Ashampoo burning
JF-Expert Member
- May 12, 2023
- 593
- 2,219
Basi ashampoo sasa hivi si nimerudi mjini kuna pisi nimekutana nayo tiktok shape kali sana tukachat kama week mbili hivi ikanielewa mimi mzee wa mashape ndo ugonjwa wangu.
Pisi ilikuwa Singida nikakomaa nikatuma 80000 ije Dar tuonane.
Nimeipokea ikaja kwangu hadi naandika uzi huu inakoromea pembeni na imesema itakaa siku tano, jamani sipendi watu wanao koroma mimi leo silali kisa ufisi wangu.
Vitu kama hivi ndo vinafanyaga napiga chini mtu pisi hii ya kirangi tako sura hips vipo vyote ila kukoroma kama gari la mkaa.
Anyway ufisi umeniponza.
Pisi ilikuwa Singida nikakomaa nikatuma 80000 ije Dar tuonane.
Nimeipokea ikaja kwangu hadi naandika uzi huu inakoromea pembeni na imesema itakaa siku tano, jamani sipendi watu wanao koroma mimi leo silali kisa ufisi wangu.
Vitu kama hivi ndo vinafanyaga napiga chini mtu pisi hii ya kirangi tako sura hips vipo vyote ila kukoroma kama gari la mkaa.
Anyway ufisi umeniponza.