Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,155
- 34,303
karucee hakawii kukujibu'kum**e' mtata sana huyo!!
Ahahaaa. Nlikuwa sijaona hii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
karucee hakawii kukujibu'kum**e' mtata sana huyo!!
Si umesema hujibu tena
Sent from my iPhone using JamiiForums
ndo uilezeeee
Siwezi leage samahani yaishe
Sent from my iPhone using JamiiForums
Natumiwa sms."d,xiku hizi xtaki xtarehe,nafikiria maixha tu"
nikamjibu" unanikera sana na uandishi wako'
akajibu: 'd nixamehe,xitorudia tena ila nimexhazoea'
hivi wadau huwa mnavumiliaje hizo texts,nimesema hadi nimechoka.
Natumai hutarudia tena!
Ndio baba Paroko na Mungu anisaidie.
hahahahah Deo Corleone cheki hili toto la huyu mwanamke wa kike..
Haahaaa Si nilikuambia!!
K
Sent from my iPhone using JamiiForums
Natumiwa sms."d,xiku hizi xtaki xtarehe,nafikiria maixha tu"
nikamjibu" unanikera sana na uandishi wako'
akajibu: 'd nixamehe,xitorudia tena ila nimexhazoea'
hivi wadau huwa mnavumiliaje hizo texts,nimesema hadi nimechoka.
Natumiwa sms."d,xiku hizi xtaki xtarehe,nafikiria maixha tu"
nikamjibu" unanikera sana na uandishi wako'
akajibu: 'd nixamehe,xitorudia tena ila nimexhazoea'
hivi wadau huwa mnavumiliaje hizo texts,nimesema hadi nimechoka.
hahaa ila siku hizi kaacha kuniandikia hivo........,maana unaweza ukasema labda ni ufupisho
lakini ni yale yale XAXA badala ya SASA
Natumiwa sms."d,xiku hizi xtaki xtarehe,nafikiria maixha tu"
nikamjibu" unanikera sana na uandishi wako'
akajibu: 'd nixamehe,xitorudia tena ila nimexhazoea'
hivi wadau huwa mnavumiliaje hizo texts,nimesema hadi nimechoka.
Hehehehe nashindwa cha kuongezea kwakweli hua natamani kutapika tu
Makes me wanna go crazy.
Ndo nini sasa?
ama ukute jitu linaandika msg bika vowels hata moja.
Mfano:
vp rfk? Mzm ww?
utafikiri wino unaisha @%*&-(!!