Huwa mnavumiliaje hii?naelekea kushindwa

Mi hua siwaelewi hata humu wamo wengiii
 
Ni kweli ila kwa wakati tuliopo ni ngumu sana kukabiliana na vita hii...afadhali hiyo kuliko kupoteza muda wako adhimu kumwadikia mtu ujumbe mreeeefu kisha anajibu k' ....
 
Alaaa kumbe! ndio maana nilikuwa nimemquote Eiyer katika sentensi yangu nilikuwa nimeandika kny nikimaanisha kwenye akanionya nisirudie tena.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…