Huu woga uliopitiliza wa Samia kuhusu kuwania urais 2025 unatokana na nini hasa?

Huu woga uliopitiliza wa Samia kuhusu kuwania urais 2025 unatokana na nini hasa?

Zanzibar-ASP

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2013
Posts
11,550
Reaction score
40,697
Samia ndio rais aliyepo madarakani, katiba ya CCM na utamaduni wake inamruhusu kugombea urais, ni mwenyekiti wa CCM, huu woga uliopitiliza wa kuwania urais 2025 unaletwa na nini mpaka aamue kucheza 'faulo kubwa ya kisiasa ndani ya eneo la hatari karibu na goli' unaletwa na nini haswaa?

Kuna nini kinaendelea?
 
Chadema sasa na nyie mtangazeni mgombea wenu ili muende pasu kwa pasu na ccm. Msikae kimya hadi dakika za majeruhi wakati wapinzani wenu wanajiandaa tayari...
 
Back
Top Bottom