Huwa najiuliza swali, Endapo waafrika weusi tungepewa utajiri wa mafuta kama ilivyo kwa waarabu je tungeudumisha kama kinachoendelea UAE?

Huwa najiuliza swali, Endapo waafrika weusi tungepewa utajiri wa mafuta kama ilivyo kwa waarabu je tungeudumisha kama kinachoendelea UAE?

Kinachofanya waaraby wawe matajiri sio ule uarabu wao hapana.
Bali ni sheria za uislam
.......ndio mana Algeria,Tunisia,Egypt zinazidi mbali sana nchi za watu weusi.
Yes!ndio maana Zanzibar ni eneo lenye watu chini ya milioni 2 ndani ya Tanzania,lakini limeendelea kuliko eneo lolote kwenye hii Dunia.
Yes ni uislam ndio unatama haki,mukiwa na Mali,mugawane wasiwepo wanaolala njaa ama awnaaoshindwa matibabu,.....na hii ni kwa nchi zote za kiislam,......elimu,maji,chakuka sio anasa ni haki.
Uislam hauwezi ruhusu eti umchangie kiongozi wa dini ale Bata huku akikubariki nawe uwe tajiri😃😁😃,
-----kuwa muchange michango ya kujenga shule kisha muje kulipa ada Tena,,😆😃.
Sawa naigeria hakuna uislamu, boko haram ni wakristo wale, tena wasabato.

Umejiona ulivo jinga sasa kuingiza udini kila shm. Anyway hata Tanzania raisi ni mkristo.
 
Mafuta mbona tunayo. Au unavosikia Kuna ujenzi wa bomba la mafuta unafikiria litasafirisha Nini? Tumenyimwa utashi wa maamuzi na ubinafsi hayo mafuta ya Uganda yangechimbwa na kusafishwa hapo hapo Uganda waganda nao wangekufa kama warabu tu
 
Tumepewa na wanakula wachache.
Hapo nigeria wana hifadhi kubwa sana ya mafuta ila wanaofaidi ni kina dangote.
Angola pia anazalisha crude oil.

Hapo uganda nayeye soon atakuwa na mafuta kutoka Ohima to Tanga.

Tanzania tuna mafuta ya mwampossa. Raia tunayatumia kupata kazi na pesa na miujiza kupitia maombi.
Umemtaja Dangote kwamba anafaidika na utajiri wa mafuta ya Nigeria? Fatilia vizuri kaka, yeye mwenyewe anapigwa vita balaa na wenye mamlaka.
Sheria za madini na biashara kwa ujumla kwa nchi za Kiarabu ni 50%, njoo na mtaji wako lakini 50% ya shares zinabakia kwa mzawa, mfano Saudia ukitaka hata kuanzisha biashara ya duka tu, wewe mwenye mtaji una 50% then tafuta mzawa mmoja apewe hiyo 50 nyingine ndio utapata kibali cha biashara, Magufuli alitengeneza sheria ya local content tukamuona hamnazo, kwenye madini alitaka sana tufaidike, tukamuona kichaa. Tanzania imebahatika sana kupata viongozi wazalendo lakini Watanzania sasa, kazi sana. So to answer your questions; tungekua na mafuta, tungeiba sana pesa za biashara hiyo na pesa tungekwenda kuficha pesa hizo nje ya bara hili.
 
Uandishi wako huwa ni kichefuchefu sana, mkanganyiko na conspiracies za kutosha.

Nani ni wamiliki wa Aramco na Abu Dhabi National Oil Company (ADNOC) ??

Unafahamu sovereign wealth funds kubwa zaidi za kinchi zinazomiliki mabilioni ya $dola ni za nchi gani??
Kumbe hii umeiongeza kwenye Post yako ngoja nikwambie kuhusu Petro Dollars na jinsi Nchi za Kiarabu zilivyonyanganywa Uwezo wao wa kuweza kutumia mafuta kama Silaha...
  • In October 1973, the Organization of Arab Petroleum Exporting Countries (OAPEC) announced that it was implementing a total oil embargo against countries that had supported Israel at any point during the 1973 Yom Kippur War, which began after Egypt and Syria launched a large-scale surprise attack in an ultimately unsuccessful attempt to recover the territories that they had lost to Israel during the 1967 Six-Day War.
  • In an effort that was led by Faisal of Saudi Arabia, the initial countries that OAPEC targeted were Canada, Japan, the Netherlands, the United Kingdom, and the United States. This list was later expanded to include Portugal, Rhodesia, and South Africa.
  • In March 1974, OAPEC lifted the embargo, but the price of oil had risen by nearly 300%: from US$3 per barrel ($19/m3) to nearly US$12 per barrel ($75/m3) globally. Prices in the United States were significantly higher than the global average. After it was implemented, the embargo caused an oil crisis, or "shock", with many short- and long-term effects on the global economy as well as on global politics

