Huwa najiuliza swali, Endapo waafrika weusi tungepewa utajiri wa mafuta kama ilivyo kwa waarabu je tungeudumisha kama kinachoendelea UAE?

Huwa najiuliza swali, Endapo waafrika weusi tungepewa utajiri wa mafuta kama ilivyo kwa waarabu je tungeudumisha kama kinachoendelea UAE?

Unadhani nani anaye own hayo Mafuta zaidi ya the Seven Sisters na hao wote ni ma cronies.., tofauti kinachopatikana kina kuwa shared vipi (percentagewise) sababu unaweza ukawa umesign mikataba kama ya Botswana au ya Kimangungo wa Msovero....

Pili hizo Nchi ni za Wafalme kwahio hao wameshanunuliwa na kupewa Rupia za Kutosha kinachoendelea wamekuwa tu kama part ya hizo Corporations....

Thus those Arabs ni Nyenzo za hao wengine wanaonufaika ndio maana hata Gadafi alivyotaka kuwabania na kuhakikisha utajiri huo unasambazwa kwa watu wake na huku Afrika kilichomkuta kila mtu anajua
Uandishi wako huwa ni kichefuchefu sana, mkanganyiko na conspiracies za kutosha.

Nani ni wamiliki wa Aramco na Abu Dhabi National Oil Company (ADNOC) ??

Unafahamu sovereign wealth funds kubwa zaidi za kinchi zinazomiliki mabilioni ya $dola ni za nchi gani??
 
Hata huyo muarabu hana jipya, hayo mafuta yaligunduliwa na mzungu, na huyo huyo mzungu ndiye mwenye teknolojia ya kuyachimba, muarabu amekaa kupokea tu na kuvaa kobaz huku akifadhili ugaidi wa dini.
We umekulia Kibera kwenye flying toilets
Zaidi ya chuki huna jipya tumekuzoea
Watu wanaongelea walipo na sisi tulipo wewe unaleta udini
Hiyo kibera mnaingiza ngapi kwa mwaka kutoka kwa watalii?
Imagine mtu anakuja kuona binaadamu akinya kwenye mifuko ya Rambo na kuitupa nje
Hivi una nguvu hata ya kuandika haya ukijua kuwa utamaduni wako ni wa kunya kwenye mifuko
 
Botswana ina raia milioni 2.5
UAE raia wake wenye uraia ni milioni 1.5, wengine wageni.
Vipi Equatorial guinea na Gaboni mbona zina raia wachache na jographia ya nchi zao ni ndogo lakini bado ni masikini wa kupindukia?

Vip kuhusu Saudia Arabia yenye watu wengi mbona imeweza kuendelea ?
Mm nadhani waafrica tuna matatizo tu.
 
We umekulia Kibera kwenye flying toilets
Zaidi ya chuki huna jipya tumekuzoea
Watu wanaongelea walipo na sisi tulipo wewe unaleta udini
Hiyo kibera mnaingiza ngapi kwa mwaka kutoka kwa watalii?
Imagine mtu anakuja kuona binaadamu akinya kwenye mifuko ya Rambo na kuitupa nje
Hivi una nguvu hata ya kuandika haya ukijua kuwa utamaduni wako ni wa kunya kwenye mifuko
Mm huyo msenge nilisha mpiga ban zamani.
 
Uandishi wako huwa ni kichefuchefu sana, mkanganyiko na conspiracies za kutosha.
Nani ni wamiliki wa Aramco na Abu Dhabi National Oil Company (ADNOC) ??
Again as usual you are never the one for a bigger picture.... Ni nani anayeweza kuamua the prices zinakwenda vipi zaidi ya Seven Sisters ?!!! Case in Point check hapo chini Article from Business Times....

Soon after nationalization, the OPEC countries realized they could not compete against the Sisters’ global distribution networks; the prospects of Kuwaiti refineries in Rotterdam and Saudi gas stations in Illinois evaporated quickly. Indeed, those countries that had their national oil companies sell crude directly to the world market were usually disappointed with the prices they got and the quantities they moved. So the OPEC countries have negotiated pacts under which the Sisters continue to pump the oil, for a fee, take a guaranteed share for themselves, and buy most of the rest at a fixed price.


It is a cozy arrangement for both sides. The companies to a limited extent can shop around for crude, rather than being tied to the countries where they have wangled concessions. But they still get to sell the oil from those former concessions, and without having to put any money into new wells and pipelines. Case in point: Saudi Arabia, which has bought 60% of Aramco from the firms that created it 45 years ago, Exxon, Mobil, Texaco and SoCal. But the main result, as SoCal Chairman Harold J. Haynes describes it, is that “capital investment will be supplied by the Saudis. We are relieved of that responsibility.

