Huwa inatokea unamchoka mtu kimapenzi

Huwa inatokea unamchoka mtu kimapenzi

Pisi kali imekamilika kila idara, mashine mnato, cute & beautiful woman unaanzaje kumchoka na kutaka kumuacha? Labda kama anaomba hela kila mara
Sasa unapata wapi mtu kakamirika kila idara? Anaweza kua good looking girl lkn values zikawa chini.
 
Hili suala linatokana na kuruka step na makosa mengi yaliyofsnyika mwanzoni. Hasa ngono kabla ya ndoa na kujitunza(bikira)
 
Hili suala linatokana na kuruka step na makosa mengi yaliyofsnyika mwanzoni. Hasa ngono kabla ya ndoa na kujitunza(bikira)
Ni wa kwangu nimemwambia nataka kumuoa Ila hataki ni mbususu she is 19 of age bado hajadombwa anasoma chuo😅najiuliza Yan nikae na subiri mpaka amalize mimi amekataa kunipa upenyo afu awape vijana then arudi kwangu kuolewa hiyo s dharau??
 
Huko ni kuchokana. Kula mboga moja kila siku we kuweza!
 
Ni wa kwangu nimemwambia nataka kumuoa Ila hataki ni mbususu she is 19 of age bado hajadombwa anasoma chuo😅najiuliza Yan nikae na subiri mpaka amalize mimi amekataa kunipa upenyo afu awape vijana then arudi kwangu kuolewa hiyo s dharau??
Una uhakika upi atawapa wengine kama hajawahi kufanya hayo mambo?
 
Sometimes huwa inatokea unamchoka mtu kwenye mapenzi Hadi unamtafutia sababu umuache for no reason hisia zako kwake zinakata
Ulishamgeggeda mtoto wa watu mara tatu sasa umeone tako lake la kushoto limepinda 🤣🤣🤣🤣
 
Kudadeki....wee nomaaa.
Ulishakula hela za mtoto wa mwanamke mwenzio , kafulia ndio wataka kumtapika 🤣🤣🤣🤣
Hamna ujue kuna muda ukija kugundua ulikuwa unadate na kituko ila mapenzi yalikutia upofu ndo hali km hiyo hujitokeza 😹😹😹

Nimekula hela zake na yeye si kadimbua maji ya kukata kiu yake kisimani kwangu eboo 🤣🤣😹
 
Back
Top Bottom