Kwahio ili kuepuka kitu kama hiki kisitokee tena Kissinger alisaidia ku break a deal of Petrol dollars...
  • This agreement, brokered by Henry Kissinger in 1974, ensured that oil trade would be dominated by the US dollar. Saudi Arabia was persuaded to sign this deal with promises of US support against Iran and other regional threats. At the time, the US dollar had lost much of its credibility after President Richard Nixon suspended the Gold Standard in 1971. By creating the petro-dollar system, the US managed to maintain the dollar as the global reserve currency, facilitating economic growth through substantial debt accumulation.
Kwahio wewe unaweza kujiona mjanja kuwa na madollar mengi wakati yeye USA anaweza kuyaprint kila anvyotaka kwa kutumia Bonds hivyo Serikali kupata mikopo ya ya bei nafuu kwa kufanya matumizi yake..., Na wewe wala hautataka kuyabadilisha hayo madollar kwenye currency yako sababu ikipanda thamani vitu vyako vitakuwa expensive kulingana na wengine....

 
Kinachofanya waaraby wawe matajiri sio ule uarabu wao hapana.
Bali ni sheria za uislam
.......ndio mana Algeria,Tunisia,Egypt zinazidi mbali sana nchi za watu weusi.
Yes!ndio maana Zanzibar ni eneo lenye watu chini ya milioni 2 ndani ya Tanzania,lakini limeendelea kuliko eneo lolote kwenye hii Dunia.
Yes ni uislam ndio unatama haki,mukiwa na Mali,mugawane wasiwepo wanaolala njaa ama awnaaoshindwa matibabu,.....na hii ni kwa nchi zote za kiislam,......elimu,maji,chakuka sio anasa ni haki.
Uislam hauwezi ruhusu eti umchangie kiongozi wa dini ale Bata huku akikubariki nawe uwe tajiri😃😁😃,
-----kuwa muchange michango ya kujenga shule kisha muje kulipa ada Tena,,😆😃.
Yes umenena vyema.........shida sio uarabu bali ni uislam.
Wazanazibar wanadharaulika kua hawajasoma,ila mtu akipewa rifaa kutoka bukoba kwenda muhimbili atatibiwa ila sio Bure ila mzanzibari matibabu ni bure😁😁😆
Umenena vyema kuhusu wazanzibari wanavofanya fukwe zao kwa maendeleo yao,.........**Uislam**unataka haki, na haki ndio utajiri wenyewe,na haki haipatikani kwa kutoa sadaka ili wanaune wenzenu wazitumie,....haki hupatikana kwa mtutu wa bunduki,
Unapoona Sudan watu wanauwana ninyi munasema waislam magaidi😆😀😅😀
Unadhani mzungu atarurahi siku kuiona congo raia wameungana kuwafukuza?
Hiko ndicho munachosema waarabu ni magaidi na huo ugaidi ndio utajiri wenyewe,.......Iraq imepigana vita miaka 20 Leo ina uchumi mara 4 ya Kenya😃😄
Obvious ni nchi za kiislam✍️✍️
Afghanistan imepigana vita miaka 20,na Ina reserve kubwa ya madini adimi ambayo hajaanzwa kuchimbwa............Ile kutaka haki kwenye uislam hufanya nchi kubaki na Mali zake na zigawanywe Kwa raia wake?
So what leo Tanganyika itakua masikini milele na milele sababu mali zake imewaachi wazungu, while Zanzibar hawajaanza kuchba mafuta yao na gesi,wanasubiri better deal,.....subra ya uislam ni baraka
Obvious ni nchi za kiislam✍️✍️
Afghanistan imepigana vita miaka 20,na Ina reserve kubwa ya madini adimi ambayo hajaanzwa kuchimbwa............Ile kutaka haki kwenye uislam hufanya nchi kubaki na Mali zake na zigawanywe Kwa raia wake?
So what leo Tanganyika itakua masikini milele na milele sababu mali zake imewaachi wazungu, while Zanzibar hawajaanza kuchba mafuta yao na gesi,wanasubiri better deal,.....subra ya uislam ni baraka
Umeongea point sana mkuu,.................nchi kama Saudi Arabia....ile kua islaic country,ukila rushes,umekamatwa na unga,umetomba ovyo,kifo nje nje ,inafanya raia kua serious na maendeleo yao,........watu hawawezi kuwaza ujinga,sababu haki imetawala,.
Issue ya elimuz bila dini ya kutaka haki ni upumbavu............mtu anasoma anakua kiongozi wa dini, ila anakusanya sadaka anzituma njeya nchi ka kigezo eti makao makuu😁😀😆😆,huu ufala kwenye uislam haupo,utavuta ulichopanda hata kaama unakesha msikitini
Bado tuulizane kwanini Waafrika hatuendelei?

