Fallback
JF-Expert Member
- Aug 12, 2023
- 3,686
- 6,958
Mboni nimekupa na zongine hapo KamasutraAchana na wimbo huo mmoja tu wa mazingaombwe mkuu,sasa ukisema 100 kilos na Ambao tunaujua ASSOCIE tusemeje!
Hivi unaujua ALLIANCE,MAYDAY au MARIA?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mboni nimekupa na zongine hapo KamasutraAchana na wimbo huo mmoja tu wa mazingaombwe mkuu,sasa ukisema 100 kilos na Ambao tunaujua ASSOCIE tusemeje!
Hivi unaujua ALLIANCE,MAYDAY au MARIA?
Yenyewe ninayo lakn huniambii kitu kwa maydayWeka 100 Kilos
Carte Rose isikie tuFere Golla nyimbo maarufu na nzuri ni hizo 2 tu (100 Kilos & Kamasutra) lakini Fally Ipupa nyimbo zote ni hatari na nusu!.
Uzuri wa fally ipupa nyimbo za taratibu na sebene ni gwiji
Wewe weka 100 Kilos hapo isikie vizuri yaan vyumba vikishajaa kichwani alafu uwekewe hio Ngoma hapatoshi
100 Kilos ikipigwa unamwambia mchoma nyama awaishe aweke na ndizi choma za kutoshaMkuu MAYDAY ni habari ya Dunia!
Anamfikia buju bantan?100 Kilos ikipigwa unamwambia mchoma nyama awaishe aweke na ndizi choma za kutosha
Wadanganye wajinga wasiojua Rhumba , Fally hampati Ferre hata kwa namna gani , Kwanza Fally ana style moja tu ya kuimba kiasi ambacho amekwisha chuja vibaya sana , ferre gola ni mtaalam wa sauti na anaweza kuimba sauti ya mwanamuziki yeyote unayemjua dunia , mpangilio wa Rhumba ya Ferre gola ni wa kipekee , huyu ni fundi hasa wa RhumbaNsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!
Hivi huwa mko Serious au huwa mnatania?,yaani Mwanamuziki Fally Ipupa mnamfananisha na Fere Golla?
Sijajua aliyeanzisha huu mpambano kama yuko timamu kichwani.
Koffi olomide amewahi kukaliliwa akisema "Moja kati ya waimbaji na wana jumuia wangu wa bendi ya QUARTIER LATIN ambao sitoweza kuwasahau ni Fally Ipupa,huyu mtu amebarikiwa kipaji cha aina yake katika muziki,bila shaka ukimtoa Marehemu Papa Wemba na mimi,basi atakuwa anafuata yeye"
Kwa maneno hayo ya Mkongwe na Gwiji la muziki wa Dansi na Rhumba kutoka Africa bila shaka Fally Ipupa ni Habari nyingine kabisa!.Vijana huyu Fally Ipupa uenda mtakuwa mmejua juzi tu baada ya kutoa wimbo wa Bakandja,Maria na Mayday!.
Lakini mimi mkongwe na wakongwe wenzangu tunaomfahamu Fally Ipupa toka Enzo hizo akiwa Stage Show na Rapa wa Koffi Olomide kutoka bendi ya QUARTIER LATIN wala hatushangai namna alivyo hatari!
Vijana niwapendekezee tu,kama humfahamu Fally Ipupa hebu nendeni karudieni show aliyoifanya Dar es salaam mwaka 2009 ndo mtaelewa ni mtu wa aina gani!(Nendeni YouTube huko mtaikuta hii show)
Kwenye ile show walipanda wasanii wenu mnaowaaminia Amini & Barnaba wakaimba wimbo unaoitwa KIDIAMFUA,aiseee nilicheka sana maana wale wasanii wenu ni kama walikuwa wanaigiza siyo kuimba😂,hapa ndipo nilijua hakuna msanii kitoka Tanzania anayejua kuimba bali huwa ni wababaishaji tu!
FALLY IPUPA acheni kabisa kumlinganisha na watoto wadogo katika muziki!
Wadanganye wajinga wasiojua Rhumba , Fally hampati Ferre hata kwa namna gani , Kwanza Fally ana style moja tu ya kuimba kiasi ambacho amekwisha chuja vibaya sana , ferre gola ni mtaalam wa sauti na anaweza kuimba sauti ya mwanamuziki yeyote unayemjua dunia , mpangilio wa Rhumba ya Ferre gola ni wa kipekee , huyu ni fundi hasa wa Rhumba
Ndo iko hivo mkuu utakataa lakini ndo ukweli fally unampenda kutokana na ile amsha amsha yake ila gola anaroom yake na kina madilu hukoAre U serious?
Hebu weka mashahiri ya wimbo wa Fere Golla hapa halafu na mimi niweke ya Fally Ipupa halafu tuyatafisiri tuone nani zaidi!