The mission 2017
JF-Expert Member
- Aug 14, 2017
- 1,748
- 3,229
Sasa unapata wapi mtu kakamirika kila idara? Anaweza kua good looking girl lkn values zikawa chini.Pisi kali imekamilika kila idara, mashine mnato, cute & beautiful woman unaanzaje kumchoka na kutaka kumuacha? Labda kama anaomba hela kila mara
Na hapo ndo anataka kumtwisha Boy wake huo mzigo wa hisia mfu zake autue out of no where 😃😀😀 tena wanawake moody zetu ni mbaya zaidi, Mtu umechoka nguo zote, viatu vyote, chakula huelewi, umechoka vyombo hadi chumba cha kulala.
Yaaniii 😂 Mtusamehe!Na hapo ndo anataka kumtwisha Boy wake huo mzigo wa hisia mfu zake autue out of no where 😃
Lakini hakuna hata mojaHapo ukute mshadate mda mrefu mshapanga mengi
Za wapendanao zikitimia yanatokea tuLakini hakuna hata moja
Na hapo Mpaji - MunguHapo ukute mshadate mda mrefu mshapanga mengi
Thats when true love itaonekana, utashi. Kuamsha ule mote wa mapenzi once more.Kuna muda unafika mapenzi yanaisha
Ni wa kwangu nimemwambia nataka kumuoa Ila hataki ni mbususu she is 19 of age bado hajadombwa anasoma chuo😅najiuliza Yan nikae na subiri mpaka amalize mimi amekataa kunipa upenyo afu awape vijana then arudi kwangu kuolewa hiyo s dharau??Hili suala linatokana na kuruka step na makosa mengi yaliyofsnyika mwanzoni. Hasa ngono kabla ya ndoa na kujitunza(bikira)
Una uhakika upi atawapa wengine kama hajawahi kufanya hayo mambo?Ni wa kwangu nimemwambia nataka kumuoa Ila hataki ni mbususu she is 19 of age bado hajadombwa anasoma chuo😅najiuliza Yan nikae na subiri mpaka amalize mimi amekataa kunipa upenyo afu awape vijana then arudi kwangu kuolewa hiyo s dharau??
Umbali mkuu mimi nimerudi mkoani kujitafuta yeye dsm anasoma yupo mwaka wa piliUna uhakika upi atawapa wengine kama hajawahi kufanya hayo mambo?
Hapo kipengele mkuu, mapenzi na umbali haviendani kabisaUmbali mkuu mimi nimerudi mkoani kujitafuta yeye dsm anasoma yupo mwaka wa pili
Remind sio kwamba ni mpenz wangu hapana sahv ni marafiki tu bado hajanikubalia anasema hataki kuwa kwny mahusiano mpaka amalize ChuoHapo kipengele mkuu, mapenzi na umbali haviendani kabisa
Aya ni mawazo ya malaya tu mtu aliekamilika anakuaje na mawazo ayoSometimes huwa inatokea unamchoka mtu kwenye mapenzi Hadi unamtafutia sababu umuache for no reason hisia zako kwake zinakata
Tena ukimuona unajisikia kichefuchefu km umtapike kiungulia kitoke 😹Kuna muda unafika mapenzi yanaisha
Ulishamgeggeda mtoto wa watu mara tatu sasa umeone tako lake la kushoto limepinda 🤣🤣🤣🤣Sometimes huwa inatokea unamchoka mtu kwenye mapenzi Hadi unamtafutia sababu umuache for no reason hisia zako kwake zinakata
Kudadeki....wee nomaaa.Tena ukimuona unajisikia kichefuchefu km umtapike kiungulia kitoke 😹
Hamna ujue kuna muda ukija kugundua ulikuwa unadate na kituko ila mapenzi yalikutia upofu ndo hali km hiyo hujitokeza 😹😹😹Kudadeki....wee nomaaa.
Ulishakula hela za mtoto wa mwanamke mwenzio , kafulia ndio wataka kumtapika 🤣🤣🤣🤣