Mfano huyu ndiyo apewe pale juu aongoze nchi unaweza unaona ni kwa namna gani Africans tupo narrowed kwenye fahamu zetu yaani ni vituko vituko vituko!!!
 
Ukishasema umepewa halafu ukashindwa kutumia hapo sababu hazitazidi mbili,ni either umelaaniwa kwamba hutapata fursa ya kufurahia kile ulichopewa au akili kichwani za kuendeleza kile ulichopewa huna na Waafrika tumedondokea hapa.

Mimi sijawahi kumuona mzungu akija kupora ardhi ya kwetu wala akipora kodi zetu ninachoona ni viongozi wetu (waliojipachika uongozi) ndiyo wanawauzia/wanaowapa mikataba mibovu inayotunyonya.
Ukipewa inamaana umeshapewa fursa ya kukitumia.

Kwanini akupe kama hataki ukitumie??

Hiyo Resource curse ndio mbinu za wazungu kutuhadaa.

Hakuna kitu kinaitwa Resource curse,

You are just brain washed
 
Kumbe hii umeiongeza kwenye Post yako ngoja nikwambie kuhusu Petro Dollars na jinsi Nchi za Kiarabu zilivyonyanganywa Uwezo wao wa kuweza kutumia mafuta kama Silaha...
  • In October 1973, the Organization of Arab Petroleum Exporting Countries (OAPEC) announced that it was implementing a total oil embargo against countries that had supported Israel at any point during the 1973 Yom Kippur War, which began after Egypt and Syria launched a large-scale surprise attack in an ultimately unsuccessful attempt to recover the territories that they had lost to Israel during the 1967 Six-Day War.
  • In an effort that was led by Faisal of Saudi Arabia, the initial countries that OAPEC targeted were Canada, Japan, the Netherlands, the United Kingdom, and the United States. This list was later expanded to include Portugal, Rhodesia, and South Africa.
  • In March 1974, OAPEC lifted the embargo, but the price of oil had risen by nearly 300%: from US$3 per barrel ($19/m3) to nearly US$12 per barrel ($75/m3) globally. Prices in the United States were significantly higher than the global average. After it was implemented, the embargo caused an oil crisis, or "shock", with many short- and long-term effects on the global economy as well as on global politics

Kwahio ili kuepuka kitu kama hiki kisitokee tena Kissinger alisaidia ku break a deal of Petrol dollars...
  • This agreement, brokered by Henry Kissinger in 1974, ensured that oil trade would be dominated by the US dollar. Saudi Arabia was persuaded to sign this deal with promises of US support against Iran and other regional threats. At the time, the US dollar had lost much of its credibility after President Richard Nixon suspended the Gold Standard in 1971. By creating the petro-dollar system, the US managed to maintain the dollar as the global reserve currency, facilitating economic growth through substantial debt accumulation.
Kwahio wewe unaweza kujiona mjanja kuwa na madollar mengi wakati yeye USA anaweza kuyaprint kila anvyotaka kwa kutumia Bonds hivyo Serikali kupata mikopo ya ya bei nafuu kwa kufanya matumizi yake..., Na wewe wala hautataka kuyabadilisha hayo madollar kwenye currency yako sababu ikipanda thamani vitu vyako vitakuwa expensive kulingana na wengine....