Best of all, the OPEC governments allow the Sisters a reasonable profit. Last year the American partners in Aramco earned 27¢ per bbl. on their share of its output (they earned 25¢ in 1971, when they owned all the oil). The Saudis of course pocketed much more, and they are so pleased with the arrangement that they have never bothered to sign an agreement negotiated in 1976 to buy out the remaining 40% of Aramco. The companies are acting as if the agreement were in effect, paying the Saudi government as much as it would get if it were sole owner; thus the Saudis receive all the benefits of 100% control without having to put out money to complete the takeover.
Yaani kama De Beers alivyo King of Diamonds basi Seven Sisters ndio Alfa na Omega wa Oil Business.... (Ushauri always look at a bigger picture)

 
Jana nimemaliza safari yangu ya kikazi ya siku 4. Nilianzia Dubai nikakaa siku 1 kisha nikaelekea Abu Dhabi nikakaa siku 2. Nikamalizia Qatar siku 1. Na kila mara nikiwa kwenye ndege narudi bongo kutokea UAE huwa najiuliza hilo swali, hivi sisi waafrika weusi tungepewa huo utajiri wa mafuta, je tungekua matajiri kama walivyo waarabu?

Tajiri pekee mweusi alieweza kutengeneza utajiri wa kutisha na kuwaogopesha wazungu na wa-asia kipindi kile alikua ni mwamba Mansa Musa. Huyu jamaa yeye aliweza kudeal na gold na ikamtoa. Tukipata Mansa Musa mwingine tukampa North mara au GGM basi tutegemee kuwa namba 1 kiuchumi.

Unajua kuna hela, mali na utajiri hivo ni vitu tofauti kabisa. Mfano wazungu wengi tunasema wana hela, lakini sio kwamba ni matajiri kama miamba ya UAE, hao kina elon, mara billgates, na wengineo stock exchange ikireverse kidogo tu utajiri wao unashuka.

Mfano kampuni ya apple ina thamani ya Trillion 3 kwa sasa, lkn ukiangalia assets wala hazifiki hata billion 300. So ni pesa za namba tu.

Sasa njoo UAE, wale ni visima vya mafuta ambapo value zao sio kama kwa makampuni ya USA. Na ndio maana ukifanya deal na mwarabu yoyote au kampuni yoyote ya UAE wale jamaa wanakulipa cash, na wala sio stock au stock options.

Kuna banks kubwa kadhaa zilitetereka mwaka 2023 lakini mwarabu akajaza cash wakarudi mzigoni.

Ukitaka kujua utajiri ni nini basi nenda UAE, hela sio utajiri. Haiwezekani mtu una 100m bank halafu unajibania bania kula misosi ya maana au kuendesha ndinga za maana. Wewe sio tajiri bali ni una hela tu bank. Kaangalie kufuru za UAE, unapishana na ferrari imepakwa gold mwanzo mwisho.

Kufuru za utajiri wa UAE hakuna pengine duniani utaziona, labda kidogo sana Monaco, Italy wanajitahidi ila wao wengi ni familia na kimafia na wauza sembe
Shida ni kuwa sisi waafrica tupo kupata sisi/binafsi na sio jamii yetu ipate. Leo ukiangalia africa ina madini kuliko bara lolote lkn je yanafaidisha nn waafrica au yana vunwa na waafrica..? Jibu n hapana majamaa/viongozi wameuza madini kwa maslahi ya matumbo yao na visingizio vya teknolojia na umaskn huku wao wakifinya mabilion
 
Tumepewa na wanakula wachache.
Hapo nigeria wana hifadhi kubwa sana ya mafuta ila wanaofaidi ni kina dangote.
Angola pia anazalisha crude oil.

Hapo uganda nayeye soon atakuwa na mafuta kutoka Ohima to Tanga.

Tanzania tuna mafuta ya mwampossa. Raia tunayatumia kupata kazi na pesa na miujiza kupitia maombi.
Jamii forum ni burudan tosha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Vipi Equatorial guinea na Gaboni mbona zina raia wachache na jographia ya nchi zao ni ndogo lakini bado ni masikini wa kupindukia?

Vip kuhusu Saudia Arabia yenye watu wengi mbona imeweza kuendelea ?
Mm nadhani waafrica tuna matatizo tu.
Equatorial guinea na Gabon sio wazalishaji wakubwa wa mafuta, mafuta yao ni ya kiwango cha kawaida tu halafu bado yanaibwa na mafisadi.

