wengi hapa Mjini na ndio base yangu na ni kweli I make Millions of Tshillings from it yaani Instagram na Blog.

- Again mleta mada anaonekana ni part of promoting hiyo single maana siamini kuna binadam anaweza kuchukua picha na kutengeneza hadithi ya Uongo kama hii mpaka Radio zikaingilia kati na kuanza kunipigia simu ndicho alichotaka kuuza tu the song kwa kutumia jina langu ila Mimi sio mjinga I will make more money out of this mess it is my professional to see Opportunity at any situation.

Le Mutuz live from Dodoma Downtown
mwanao anataka zawadi ya birthday....anaomba umnunulie japo kagari alafu ulichelewa mno kuzaa yule angefaa kuwa mjukuu wako sio mtoto wako baba swalehe
 
Le mutuz ndo nini???
Le mutuz ndo nini???
Le mutuz ndo nini???
- Well, siku nitakapokuwa na sifa za kijinga nitakuwa nimekufwa, as long as I live sijawahi kuwa na unafiki wala uongo sio part of my life, I make Millions from my Instagram, Facebook, Twitter and my Blog kwa pamoja hizi tools zinaunda my Company Blogu ya Wananchi Media Compan y LTD. Nikudanganye wewe mtu sikujui ili unisaidie nini? hahahahaha pole sana mburulazzz ni kujifanya kujua as you na huku hujui lolote, by the way ratiba yangu ni kwenda Dubai Study Tour ya Emirates na kurudi kufanya bonge la Sherehe maalum ya kampuni yangu kufikisha miaka 3.
- Otherwise Jumamosi nilikuwa na Nickwa pili at party ya Clouds Escape One picha hii hapa chini, unajua wanaume wazima mnapokuwa na tabia kama hizi za uzushi uzushi na umbeya umbeya inaleta maswali mengi sana like what went wrong na this nation Watoto wa kiume wanakuwa hivi? hahahahahahaha U know!!

Le Big Show


- Well, siku nitakapokuwa na sifa za kijinga nitakuwa nimekufwa, as long as I live sijawahi kuwa na unafiki wala uongo sio part of my life, I make Millions from my Instagram, Facebook, Twitter and my Blog kwa pamoja hizi tools zinaunda my Company Blogu ya Wananchi Media Compan y LTD. Nikudanganye wewe mtu sikujui ili unisaidie nini? hahahahaha pole sana mburulazzz ni kujifanya kujua as you na huku hujui lolote, by the way ratiba yangu ni kwenda Dubai Study Tour ya Emirates na kurudi kufanya bonge la Sherehe maalum ya kampuni yangu kufikisha miaka 3.
- Otherwise Jumamosi nilikuwa na Nickwa pili at party ya Clouds Escape One picha hii hapa chini, unajua wanaume wazima mnapokuwa na tabia kama hizi za uzushi uzushi na umbeya umbeya inaleta maswali mengi sana like what went wrong na this nation Watoto wa kiume wanakuwa hivi? hahahahahahaha U know!!

Le Big Show



naona umepiga picha na mjukuu wako ila mjukuu hana adabu kabisa anaanzaje kukuita baba swalehe?!
 
mwanao anataka zawadi ya birthday....anaomba umnunulie japo kagari alafu ulichelewa mno kuzaa yule angefaa kuwa mjukuu wako sio mtoto wako baba swalehe

mkuu hilo swala gumu sana ni sawa na kusubiria treni airport...mbaba swalehe ni mdananda hana kitu na ndio baharia mwenye degree 3 za ujinga africa nzima.....mwambie leona avumilie tu kuanzia mwezi wa 5 atakua DC wa mtera maisha yatakua tambarare
 
mwanao anataka zawadi ya birthday....anaomba umnunulie japo kagari alafu ulichelewa mno kuzaa yule angefaa kuwa mjukuu wako sio mtoto wako baba swalehe

- hahahahahaha tizama mlikoanzia na Nickwapili sasa imekuwa mtoto hahahahahaha, halafu nilikuwa sijaangalia kumbe tayari ni page 4 ila viewers 10,000 ndio maana ya Super Celebrity I love it!!

le Mutuz
 
Baba swalehe lemutuz tafadhal acha porojo zako za kusema wewe bilionaire kumbe unakaa kwenye kibanfa cha njiwa cha msajili kodi yenyewe laki moja na nusu yani unakaa kwenye kibanda cha njiwa kama mtoto wa kihindi anayeanza maisha na kijiofisi chake cha msaada hahaha na le super niah bilionaire wa kwanza kuendesha daladala,ulikaa america miaka 30 halafu umerudi bongo dola elfu moja tu kama sio utahira na ujinga ni nini halafu bado unajisifia haha,una kibanda chako cha msada wa babako pamoja na kina neema ngululupi hadi leo over 20yrs tangu muanze kujenga lakini hakimaliziku wrwe kila siku kupiga domo tu upambe tu haha,pls watu wenye umri wako kama kina membe na mbowe wanabishana na raisi na nchi inawasikiliza wewe kazi yako kwenda kutoka majasho tu club na kunuka mdomo tu mbele za vitoto ambavyo viko sawa na watoto wako kina Agapeo na Leona haha pls grow up old fool baba swalehe.

- hahahahaha miaka 5 ya divorce bado una maumivu unachekesha mimi nilishakusahau kabisa nasonga mbelezzz hahahahaha utalia na Social MEdia all your life utaishia huyo huyo mume wa mtu, kupata mume kama mimi huwezi cause ni mtumzima sana so utaishia kuruka ruka na waume za watu, pole sana Wasawahili wanasema "Mkataa pema pabaya panamuita" uliyataka mwenyewe hahahahahahaha, sasa najitayarisha kwenda Dubai, nikirudi Lagos maisha yanasonga pole sana nasikia snow huko ni balaaa! hahahaha huku bongo ni summer tu hahahaha

le Mutuz
 
- Well, siku nitakapokuwa na sifa za kijinga nitakuwa nimekufwa, as long as I live sijawahi kuwa na unafiki wala uongo sio part of my life, I make Millions from my Instagram, Facebook, Twitter and my Blog kwa pamoja hizi tools zinaunda my Company Blogu ya Wananchi Media Compan y LTD. Nikudanganye wewe mtu sikujui ili unisaidie nini? hahahahaha pole sana mburulazzz ni kujifanya kujua as you na huku hujui lolote, by the way ratiba yangu ni kwenda Dubai Study Tour ya Emirates na kurudi kufanya bonge la Sherehe maalum ya kampuni yangu kufikisha miaka 3.
- Otherwise Jumamosi nilikuwa na Nickwa pili at party ya Clouds Escape One picha hii hapa chini, unajua wanaume wazima mnapokuwa na tabia kama hizi za uzushi uzushi na umbeya umbeya inaleta maswali mengi sana like what went wrong na this nation Watoto wa kiume wanakuwa hivi? hahahahahahaha U know!!

Le Big Show


hilo shati ukimpa nikki atafanya shuka mkuu Baba swalehe
swissme
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom