Huwa najiuliza swali, Endapo waafrika weusi tungepewa utajiri wa mafuta kama ilivyo kwa waarabu je tungeudumisha kama kinachoendelea UAE?

Huwa najiuliza swali, Endapo waafrika weusi tungepewa utajiri wa mafuta kama ilivyo kwa waarabu je tungeudumisha kama kinachoendelea UAE?

Tujiulize toka Mwadui ilipojulikana ina Almasi tumefaidika nini hasa?!
Bure kabisa kabisa kabisa 🤬 🤬 🤬 🤬 🤬 🤬
 
Africa hatujalaaniwa


Unasemaje umelaaniwa wakati umepewa kila kitu??

Wazungu ni waongo na wamefanikiwa katika kutujaza ujinga na huwa wakiona tunakaribia kushtuka wanaturudisha kule kule.
Ukishasema umepewa halafu ukashindwa kutumia hapo sababu hazitazidi mbili,ni either umelaaniwa kwamba hutapata fursa ya kufurahia kile ulichopewa au akili kichwani za kuendeleza kile ulichopewa huna na Waafrika tumedondokea hapa.

Mimi sijawahi kumuona mzungu akija kupora ardhi ya kwetu wala akipora kodi zetu ninachoona ni viongozi wetu (waliojipachika uongozi) ndiyo wanawauzia/wanaowapa mikataba mibovu inayotunyonya.
 
Jana nimemaliza safari yangu ya kikazi ya siku 4. Nilianzia Dubai nikakaa siku 1 kisha nikaelekea Abu Dhabi nikakaa siku 2. Nikamalizia Qatar siku 1. Na kila mara nikiwa kwenye ndege narudi bongo kutokea UAE huwa najiuliza hilo swali, hivi sisi waafrika weusi tungepewa huo utajiri wa mafuta, je tungekua matajiri kama walivyo waarabu?

Tajiri pekee mweusi alieweza kutengeneza utajiri wa kutisha na kuwaogopesha wazungu na wa-asia kipindi kile alikua ni mwamba Mansa Musa. Huyu jamaa yeye aliweza kudeal na gold na ikamtoa. Tukipata Mansa Musa mwingine tukampa North mara au GGM basi tutegemee kuwa namba 1 kiuchumi.

Unajua kuna hela, mali na utajiri hivo ni vitu tofauti kabisa. Mfano wazungu wengi tunasema wana hela, lakini sio kwamba ni matajiri kama miamba ya UAE, hao kina elon, mara billgates, na wengineo stock exchange ikireverse kidogo tu utajiri wao unashuka.

Mfano kampuni ya apple ina thamani ya Trillion 3 kwa sasa, lkn ukiangalia assets wala hazifiki hata billion 300. So ni pesa za namba tu.

Sasa njoo UAE, wale ni visima vya mafuta ambapo value zao sio kama kwa makampuni ya USA. Na ndio maana ukifanya deal na mwarabu yoyote au kampuni yoyote ya UAE wale jamaa wanakulipa cash, na wala sio stock au stock options.

Kuna banks kubwa kadhaa zilitetereka mwaka 2023 lakini mwarabu akajaza cash wakarudi mzigoni.

Ukitaka kujua utajiri ni nini basi nenda UAE, hela sio utajiri. Haiwezekani mtu una 100m bank halafu unajibania bania kula misosi ya maana au kuendesha ndinga za maana. Wewe sio tajiri bali ni una hela tu bank. Kaangalie kufuru za UAE, unapishana na ferrari imepakwa gold mwanzo mwisho.

Kufuru za utajiri wa UAE hakuna pengine duniani utaziona, labda kidogo sana Monaco, Italy wanajitahidi ila wao wengi ni familia na kimafia na wauza sembe
Kinachofanya waaraby wawe matajiri sio ule uarabu wao hapana.
Bali ni sheria za uislam
.......ndio mana Algeria,Tunisia,Egypt zinazidi mbali sana nchi za watu weusi.
Yes!ndio maana Zanzibar ni eneo lenye watu chini ya milioni 2 ndani ya Tanzania,lakini limeendelea kuliko eneo lolote kwenye hii Dunia.
Yes ni uislam ndio unatama haki,mukiwa na Mali,mugawane wasiwepo wanaolala njaa ama awnaaoshindwa matibabu,.....na hii ni kwa nchi zote za kiislam,......elimu,maji,chakuka sio anasa ni haki.
Uislam hauwezi ruhusu eti umchangie kiongozi wa dini ale Bata huku akikubariki nawe uwe tajiri😃😁😃,
-----kuwa muchange michango ya kujenga shule kisha muje kulipa ada Tena,,😆😃.
 
Ah sasa niwaze nini chengine wakati ngono ndio burudani ya dunia weye.

On a serious note though inabidi waafrica tukubali sie akili tulizokuwa nazo ni za kutuweza kuvuka barabara kwa usalam tuu.
Hivyo basi kwa kuwa tumebarikiwa natural resources wacha mzungu tumuajiri atuendeshe mambo huku sie tunaburudika na maisha ya kugegedana.

Wenzetu waarabu wameshaliona hilo wao wana mafufa wazungu wana akili...so come work for use we pay u, u build our country and we enjoy life.

Una tanzanite gold gas serengeti kilimanjaro zanzibar lake victoria alafu bado wee suo donor country maana yake huna akili
Afrika Kwakweli kuna shida siyo kidogo.
eneo tunalo, rasilimali tunazo za kkutosha lakini hatujafanya maajabu yoyote.
Tunasaidiwa na viinchi vya ulaya kwa hali na mali, ambapo vingine havina ukubwa hata wa kuzidi baadhi ya mikoa yetu hapa nchini.
na pengine havina hata natural resources kama nchi yetu.
Afrika ni kama kuna laana
 
Makaburu waliitengeneza Johannesburg kupitia Dhahabu, johannesburg yetu ipo wapi?..

Mauritius ni kisiwa cha utalii na maisha yao yanaenda, sisi ukiitoa Zanzbar, hii coast yetu toka Tanga hadi Mtwara tumeifanyia nini?...

Vipi wenzetu Botswana, maisha wanaendesha kwa kutegemea almasi. Tuseme ni nchi ndogo, je shinyanga ina dalili zozote za kufikia standard ya maisha ya watswana?...

Tanzania hata tungepewa mafuta, tungeendelea kuwa na uhaba wa umeme kama Nigeria. Huo ndio uhalisia
Yes umenena vyema.........shida sio uarabu bali ni uislam.
Wazanazibar wanadharaulika kua hawajasoma,ila mtu akipewa rifaa kutoka bukoba kwenda muhimbili atatibiwa ila sio Bure ila mzanzibari matibabu ni bure😁😁😆
Umenena vyema kuhusu wazanzibari wanavofanya fukwe zao kwa maendeleo yao,.........**Uislam**unataka haki, na haki ndio utajiri wenyewe,na haki haipatikani kwa kutoa sadaka ili wanaune wenzenu wazitumie,....haki hupatikana kwa mtutu wa bunduki,
Unapoona Sudan watu wanauwana ninyi munasema waislam magaidi😆😀😅😀
Unadhani mzungu atarurahi siku kuiona congo raia wameungana kuwafukuza?
Hiko ndicho munachosema waarabu ni magaidi na huo ugaidi ndio utajiri wenyewe,.......Iraq imepigana vita miaka 20 Leo ina uchumi mara 4 ya Kenya😃😄
 
Uandishi wako huwa ni kichefuchefu sana, mkanganyiko na conspiracies za kutosha.

Nani ni wamiliki wa Aramco na Abu Dhabi National Oil Company (ADNOC) ??

Unafahamu sovereign wealth funds kubwa zaidi za kinchi zinazomiliki mabilioni ya $dola ni za nchi gani??
Obvious ni nchi za kiislam✍️✍️
Afghanistan imepigana vita miaka 20,na Ina reserve kubwa ya madini adimi ambayo hajaanzwa kuchimbwa............Ile kutaka haki kwenye uislam hufanya nchi kubaki na Mali zake na zigawanywe Kwa raia wake?
So what leo Tanganyika itakua masikini milele na milele sababu mali zake imewaachi wazungu, while Zanzibar hawajaanza kuchba mafuta yao na gesi,wanasubiri better deal,.....subra ya uislam ni baraka
 
Population inapaswa kuwa controlled sambamba na ukuaji uchumi, either mzae sana na upande mwingine mfanye kazi sana na kuzarisha sana kuendana na kasi yetu ya kuzarisha.

Kushindwa kubalance ukuaji wa population sambamba na ukuaji wa uchumi wenu NI umasikini mwingine huo.

Kila kitu kinapaswa kuwa kwenye control yetu kushindwa kwetu kucontrol kila kitu ni sababu nyingine ya umasikini wetu.
Ukweli mtupu huu mkuu
 
Wanaotetea kuwa sijui seven mara six sisters De beers na wakoloni wengi ndio wameleta shida na blablaa nyingine. Skieni nyie vilaza mliokariri history hatudanganyiki.

Wazungu ndio wanatukandamiza, kwahiyo hata vyoo na madawati, matumizi sahihi ya vyoo na dust bin nalo hilo ni kosa la mzungu.

Hivi V8 ni mzungu ndio kawalazimisha mzipande, kuwa na mrundikano wa vyeo navyo hiyo ni mzungu kawalazimisha, kula rushwa napo hapo mnamsingizia mzungu😀😀😀,ebu mje na hoja zenye mashiko.

Mambo mengi yapo kwenye uwezo wetu ila hakuna kitu, watu wamesoma mpaka PhD ila hawako productive bora taifa zima wote tungeenda kusoma ufundi mbalimbali VETA.Wasomi wapo ila ni bora wasingepoteza muda kwenda shule.
Umeongea point sana mkuu,.................nchi kama Saudi Arabia....ile kua islaic country,ukila rushes,umekamatwa na unga,umetomba ovyo,kifo nje nje ,inafanya raia kua serious na maendeleo yao,........watu hawawezi kuwaza ujinga,sababu haki imetawala,.
Issue ya elimuz bila dini ya kutaka haki ni upumbavu............mtu anasoma anakua kiongozi wa dini, ila anakusanya sadaka anzituma njeya nchi ka kigezo eti makao makuu😁😀😆😆,huu ufala kwenye uislam haupo,utavuta ulichopanda hata kaama unakesha msikitini
 
Equatorial guinea na Gabon sio wazalishaji wakubwa wa mafuta, mafuta yao ni ya kiwango cha kawaida tu halafu bado yanaibwa na mafisadi.

Saudi Arabia ina raia milioni 35 na nchi yao ina ukubwa wa mara mbili na nusu ya Tanzania.
Hata UAE hazalishi mafuta mengi kama mataifa mengine ina mafuta ya kawaida.
 
Afrika kiukweli tumelaaniwa tuna uwezo mdogo mno kama utajiri tuna utajiri kuliko hata hao waarabu ila sisi uwezo wetu wa kufikiri ni mdogo mno
 
Afrika Kwakweli kuna shida siyo kidogo.
eneo tunalo, rasilimali tunazo za kkutosha lakini hatujafanya maajabu yoyote.
Tunasaidiwa na viinchi vya ulaya kwa hali na mali, ambapo vingine havina ukubwa hata wa kuzidi baadhi ya mikoa yetu hapa nchini.
na pengine havina hata natural resources kama nchi yetu.

Afrika ni kama kuna laana
Tuendelee kugegedana tuu mwanawane. Suala la kufikiri tuwaachie wazungu
 
Hata UAE hazalishi mafuta mengi kama mataifa mengine ina mafuta ya kawaida.
Ni ya nane kwa uzalishaji mafuta duniani, ya sita kwa uzalishaji gas duniani, ya kwanza kwa uzalishaji gas uarabuni na ya tatu duniani kwa akiba kubwa ya gas iliyogunduliwa mpaka sasa.
 
