Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 13,588
- 22,752
Ujinga na usaliti ndio msukumo unapoanziaSometimes huwa inatokea unamchoka mtu kwenye mapenzi Hadi unamtafutia sababu umuache for no reason hisia zako kwake zinakata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujinga na usaliti ndio msukumo unapoanziaSometimes huwa inatokea unamchoka mtu kwenye mapenzi Hadi unamtafutia sababu umuache for no reason hisia zako kwake zinakata
HahahahaSema tu hela zimekata mzee,unaanza visingizio
Anakua na harufu flan kama ya maharage yanayoelekea kuchacha hvTena ukimuona unajisikia kichefuchefu km umtapike kiungulia kitoke 😹
Mnasingizia mapenzi wapi semeni ukweli njaaa ndio zinafanya mtukubali sie vituko🤣🤣🤣🤣Hamna ujue kuna muda ukija kugundua ulikuwa unadate na kituko ila mapenzi yalikutia upofu ndo hali km hiyo hujitokeza 😹😹😹
Nimekula hela zake na yeye si kadimbua maji ya kukata kiu yake kisimani kwangu eboo 🤣🤣😹
Siyo yanayoelekea ni tayari yameshachacha mmetupa dampo sasa ule mchanganyiko wa harufu mbaya ya mitakataka mingine iliyoungana pamoja naye.!!! Basi mi 🤮🤮🤮Anakua na harufu flan kama ya maharage yanayoelekea kuchacha hv
Kwa hiyo wee hujawahi kumkinai bby wako mpaka u ataka kumtapika kama LabellaNadhani inategema mtu na mtu, kila kitu tunatofautiana......wapo wenye kukinai lkn pia wapo wenye kufika na kuridhika na hata sekunde asihis kumchoka aliye naye, mapungufu kila mtu ana ya kwake lkn upendo wa kweli husitiri wingi wa hayo mapungufu ndipo kuchukuliana hutokea.
Nadhani hii imekaa kimmoja mmoja kila mtu kuna jinsi yupo.
Halafu huwezi amini mi ndo nawahonga shem 😹😹Mnasingizia mapenzi wapi semeni ukweli njaaa ndio zinafanya mtukubali sie vituko🤣🤣🤣🤣
Yupo binamu pale tra nikupe?Halafu huwezi amini mi ndo nawahonga shem 😹😹
Hauna mdogo wako aliyekuwa TRA au BOT aje akuthibitishie 😜
Inatokea kama ulikuwa umemtamani hapo awaliSometimes huwa inatokea unamchoka mtu kwenye mapenzi Hadi unamtafutia sababu umuache for no reason hisia zako kwake zinakata
Wewe jamaa 😀😀😀😀Mmejuana wiki tayari mnajadili honeymoon
Basi nipende mie usinichoke na kibamia changu lakiniHapana kwa kweli...
Ni kamzozo Kwa kwelSiyo yanayoelekea ni tayari yameshachacha mmetupa dampo sasa ule mchanganyiko wa harufu mbaya ya mitakataka mingine iliyoungana pamoja naye.!!! Basi mi 🤮🤮🤮
Endelea kutupia sound atakubali mbona.Remind sio kwamba ni mpenz wangu hapana sahv ni marafiki tu bado hajanikubalia anasema hataki kuwa kwny mahusiano mpaka amalize Chuo