Hana umakini wowote, Uteuzi wake ni Batilihuyu mama ni makini sana hujui tuh
Alikuwa tishio,ila kashaharibu.Lissu ni tishio.
Sema alichofanya acha taarabuSamia ndio rais aliyepo madarakani, katiba ya CCM na utamaduni wake inamruhusu kugombea urais, ni mwenyekiti wa CCM, huu woga uliopitiliza wa kuwania urais 2025 unaletwa na nini mpaka aamue kucheza 'faulo kubwa ya kisiasa ndani ya eneo la hatari karibu na goli' unaletwa na nini haswaa?
Kuna nini kinaendelea?
CCM kuchafu sanaSamia ndio rais aliyepo madarakani, katiba ya CCM na utamaduni wake inamruhusu kugombea urais, ni mwenyekiti wa CCM, huu woga uliopitiliza wa kuwania urais 2025 unaletwa na nini mpaka aamue kucheza 'faulo kubwa ya kisiasa ndani ya eneo la hatari karibu na goli' unaletwa na nini haswaa?
Kuna nini kinaendelea?
Mipumbavu tu hiyo, ni ya kuipuuza tu.Sema alichofanya acha taarabu
Kaharibu nini?Alikuwa tishio,ila kashaharibu.