Huu woga uliopitiliza wa Samia kuhusu kuwania urais 2025 unatokana na nini hasa?

Huu woga uliopitiliza wa Samia kuhusu kuwania urais 2025 unatokana na nini hasa?

Kama tungekuwa na katiba mpya mwaka huu chadema wangeshinda mchana kweupe.maana ccm wanaweka mgombea asiye na mvuto na hakubaliki na ni legelege sana katika utendaji
 
Samia ndio rais aliyepo madarakani, katiba ya CCM na utamaduni wake inamruhusu kugombea urais, ni mwenyekiti wa CCM, huu woga uliopitiliza wa kuwania urais 2025 unaletwa na nini mpaka aamue kucheza 'faulo kubwa ya kisiasa ndani ya eneo la hatari karibu na goli' unaletwa na nini haswaa?

Kuna nini kinaendelea?
Sema alichofanya acha taarabu
 
Samia ndio rais aliyepo madarakani, katiba ya CCM na utamaduni wake inamruhusu kugombea urais, ni mwenyekiti wa CCM, huu woga uliopitiliza wa kuwania urais 2025 unaletwa na nini mpaka aamue kucheza 'faulo kubwa ya kisiasa ndani ya eneo la hatari karibu na goli' unaletwa na nini haswaa?

Kuna nini kinaendelea?
CCM kuchafu sana
 
Mi nacheka sana nikisoma comments za nyumbu, yanaongea mambo kama mazuzuuuu. Mshapigwa bao kingese nyumbu nyie......bakini hivi hivi na uzushi na madua yenu mabaya kwa aliyepewa na Mungu muendelee kuchelewa. Keshokutwa tu mnaenda kupigana, badala ya kuhangaika na yenu mkae sawa nyie mnahangaika na Samia tu mliyemshindwa kabla hamjaanza.
 
Back
Top Bottom