Hata huyo muarabu hana jipya, hayo mafuta yaligunduliwa na mzungu, na huyo huyo mzungu ndiye mwenye teknolojia ya kuyachimba, muarabu amekaa kupokea tu na kuvaa kobaz huku akifadhili ugaidi wa dini.
Sasa sisi afrika tunapokea nini na tunafadhili kitu gani zaidi ya kuomba mataifa ya nje yatusaidie kujenga mashimo ya choo?
 
Jana nimemaliza safari yangu ya kikazi ya siku 4. Nilianzia Dubai nikakaa siku 1 kisha nikaelekea Abu Dhabi nikakaa siku 2. Nikamalizia Qatar siku 1. Na kila mara nikiwa kwenye ndege narudi bongo kutokea UAE huwa najiuliza hilo swali, hivi sisi waafrika weusi tungepewa huo utajiri wa mafuta, je tungekua matajiri kama walivyo waarabu?

Tajiri pekee mweusi alieweza kutengeneza utajiri wa kutisha na kuwaogopesha wazungu na wa-asia kipindi kile alikua ni mwamba Mansa Musa. Huyu jamaa yeye aliweza kudeal na gold na ikamtoa. Tukipata Mansa Musa mwingine tukampa North mara au GGM basi tutegemee kuwa namba 1 kiuchumi.

Unajua kuna hela, mali na utajiri hivo ni vitu tofauti kabisa. Mfano wazungu wengi tunasema wana hela, lakini sio kwamba ni matajiri kama miamba ya UAE, hao kina elon, mara billgates, na wengineo stock exchange ikireverse kidogo tu utajiri wao unashuka.

Mfano kampuni ya apple ina thamani ya Trillion 3 kwa sasa, lkn ukiangalia assets wala hazifiki hata billion 300. So ni pesa za namba tu.

Sasa njoo UAE, wale ni visima vya mafuta ambapo value zao sio kama kwa makampuni ya USA. Na ndio maana ukifanya deal na mwarabu yoyote au kampuni yoyote ya UAE wale jamaa wanakulipa cash, na wala sio stock au stock options.

Kuna banks kubwa kadhaa zilitetereka mwaka 2023 lakini mwarabu akajaza cash wakarudi mzigoni.

Ukitaka kujua utajiri ni nini basi nenda UAE, hela sio utajiri. Haiwezekani mtu una 100m bank halafu unajibania bania kula misosi ya maana au kuendesha ndinga za maana. Wewe sio tajiri bali ni una hela tu bank. Kaangalie kufuru za UAE, unapishana na ferrari imepakwa gold mwanzo mwisho.

Kufuru za utajiri wa UAE hakuna pengine duniani utaziona, labda kidogo sana Monaco, Italy wanajitahidi ila wao wengi ni familia na kimafia na wauza sembe
Tatizo waafrika wengi wanaendekeza njaa mtu akishakuwa kiongozi basi anawaza kupiga hela na kuwasahau wananchi wengine. Imagine Tanzanite ipo nchi yetu peke yake lakini India ndo wanaoongoza kwa mauzo.
 
Watanzania tuchukue hatua la sivyo mtaendelea kulalamika hivyohivyo ya kuwa tumelaaniwa wakati mnarasilimali, maeneo makubwa na vijana wa kutosha. Tuchukue hatua dhidi ya viongozi wanaokula keki ya taifa.
 
Hatari sana, matajiri wengi wa kiarabu pesa ipo mfuko wa shati, utadhani wanaokota tu njiani...Hatuna excuse yoyote ile sisi Tanzania, kama the so called amani tunayo, resources zote hizo pia tunazo hatujui cha kuzifanyia zaidi ya kupiga cha udalali.
 
Ukiwa Afrika unapaswa uzingatie mambo yako yanakwenda vizuri. Wewe shukuru una uhai na afya njema mambo yako yanakwenda vizuri basi. Kuwaza hayo ulio andika barani Afrika ni kujichosha tu, Bara zima lina viongozi na raia wa hovyo. Haiwezekani utajiri wote uliopo Afrika tushidwe kuutumia kwa manuu mazuri.
 
Back
Top Bottom