Kwa nini unataka watumie mafuta kama silaha?
Kwa nini umeleta mada ya kutumia mafuta kama silaha?
 
Kwa nini unataka watumie mafuta kama silaha?
Ndicho walichofanya October 1973, hata USA na mataifa mengine yalivyosema yangeweza kuwavamania, King faisal aliwaambia kwamba wakianza kuwavamia tu atalipua visima vyote na itachukua muda ku recover (Hio ndio power waliyokuwa nayo hizi nchi kama power ambayo angekuwa nayo Iran ya kutochezewa kama angekuwa na Nuclear au anayotumi Kim huko Korea

View: https://www.youtube.com/watch?v=jSIC4n__IXA
Kwa nini umeleta mada ya kutumia mafuta kama silaha?
Umeongelea Petrol Dollar na mimi nikakuonyesha ni vipi mkataba huo umewafanya kuwa puppets.., Case in Point kuna kipindi Reagan alikuwa aingie mkataba pesa za kutosha kuwauzia silaha Saudi Arabia.., baada ya politicians wengi USA kuja juu kwamba atakuwa anampa Silaha adui wa Israel Reagan akampa pande Thatcher (Margaret Thatcher held secret talks with Saudi rulers in 1985, leading up to the UK's largest arms deal) ambayo iliwapatia BAE (UK Pesa za Kumwanga) na hapo walitoa mlungula wa kufa mtu kwa hao viongozi....

In short this is like a chess game with so many pawns na hizo nchi nyingine zinanufaika mgongo wa Arab Countries na hao rulers kupewa pesa za kumwaga ndio maana hawaishi kuwa na extravagant spending (na majority ya pesa / spending zao wanazirudisha huko huko kununua bidhaa za hao hao wanaowachezesha kama mwanasesere)
 
Tumepewa na wanakula wachache.
Hapo nigeria wana hifadhi kubwa sana ya mafuta ila wanaofaidi ni kina dangote.
Angola pia anazalisha crude oil.

Hapo uganda nayeye soon atakuwa na mafuta kutoka Ohima to Tanga.

Tanzania tuna mafuta ya mwampossa. Raia tunayatumia kupata kazi na pesa na miujiza kupitia maombi.
Si kweli, sijawahi kuona mtu anafanikiwa na mafuta ya Mwamposa zaidi ya yeye mwenyewe kujitajirisha kwa pesa za wajinga (kondoo wake).
 
Mimi huwa naombea kila siku nature itusaidia kufanya ETHINIC CLEANSEN.

Tukipata natural calamity hata moja tu ifanye usafi kama ule wa KIPINDI CHA NUHU walau watakaobahatika kuwa hai baada ya kufanyiwa usafi waanze upya ingependeza🙏🙏🙏

Africa kama bara tunahitaji NATURE IFANYE REDEMPTION basi🙌🙌🙌bila hivyo hatuwezi kuchomoka LAANA YA UBINAFSI imetung'ang'ania😭😭😭.

#Africa a cursed continent.
Mkuu umewaza mbali sanaa hahaha
 
Mimi huwa naombea kila siku nature itusaidia kufanya ETHINIC CLEANSEN.

Tukipata natural calamity hata moja tu ifanye usafi kama ule wa KIPINDI CHA NUHU walau watakaobahatika kuwa hai baada ya kufanyiwa usafi waanze upya ingependeza🙏🙏🙏

Africa kama bara tunahitaji NATURE IFANYE REDEMPTION basi🙌🙌🙌bila hivyo hatuwezi kuchomoka LAANA YA UBINAFSI imetung'ang'ania😭😭😭.

#Africa a cursed continent.
Hapana wala hatitaji natural calamity sis inchi za kiafrica tunahitaji revolution kama ambavo ilitokea huko American na ulaya wakulima wafanyakazi wafanyabiashara wote kwa umoja wao walidai haki zao kwa nguvu na zikapatikana mkuu hizo french revolution British revolution America revolution na nyinginezo ndo zimefanya mpk leo wazungu wanaishi kwa kuheshimiana na kujaliana huwez sikia waziri wa fedha kaiba bribery embezzlement kajilimbikizia Mali no walishatoka huko kwa kugongana sanaaa miaka 1800s huko 🤣
 
Si kweli, sijawahi kuona mtu anafanikiwa na mafuta ya Mwamposa zaidi ya yeye mwenyewe kujitajirisha kwa pesa za wajinga (kondoo wake).
Mwampossa akiumwa ana bima ya afya ya million 2 anaenda hospitali kutibiwa au anaend ahata india hatumii hayo mafuta.
 
