Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Kipindi nyie mnatembezeana Cc humu offline mi nlikuwa nakula mema ya dunia na "ashk majnun" wanguMiaka 6 ukatoka na kadigrii na ka masta🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipindi nyie mnatembezeana Cc humu offline mi nlikuwa nakula mema ya dunia na "ashk majnun" wanguMiaka 6 ukatoka na kadigrii na ka masta🤣🤣🤣
Moyo wa mtu kichakaHalafu ghafla umemchoka mtu!
Watu wana vibe, Wanakulana then ndo wanaanza kuchunguzana for relationship hapo ndo wanashangaa kila point inakataa, Kama n mdada hapo ndo anakua chizKanuni, friendship then relationship,sasa wengi wanakutana leo mwezi ujao tayari ni relationship iliyoshiba,lazima ndoa zivunjike kwa stail hii.kipengele cha friendship kamwe huwezi ukakivuka kama unataka ndoa imara.
🤣🤣🤣🤣 na mkaachana!Kipindi nyie mnatembezeana Cc humu offline mi nlikuwa nakula mema ya dunia na "ashk majnun" wangu
Punguza ukali wa maneno....tumia tafsida🤣🤣🤣🤣 na mkaachana!
🤣🤣🤣🤣🤣 ukarudi ukatukuta bado tuna cc 🤣🤣🤣Punguza ukali wa maneno....tumia tafsida
Usitufokee mama🤣🤣🤣It’s you versus you, haujamchoka mpenzi unakuwa umechoka vingi binationals, tatizo vingine haviachiki mfano, kwenda kazini au kwenye biashara. Mpenzi ndio anaachika.
Ni nyie wenyewe wenye tatizo sio wapenzi wenu.
Cc wapi ww😂 Gen Z wamewatisha kidogo tu mmeanza kukimbia ID zenu🤣🤣🤣🤣🤣 ukarudi ukatukuta bado tuna cc 🤣🤣🤣
😀😀 tena wanawake moody zetu ni mbaya zaidi, Mtu umechoka nguo zote, viatu vyote, chakula huelewi, umechoka vyombo hadi chumba cha kulala.Usitufokee mama🤣🤣🤣
Kwanza hayo ya siku 3 ilikuwaje?Cc wapi ww😂 Gen Z wamewatisha kidogo tu mmeanza kukimbia ID zenu
Hadi majirani🤣🤣🤣🤣😀😀 tena wanawake moody zetu ni mbaya zaidi, Mtu umechoka nguo zote, viatu vyote, chakula huelewi, umechoka vyombo hadi chumba cha kulala.
Hilo huba la mda mrefu lilivosambaratika ndo nkakutana na huyo wa siku tatu😂tulikua hatuendani kila kituKwanza hayo ya siku 3 ilikuwaje?
🤣🤣🤣🤣 sasa hamuendani kila kitu mkawa mnamtafuta nini shetani?Hilo huba la mda mrefu lilivosambaratika ndo nkakutana na huyo wa siku tatu😂tulikua hatuendani kila kitu
Kwenye haya mambo ya mapenzi bn utakua na akili tu ukiwa nje ya uwanja🤣🤣🤣🤣 sasa hamuendani kila kitu mkawa mnamtafuta nini shetani?