Saudi Arabia ina raia milioni 35 na nchi yao ina ukubwa wa mara mbili na nusu ya Tanzania.
 
Usiende mbali, tazama Angola, EQUATORIAL GUINEA, DRC....
TUNA LAANA!
Africa hatujalaaniwa

Hatujiamini tu.

Unasemaje umelaaniwa wakati umepewa kila kitu??

Wazungu ni waongo na wamefanikiwa katika kutujaza ujinga na huwa wakiona tunakaribia kushtuka wanaturudisha kule kule.
 
Vipi Equatorial guinea na Gaboni mbona zina raia wachache na jographia ya nchi zao ni ndogo lakini bado ni masikini wa kupindukia?

Vip kuhusu Saudia Arabia yenye watu wengi mbona imeweza kuendelea ?
Mm nadhani waafrica tuna matatizo tu.
Unachopaswa kufahamu uarabuni kuna ufisadi mkubwa sana tu, hayo mafuta na gas ni sawa na mali binafsi tu ya hizo falme ila kwa sababu utajiri wao mafuta na gesi ni mkubwa mno kupitiliza watawala wanachota kiasi wanachojisikia na bado zinabaki pesa za kutosha kufanya maendeleo na kuweka akiba ya kitaifa ya baadaye(sovereign wealth funds).

Utajiri binafsi wa mabilioni ya falmia za kifalme uarabuni ni pesa zinazochotwa kutoka sekta ya mafuta na gas ya nchi hizo wala sio juhudi zao binafsi za kutafuta pesa kwa kufanya kazi kama mabilioni wa Magharibi, China, Africa n.k

Utajiri wa Al Saud Family, Al Nahyan family, Al Thani Family n.k ni wamejichotea tu pesa za mafuta na gesi za nchi zao kwa sababu wao ni watawala na rasilimali zote za hizo nchi ni kama zao tu binafsi.
 
Hata huyo muarabu hana jipya, hayo mafuta yaligunduliwa na mzungu, na huyo huyo mzungu ndiye mwenye teknolojia ya kuyachimba, muarabu amekaa kupokea tu na kuvaa kobaz huku akifadhili ugaidi wa dini.
Umezaliwa Kibera,umekulia Kibera kwenye slums,kila siku unavuta kila aina ya harufu,mpaka imekuletea shida kichwani,

Toka usingizini usije kuwapa watu wengine kazi ya kukulea uzeeni,muda haumsubiri mtu,hizi comment za chuki hapa JF haziwezi kubadili ur life on the ground,

Dunia ni pana sana,toka hapo dampo Kibera uone Dunia,fungua akili yako,Dunia inaenda kasi sana ila wewe akili yako imezama kwenye tope tu for so long.
 
Shida ni kuwa sisi waafrica tupo kupata sisi/binafsi na sio jamii yetu ipate. Leo ukiangalia africa ina madini kuliko bara lolote lkn je yanafaidisha nn waafrica au yana vunwa na waafrica..? Jibu n hapana majamaa/viongozi wameuza madini kwa maslahi ya matumbo yao na visingizio vya teknolojia na umaskn huku wao wakifinya mabilion
Africa haina mengi madini kuliko mabara yote, Hata hivyo Africa ina rasilimali za kutosha ambazo kama zingesimamiwa vizuri zingeweza kuikomboa kabisa kutoka katika umasikini, ukiwa na akili za kutosha hata bila kumiliki madini, mafuta na gesi unaweza kuendelea tu, Mfano mzuri ni Singapore, Korea Kusini, Switzerland na Israel.
 
Gesi ya mtwara na dhahabu ya bulyanhulu unajua inaweza kufanya hayo yote..? Muarabu apewe maua yake

Nenda kakola uone njaa na ukimwi ulivyojaa nenda nyagoto, kewanja tarime uone vijumba sijui vya msauth aloo [emoji28][emoji28][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Dah
Nimelia sana
 
Africa haina mengi madini kuliko mabara yote, Hata hivyo Africa ina rasilimali za kutosha ambazo kama zingesimamiwa vizuri zingeweza kuikomboa kabisa kutoka katika umasikini, ukiwa na akili za kutosha hata bila kumiliki madini, mafuta na gesi unaweza kuendelea tu, Mfano mzuri ni Singapore, Korea Kusini, Switzerland na Israel.
Mkuu hayo mabara ya ulaya asia na america lipi bara moja wapi linalo izidi africa katika madini ..?
 
Back
Top Bottom