Mwafrika hana akili,wewe na kwenda kote huko kwanini hujaulizia historia ya Dubai???Usomi wako uko wapi bwashee kwanini unashangaa na kutafakari kimyakimya😄😄😄au unaogopa kuchekwa kama kawaida yetu inferiority complex.

Mfalme wa dubai angeweza kujilimbikizia mali na kula na familia yake na ukoo wake, ila alikuwa na AKILI TIMAMU.Akaamua kuweka ubinafsi kando rasilimali za nchi zikaijenga Dubai,leo kila mtu anaenda kushangaa dubai mpaka wazungu wenyewe.

Ukija africa UBINAFSI na UKOSEFU WA VIPAUMBELE umetufanya tumekuwa mzigo,vituko na mazombie hapa duniani.

Leo uganda ameshindwa kukaza msuli awekeze pesa achimbe mwenyewe mafuta yake, kampa Ufaransa hapo kuna watu wamelamba 10% wametulia na familia zao mafuta yatatoka Uganda yatapita hapa kwetu yataenda Ufaransa😂😂😂😂😂 nabado unauliza mnafeli wapi,waafrica ni jamii iliyo LAANIWA.

Wazungu hawana kosa hata ukoloni unasingiziwa ukweli usemwe sisi hakuna kitu tunaweza. Ukirudi hapa kwetu tuna GESI hiyo tu inatosha kutufanya tuishi kama Libya ya Gaddafi ila yakuwapi.

Msitafute mchawi,wala wa kumtupia zigo la mavi UBINAFSI ndio shida ya AFRICA.Ajabu ni kuwa tatizo mbegu ya ubinafsi imemea vilivyo kiasi kwamba hata mtoto anayezaliwa leo anazaliwa na UBINAFSI.We as a continent, we are finished!!!
Na gharama ya kuzalisha hayo mafuta isingezidi dollar billion 10.
 
Mleta mada yaani ni hivi hata marekani iseme leo waafrica wote twende US wao waje Africa yaani tubadilishane na watuachie kila kitu mpaka oil reserve waliyonayo yaani mpaka uchumi wao na reserve yote ya GOLD na pesa pale federal reserve.

Waafrica kwanza watakufa na baridi maana hata kuzalisha makoti na mablanket hawataweza,bure kabisa this race😬😬😬


🤗😀😀😀 miaka mitano mingi mbona yaani hiyo US haitatamanika tena alafu njoo africa uone jinsi BINADAMU WENYE AKILI watakavyokuwa wamepabadilisha na kutuacha mbali tena miaka 200 mingine🤣🤣🤣🤣 kama waafrica mnabisha tuwaombe wamarekani mi nauwakika hawawezi kataa.

Muafrica ni bure kabisa,anachoweza ni UARIBIFU,UBADHIRIFU, KULA NA NGONO....period!!!

#Africa a cursed continent!!!
Hofu ya mzungu ni hii, nikiharibu leo keaho nitaishije..? 🤔🤔, kinyume chake sisi wana wa adamu tunaona kujenga barabara nyembamba ili tupige pesa za miaka miwili tuu, nionyeshe fisadi wa miradi ya umma aliyefanikiwa...., ahaa kumbe ufisadi ni UPUMBAVU, leo unajenga hospital chini ya kiwango ili iweje..?!!

Mzungu yeye walaa atajenga kitu kidumu for more than 100yrs

Watanzania tunahitaji kuijenga nchi yetu kwa uchungu na machozi ya dhati ili baadae watoto wetu waseme we had brave mom's and Dad's sio kina lokole and the likes
 
Muarabu hana mchango wowote zaidi ya kubuni hiyo dini yenu ya magaidi, hayo mafuta isingekua kwa mzungu huyo muarabu angeteseka sana
Mzungu ni mbwa wa muarabu ndo ujue kuanzia leo, OPEC wamebwekaaa weee mwisho wamerundi bandani kulala acha kabisa, muarabu akiamua next week petroleum iuzwe 5000k hashindwi na itauzwa
 
Back
Top Bottom